Excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 19,732
- 10,057
hahaha! we mtoto wewe...si mchezo!
nimekumiss pia sana.. si uje inbobo tuthalimiane, teh teh
hahaha! we mtoto wewe...si mchezo!
Easy tu anaelezea hisia zake kama haumtaki unamweleza taratibu anaondoka....Atakapodondokea Pua ndo atajua shauri yako
teh teh.. atha thi nipo hapa mamio..Akuu naogopa inbobo menjio
Weee mwenyewe unajificha ficha kweli chikuiji
mi napenda thana teacherTaki naogopa kuchapwa mimi
Kuna mtu atanichapa
Aseeeh... basi keshoHahahaahhahahaahahahahaha
Daby's style of commenting
Aseeeh
haha!Old version washaoa/ olewa so wapo na majukumu
What do you understand that statement??
mi bado new kabisa yani, njoo unijaribu uone! tehNeither right nor left but theraaaaaaaa
Hawajatoa wamezipeleka JLW(jukwaa la wakubwa),omba access kwa mods ,lipo hapo chini kwenye member onlyYani kusema ukweli mimi JF ya sasa hivi sijaipenda kabisaa
Hapa natafuta website nyingine nikaweke lulu zangu kule
Kila kitu uki upload wanakitoa MMU wanakuleta CHITCHAT sijui kwanini!
Huko MMU sijui wanataka tuandike nini labda?! It's boring kwakweli, BORING
hukutwi bana, si tuko mi na wewe?Khakhaakhaaaaa
Nithubutu kukutwa lol ntakavokimbia