JF: Kuna jambo langu hili halijanipendeza

JF: Kuna jambo langu hili halijanipendeza

LOGORIDDIM

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2013
Posts
1,599
Reaction score
1,142
Salaam.
Mimi ni member wa miaka mingi hapa. Sijawahi kuwa na ukorofi na mtu hapa jukwaani wala mtaani. Nimepost jambo langu hili serious imekuwaje mkalipeleka sehemu ya chit-chat and jokes?
Kama kulikuwa kuna tatizo lolote kwanini msiniambie?
Kwa kweli sijapendezwa... So my post is a joke?
 
Nilikuwa niko na mishe nyingi. Yaani I just realized kuwa nimefanywa clown... Tom & Jerry kind of stuff. I'm 60 yrs old. Sasa nikisema nimeumia sana, I really mean it!

Anyway, sisi ni binadamu na tuna mapungufu yetu. Bila shaka kuna mahali mtu alikosea. Hata mimi wakati mwingine ukosea. Natumai watarekebisha hili. In'sha'Allah.
 
Wamekosea sana kufanya hivi
Sema nini, unaweza kuta "modi" aliekua incharge wakat anaona jambo lako ni mshamba hajui mambo ya logo so akadhani ni mapicha picha ya jokes tu.
Pole mkuu, si ni life.
Akiona bwana maxi atalifanyia kazi
 
Back
Top Bottom