Pearl
JF-Expert Member
- Nov 25, 2009
- 3,036
- 314
kwasababu tunawapenda na bila cc mafanikio kwenu ni kidogo sana,sawa tunategemeana but mnatutegemea zaidi
Originally Posted by TANMO
Hawa washika viwembe mbona wamejaa humu?
juzi walinikosa kosa na viwembe vyao nilipoingia kule kwao kwa bahati mbaya hawa,,
Leo wamechukua nafasi ya akina Baba hapa, Lol..............
Hawa washika viwembe mbona wamejaa humu?
juzi walinikosa kosa na viwembe vyao nilipoingia kule kwao kwa bahati mbaya hawa,,
Leo wamechukua nafasi ya akina Baba hapa, Lol..............