Kungurumweupe
JF-Expert Member
- Jun 17, 2008
- 317
- 109
Hofstede nakubaliana na wewe. Ni kweli kama kuna mtu ana mambo nyeti au anataka kutoa mchango wa ku-Criticise hatapenda hajulikane, na nadhani hilo ni la msingi sana ili kuhakikisha mhusika anatoa mchango wake bila kuwa na wasiwasi.
Pengine mimi nimeona nijitambulishe kwa ajili ya role yangu katika kutoa taaarifa hizi. Wengi wengependa kujua kwa uhakika anayeleta habari hizi ni nani na kwa nini. Na kwa hili nitakuwa muwazi katika kujibu au kuelezea critics zozote na mambo mengine kama alivyoanza ndugu yangu Matejoo hapo juu kwa maandishi makubwa sana.
Hata hivyo sidhani kama tukionana katika Networking Meeting utatumia jina lako hilo. Na hata ukijitambulisha katika hiyo meeting kwa jina lako sitaweza kujua kama wewe Hostede katika JF.
Mtsimbe,
It looks like JF gave you a run for your money, but on the other hand I believe you have gotten a basket full of tangible good ideas that might help TPN for moving forward and for business as usual. I commend you for your elaborative answers and your time!
Good we need a committed leader like you...ngoja niipitie your constitution vizuri and then i will make my own decision..but i think ni idea nzuri before hata ku iread hiyo const...but anything might happen...let me take my time
Mzalendo Kitila,
To be frank with you I am not against their idea, ila tu ninataka wawe makini
Unajua kilichonistua pale niliposoma email yao na vile walivyokuwa rahisi kujiunga nao. Kama professional body sikutegemea kila kitu kiwe mara moja. Nilitegemea kwanza watume form ya maombi and then waipitie mtu akimiti conditions zao aruhusiwe kujiunga nao. Sasa ndio suala la malipo lije tatizo langu ni hilo.
I am Professional & Registered Quantity Surveyor ninaungana na wazo la kuunganisha profession za field zote, kwani itasaidia sana kufungua uwigo wa maendeleo kwenye nchi yetu.
Nitapokuwa tayari nitajiunga nao ili mapungufu yaliyopo kule TPN tusaidiane kuyatatua ili tuwe na the real "Tanzania Professionals Network".
Kwa hiyo siku moja tutakuatana kule bahati mbaya itanibidi nijitambulishe upya. Ukija nyumbani and if you wish to attend one of their monthly meeting tuwasiliale.
Njimba
Ahsante Mr President,
Maelezo yako nimeyasikia na nimekuelewa, ila tu kwa mtazamo wangu jina la organisation yako haliendeni na maana halisi ya neno professional.
Kwa kutumia OXford Dictionary:
Maana ya neno professional:
1) connected with a job that needs special training or skill, especially one needs special training and a high level of education:
2) (of people) having a job which needs special training and a high level of education:
Ukiangalia maana zote mbili zinataka "a high level of education".
Nina imani hata kama mwazo yangu hayajakupendeza sana ila jaribu kuangalia hilo. In red hapo juu nina linganisha na Swali la "Yai na Kuku Kipi Kilianza" .........
Ok Mr President kazi njema
Njimba
From your comments:
1) Hakuna taarifa kama member hajaqualify, yes understand your policy of win, win, win ............
2) Ahsante kama mtaliangalia.
3) Yes, as per item 1, However, noone has ever disqualified to be a member
4) No comment
5) No comment
Njimba
Mr President,
I can see you are wondering the way I got that email from your office Administrator.
Ngoja nicheke kidogo, ha haaaaaaaaaaaaaaa!
This is JF brother, serikali, mashirika ya umma huwa wanashangaa the so called CONFIDENTIAL DOCUMENTS ARE HERE JANVINI ZIMEANIKWA , EPA, RICHMOND, ETC.
What I like with JF you do not know who is who?
Please do not sack your collaborators because of that email. Just sahihisha utaratibu wa kupata ma-member.
