kukucd
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 307
- 196
Habari za wakati huu wadada.
Leo nataka nizungumze nanyi,hivi hi tabia ya kumuachia housegirl kila kazi ya nyumbani imetoka wapi hii ?
Unamuachia hadi kazi ya kutandika kitanda unacholala na mumeo! asubuhi unakurupuka tu kurupu unaenda kazini, binti aje akutandikie kitanda na kama ndo MR sikuhyo hajaenda kazini basi ndo dada wa kazi ampikie chai,amuwekee maji kwa bafu,ampasie nguo,hivi huyo binti akimilikiwa na mumeo utamlaumu nani?
Umetoka kazin eti madai yako umechoka chakula cha jioni anapika huyohuyo housegirl,hivi kweli unaitakia mema ndoa yako?ujui mumeo anakula nini usiku binti wa kazi ndo anapanga chakula cha mumeo.
Hivi kwenye kitchen party hukufundwa? Jirekebisheni mliopo kwenye ndoa na usiombe ukutane na housegirl stadi mumeo atafuliwa mpaka boxer na wewe utabaki tu kusema nimeibiwa mume jamani! shauri yako jirekebishe usilalamike kuibiwa mume mdada.
Leo nataka nizungumze nanyi,hivi hi tabia ya kumuachia housegirl kila kazi ya nyumbani imetoka wapi hii ?
Unamuachia hadi kazi ya kutandika kitanda unacholala na mumeo! asubuhi unakurupuka tu kurupu unaenda kazini, binti aje akutandikie kitanda na kama ndo MR sikuhyo hajaenda kazini basi ndo dada wa kazi ampikie chai,amuwekee maji kwa bafu,ampasie nguo,hivi huyo binti akimilikiwa na mumeo utamlaumu nani?
Umetoka kazin eti madai yako umechoka chakula cha jioni anapika huyohuyo housegirl,hivi kweli unaitakia mema ndoa yako?ujui mumeo anakula nini usiku binti wa kazi ndo anapanga chakula cha mumeo.
Hivi kwenye kitchen party hukufundwa? Jirekebisheni mliopo kwenye ndoa na usiombe ukutane na housegirl stadi mumeo atafuliwa mpaka boxer na wewe utabaki tu kusema nimeibiwa mume jamani! shauri yako jirekebishe usilalamike kuibiwa mume mdada.