JF member Mshana Alitabiri Mwamposa kutowekwa Lupango

Mwamposa hata km akikutwa na hatia sidhani kama itakuwa kwenye kipengele cha murder coz watatakiwa ku pruv beyond reasonable doubt, kwenye manslaughter may be kama wataiweka kwenye charge, but nayo sidhani kama watamkuta na hatia.

Sana sana atakutwa na hatia kwenye minor offences tu kama kufanya mkusanyiko nje ya muda aliopangiwa na mengine kama hayo, ambapo adhabu yake haiwezi kuwa kubwa kiivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ibada ni lazima iwe na muda maalum.? Hawataweza kumtia hatiani.

Ulishaona macca wanapoenda kuhiji mashehe/mamfuti wa huko wanakamatwa inapotokea vifo vya mahujaji?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh!
Unajua unachotetea?
Wakurochi wana uwezo mkubwa kuchanganua mambo inasadikika sababu ya samaki sasa sijui ni vituhi au mbelele.

Nahisi hujaelewa nilichoandika awali... Namaanisha siku ufahamu Wa watu ukifunguliwa ndpo wataacha kufuata hao watabiri na kujitambua hata wao wana uwezo Wa kujitabiria...
Sasa huyo mtabiri mwamposa mbona kashindwa kutabiri watu watakufa yeye si ndio mtabiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawai kumsikia akijiita nabii au mtume lakini Mshana jr alitabiri mapema kabisa kwamba Mwamposa ataachiwa na kuwa huru kuendelea na shughuli zake.

Pia aliongelea wale 20 ndugu zetu wametolewa kafara kumpandisha daraja Mwamposa ili awe na "power" zaidi na umaarufu maradufu ya aliokuwa nao.

Huo uzi uko humu humu JF. Kama mwenzetu amekuwa sahihi kwenye kipengere cha Mwamposa kuwa huru je na ile habari ya kafara huenda yuko sahihi.

Sidhani Mshana utakuwa wazi kutumegea ulijuaje, ila mi nadhani rada zako kali sana
Kama S400 . Ungekuwa wewe ni mwamposa ungestuka kule Moshi Mwamposa masikini rada ziliona giza.

Mi naanza kuwa na imani na Mshana potelea mbali yuko dini ganiau anapata je data zake


Cc. Mshana
Mwamposa ni mwenzetu na mchangiaji nzuri wa maendeleo.
 
Watu mnadhani mahakama huwa zinafunga watu tu bila utaratibu. Afungwe kwa kosa lipi?
 
Kwani ibada ni lazima iwe na muda maalum.? Hawataweza kumtia hatiani.

Ulishaona macca wanapoenda kuhiji mashehe/mamfuti wa huko wanakamatwa inapotokea vifo vya mahujaji?

Sent using Jamii Forums mobile app
especially ile ibada yao ya kurusha mawe kumuua shetani, huwa wanakufa na maisha yanaendelea, kwa kifupi huyo Mwamposa hata fungwa ikizidi sana fine aende zake.

Hizo habari za kafara ni kumuachia Mungu wa kweli pekee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haters hawatapenda hii post ujue
Sijawai kumsikia akijiita nabii au mtume lakini Mshana jr alitabiri mapema kabisa kwamba Mwamposa ataachiwa na kuwa huru kuendelea na shughuli zake.

Pia aliongelea wale 20 ndugu zetu wametolewa kafara kumpandisha daraja Mwamposa ili awe na "power" zaidi na umaarufu maradufu ya aliokuwa nao.

Huo uzi uko humu humu JF. Kama mwenzetu amekuwa sahihi kwenye kipengere cha Mwamposa kuwa huru je na ile habari ya kafara huenda yuko sahihi.

Sidhani Mshana utakuwa wazi kutumegea ulijuaje, ila mi nadhani rada zako kali sana
Kama S400 . Ungekuwa wewe ni mwamposa ungestuka kule Moshi Mwamposa masikini rada ziliona giza.

Mi naanza kuwa na imani na Mshana potelea mbali yuko dini ganiau anapata je data zake

POVU RUKSA POVU RUKSA


Cc. Mshana

Jr
 
Nipo... Ni vizuri kuwa na mada kama hizi ili watu wapunguze fukuto... Inawasaidia sana... Unajua nimekuwa kama daktari wao.. Yani mtu anatumia ID bandia halafu anasema namchukia sana Mshana Jr halafu anapata like za kutosha kisha anajisikia vizuri sana anaondoka kwa furaha.. Tiba tayari
Mkuu mshana njoo utoe neno kidogo......Ni utabili, ni nguvu ya kafara au sheria? Maana naona povu jingi sana katika hii mada .

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr
 
.
201501_1919_faifc_sm.jpeg


Jr
 
Hajaachiwa huru bali amedhaminiwa na ataendelea kuriport polisi,ile sio murder mpk asidhaminiwe ni bailable offence yaani linadhaminika, sana sana atashtakiwa kwa kuzidisha muda wa mkutano

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom