wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,131
Kwani ibada ni lazima iwe na muda maalum.? Hawataweza kumtia hatiani.Mwamposa hata km akikutwa na hatia sidhani kama itakuwa kwenye kipengele cha murder coz watatakiwa ku pruv beyond reasonable doubt, kwenye manslaughter may be kama wataiweka kwenye charge, but nayo sidhani kama watamkuta na hatia.
Sana sana atakutwa na hatia kwenye minor offences tu kama kufanya mkusanyiko nje ya muda aliopangiwa na mengine kama hayo, ambapo adhabu yake haiwezi kuwa kubwa kiivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulishaona macca wanapoenda kuhiji mashehe/mamfuti wa huko wanakamatwa inapotokea vifo vya mahujaji?
Sent using Jamii Forums mobile app