kimboka one
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 734
- 85
wadau leo nimekubali Jf nizaidi ya chuo kikuu baada ya kusoma habari ilianza na kichwa UFISADI BILA MAJIBU... na michango ya wadau hakika kuna haja ya kuanzisha gazeti la Jf ili watanzania wengi wapata haya mawazo kwa urahisi.muundo wake litoe mawazo ya wadau na michango kwa zile post bora za wiki.liwe na makala zinazotokana na jf.lisifadhiliwe na wezi.wadau boresheni wazo hili na kumradhi kwa hicho kichwa cha habari nilitaka kuvuta makini yenu nipate mawazo