JF ladies come here, special for you!

JF ladies come here, special for you!

kwa maisha ya sasahivi housegirl hakwepeki, la muhimu ni kwamba mipaka iwepo, kuna kazi za hausegirl kama yeye na kuna kazi za mama mwenye nyumba mwenyewe azifanye,hg kupika hamna ubaya kabisa,akipiga deki na kuangalia maswala ya usafi wa ndani si mbaya,ila kumwachia chumba chako cha kulala si nzuri,kufua nguo kama boxer haifai kabisa.
 
ndo maana niliachana GF wa kwanza anataka tuajiri housegirl wawili halafu yeye akae tu hata kupika issue
 
mwanafyale housegirl afanye kila kitu mke akiwa wap?umemuoa ili kuilea familia wewe ni 1 ya familia yake, kwahyo ni majukumu yake.basi wewe ni unique upo tayari kila siku kula chakula cha dada wa kazi, cha mkeo utakula lini?au ndo mpaka ajisikie kukupikia

Nadhani kila mtu ajue mipaka yake na ni kwa nini yuko kwenye ndoa maana hata huyo mkeo kuna wanaume huko nje wanamsifia mrembo wengine wanaahidiwa mambo mengi tu ambayo waume zao hawawezi wafanyia kila mtu ajiheshimu otherewise tukiamua kulala na mtu kisa ananifanyia haya basi tutegemee talaka nyingi tu
 
Last edited by a moderator:
Kuna wanaume sifuria vichwa vyao inapika kila kitu hata umfanyie nn akiamua kutomba ,atatomba mpk rafiki zako au ndugu yako
 
Kuna wanaume sifuria vichwa vyao inapika kila kitu hata umfanyie nn akiamua kutomba ,atatomba mpk rafiki zako au ndugu yako

Hapa utakuwa unaleta majungu

Subiri nikusaidie

Luna jamaa mmoja ni mkurungenzi wa serikali uande wa wizara ya madini alimkwamua mpaka wadogo za mke wake

Lakini tatizo lilianzia ndani baada ya mke kumsemea kuwa mumewe ni michepuko sana wakati haikuwa kweli harafu akamsema hachoki anamsumbua sana

Ma Shem kusikia hivyo wakaamua kukamua asije toka nje abaki ndani tu

Ila kweli kuna wanaume swaga ile inaboa yeye haangalii nani au kipi hata Dada yake anakunja tu lkn ni wachache sana

Tuelewe kuwa wanawake msikwepe majukumu mi shamwambi hgl kufua nguo zangu mashuka yangu mwiko kama yeye hawezi aniambie mi ntafanya yote kwa kuwa majukumu yote ni yangu yy ni msaidizi wangu sasa msaidizi akichoka naye awake msaidizi sawa ila asikwepe majukumu.harafu we mwallu kushadadia uache ntamwambia Shem akukong'oli.
 
Kuna wanaume sifuria vichwa vyao inapika kila kitu hata umfanyie nn akiamua kutomba ,atatomba mpk rafiki zako au ndugu yako

Mwananyamala wanaume vijana wanachapiwa wake zao na wazee maana jamaa siku nzima yupo posta alafu Ba'mzazi yupo home na we unaka nyumba ya uridhi,loh unachapiwa tu,hawa wazee wana mashine kubwaaa yani ukija ingia baada yake unakuta shimo kama dawasco
 
Nakubaliana nawe ila msitafute kujihalalishia.... Ukiona mkeo kachoka msaidie nawe una nafasi yako kujizuia kutochepuka
 
Yule nimemuoa kwa ajili ya mambo mengine, chakula hata hotelini nakula. Tatizo lenu nyie mnadhani kujifanya watumwa kwa waume zenu ndio mtazuia vidumu. Mke wangu ni mwenzangu na sio mtumwa wangu. Lol!
Wewe ni mmoja Kati ya wanaume milioni wanaojitambua.. hongera mkuu kweli wajitambua
 
Mtoa mada yupo sahihi. mm nimemuelewa 100%.
Kutokana na maisha tunayoishi ya kuhangaika wote housegirl ni mtu muhimu sana. Hata mtoa mada hajapinga kumuajiri beki 3 anachokemea ni kumuachia majukumu yote housegirl ambapo ni kosa.
Mfano. Kutandika kitanda chenu mnacholala, kufua boxer za mumeo n.k
unakuta mama hajui km mtoto anaumwa au ameshindaje nyumban yy yupo bize.
Sikatai kusaidia lkn nikosa kumfanya housegirl km mama wa nyumba.
Najua unaweza kusema natoka kazn saa 4 usiku. Ni sawa.
Tenga muda hata siku ya j'mos na j'2. Uwe karibu na watoto, waulize shida, uwasaidie home work, pika chakula hata myooshee your husband nguo zake. Hii italeta heshima kweny ndoa.
Utakuta mwanamke kitanda anatandika housegirl, papuch anabana, hata kusema apike hata chai weekend hakuna, matus mengi akiudhiwa kidogo tu. Hiv unafikir mumeo ashindwe kumgegeda housegirl? Tena akipata nyumba ndogo ndio anahama kbs sbb hata akiondoka hawez kujutia.
Housegirl ni mtu muhimu sana ila awe na mipaka ktk familia yako.
Big up sana mtoa mada
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom