Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,841
Laiti tungekuwa tunatumia majina yetu ya kiukweli nadhani JF isingekuwa tamu kama ilivyo sasa.
Kuna maprofesa, wasomi mbalimbali, wasio soma na watu wa kila aina. Lakini wote tuna haki sawa ya kuchangia chochote na kukosolewa.
Yaani humu safi sana unaweza ukajikuta mtu kama Malaria SUgu ni mkuu wako wa idara hapo ofisini kwako, au Nazjaz ndio mmiliki wa kampuni yenu.
Long live JAMII FORUMS
Kuna maprofesa, wasomi mbalimbali, wasio soma na watu wa kila aina. Lakini wote tuna haki sawa ya kuchangia chochote na kukosolewa.
Yaani humu safi sana unaweza ukajikuta mtu kama Malaria SUgu ni mkuu wako wa idara hapo ofisini kwako, au Nazjaz ndio mmiliki wa kampuni yenu.
Long live JAMII FORUMS