In addition, I might be a member or a prospective member of TPN
Njimba
Mheshimiwa Njimba,
Nimepitia katiba na documents kadhaa za hawa bwana (TPN) ambazo zinapatikana kwenye website yao. Kwa upande wa wanachama wanasema inabidi uwe "graduate of a higher learning institution". Sasa wewe unatilia shaka kwamba mtu aliyemaliza degree au diploma ya juu atakuwa sio professional? Halafu uelewa wangu ni kwamba moja ya lengo lao ni kutengeneza professionals, so sioni tatizo ukijiunga kabla hujawa professional madamu una-meet the minimum requirement, na katika kushiriki shughuli zao ukapata profession unayotaka.
Nikwambie kitu, mimi nime-deal sana na NGOs Tanzania. NGOs nyingi ni za kibabaishaji na zinaendeshwa na watu wawili, watatu, na wakati mwingine mume na mke na wala huwezi kuzi-trace. sasa angalia hawa TPN, nimepitia website yao, eeh bwana, ni nadra kupata NGO ya namna hii TZ. Tena nimeona mkutano wao wa December 2007 ulikuwa na wanachama hadi 120!!! Nimepitia documents zao kadhaa, eeh bwana jamaa ni wazuri na wanajitahidi sana na wana vision kubwa kwelikweli.
Tafsiri yangu ya lengo lao kuu ni kwamba wanataka kuwajengea watanzania uwezo, hasa vijana, ili waweze ku-realise potential zao vizuri na hivyo kutumia hizo potential katika kujiletea maendeleo yao na kuweza kuchangia maendeleo ya nchi, don't you think this is a noble cause worth supporting?
Nikiwa mwalimu naelewa matatizo ambayo graduates wetu wanayo inapokuja kwenye swala la uwezo katika nyanja mbalimbali, ikiwemo hata kuandika barua nzuri ya kuomba kazi, CV, interview skilss, uanzishaji wa biashara, n.k. Sasa mimi bwana mtu yeyote anayejitokeza kusaidia kutatua hili tatizo nitamuunga mkono sana, ndio maana naona kwamba hawa TPN ni muhimu sana wasaidiwe.
Mimi binafsi, kupitia maelezo ya kiongozi wao mahiri huyu bwana Matsimbe na documents zilizopo kwenye website yao, hawa TPN wamenishawishi sana. Nitafanya maamuzi ya mwisho ya kujiunga nao au la mara nikifika Dar na kuwatembelea ofisini kwao.
Mzalendo Kitila,
To be frank with you I am not against their idea, ila tu ninataka wawe makini
Unajua kilichonistua pale niliposoma email yao na vile walivyokuwa rahisi kujiunga nao. Kama professional body sikutegemea kila kitu kiwe mara moja. Nilitegemea kwanza watume form ya maombi and then waipitie mtu akimiti conditions zao aruhusiwe kujiunga nao. Sasa ndio suala la malipo lije tatizo langu ni hilo.
I am Professional & Registered Quantity Surveyor ninaungana na wazo la kuunganisha profession za field zote, kwani itasaidia sana kufungua uwigo wa maendeleo kwenye nchi yetu.
Nitapokuwa tayari nitajiunga nao ili mapungufu yaliyopo kule TPN tusaidiane kuyatatua ili tuwe na the real "Tanzania Professionals Network".
Kwa hiyo siku moja tutakuatana kule bahati mbaya itanibidi nijitambulishe upya. Ukija nyumbani and if you wish to attend one of their monthly meeting tuwasiliale.
Njimba
Sanctus Mtsimbe,
Sikuelewi kwanini unang'ang'ania hiyo hoja yako ya majina halisi. Usitupotezee muda tuna mambo mengi ya kujadili hapa JF. Kama umetumwa umechemsha.
I agree with you. This was a problem. Kwa wakati ambapo watu wameshaumwa na nyoka wanatakiwa wawe makini sana, hela ije nyuma kabisa baada ya mwananchi kuelewa malengo na kuyakubali. Vinginevyo kama watakuwa wepesi wa kudai mahela tu, kama ulivyosema awali, wataonekana ni walewale wahangaikaji wnaotumia kalamu kuwaibia wananchi, na ndio itakuwa mwisho wa mchezo!! Hili ni angalizo muhimu ambalo lazima TPN walichukue!
Originally Posted by Njimba Nsalilwe
Mzalendo Kitila,
To be frank with you I am not against their idea, ila tu ninataka wawe makini
Unajua kilichonistua pale niliposoma email yao na vile walivyokuwa rahisi kujiunga nao. Kama professional body sikutegemea kila kitu kiwe mara moja. Nilitegemea kwanza watume form ya maombi and then waipitie mtu akimiti conditions zao aruhusiwe kujiunga nao. Sasa ndio suala la malipo lije tatizo langu ni hilo.
I am Professional & Registered Quantity Surveyor ninaungana na wazo la kuunganisha profession za field zote, kwani itasaidia sana kufungua uwigo wa maendeleo kwenye nchi yetu.
Hii ishu ya kutumiwa form ya maombi imekuwa application ya shule au chuo, inabidi tutofautishe taratibu hizi. sioni kwa nini utumiwe form ya maombi au ujaze form ya maombi, person information na details za ku-qualify kwako ukitoa na proof za how you qualify zinatosha. kutumiana form za maombi ni kuanzisha ukiritimba ambao hauna mpango.
Professional kama quantity surveyors, doctors, engineers wanahitaji aidha kuomba kwa kutumia application form au kwa ku-proof kwa mitihani ya bodi au something. tusianze ku-complicate mambo jamani. Kuna njia nyingi za kucheki qualification za mtu na pia vile vile kuna hata kampuni ambazo kazi yao siku hizi ni kufanya background au qualifikation check.
Mkuu GM,
Sasa wewe unapendekezaje? Msaidie Mr President of TPN ili asahihishe hili.
Njimba
kama watachukua pesa tu za registration na kukubali at face value kwamba wewe ni fulani na qualification zako ndio hizo then wanawela loop hole kwa wale ambao watakuwa wanatafuta benefit fulani na kuipata wanaona ni kuwa mwanachama. Professionals need to be really professionals.
I can see you share my woes!
However, Mr President promised to do something.
Njimba
Bw Mtsimbe...ur Organization needs to do more to convince others..and u should preach injili ya uzalendo to the current members of ur organization to be more active rather than sitting and waiting for the meetings only..my concern here is to rescue our beloved poor country from the pool of Mafisadi who make our country to be a laughing stock 'n the eyes of other nations...let ur Network/Organization be the active figure in this process of regain our reputation from other nations..msikubali kwa nia yeyote kumezwa na mafisadi hata kama wanachangia chama chenu kwa namna yeyote ile...be strong..ningependa Organization yenu iwe ni taswira ya uzalendo wa kweli na mtaheshimika na kupata members wengi na i hope kwa kuanzia hapo...tutapiga hatua kubwa sana katika kuliondolea taifa letu katika aibu nyingi ambazo zinatutesa kwa sasa... ''tatizo ni kuwa na humo ndani ya hicho chama utakuta na mafisadi nao wamejificha......!!''
Hii ishu ya kutumiwa form ya maombi imekuwa application ya shule au chuo, inabidi tutofautishe taratibu hizi. sioni kwa nini utumiwe form ya maombi au ujaze form ya maombi, person information na details za ku-qualify kwako ukitoa na proof za how you qualify zinatosha. kutumiana form za maombi ni kuanzisha ukiritimba ambao hauna mpango.
Professional kama quantity surveyors, doctors, engineers wanahitaji aidha kuomba kwa kutumia application form au kwa ku-proof kwa mitihani ya bodi au something. tusianze ku-complicate mambo jamani. Kuna njia nyingi za kucheki qualification za mtu na pia vile vile kuna hata kampuni ambazo kazi yao siku hizi ni kufanya background au qualifikation check.