JF imetaka kunipeperushia njiwa wangu

JF imetaka kunipeperushia njiwa wangu

Neno "jamani" linapendwa sana kutumiwa na ma manzi.
We kula kulala unajua nn, nyie mnaojifanya wagumu ndio waliwa biriani kwaasilimia kubwa mjini
 
Wajinga wanazaliana kwa kasi sana. Ipo siku idadi yao itakua kubwa kuzidi wenye akili timamu.

Tatizo ni pale watakapomchagua mwenzao awe rais wa nchi!

We are doomed!
Very doomed.
 
Wajinga wanazaliana kwa kasi sana. Ipo siku idadi yao itakua kubwa kuzidi wenye akili timamu.

Tatizo ni pale watakapomchagua mwenzao awe rais wa nchi!

We are doomed!


Kwani si walishatuzidi na wakamchagua mtu wao?
 
Kwani si walishatuzidi na wakamchagua mtu wao?
Ukiona mshahara nimdogo siunaacha kazi jamani mbona sisi tumejiajiri namambo yanakwenda mkuu maana naona toka tarehe 1 mwezi huu waajiriwa waserikali hampo sawa kabisa
 
Ukiona mshahara nimdogo siunaacha kazi jamani mbona sisi tumejiajiri namambo yanakwenda mkuu maana naona toka tarehe 1 mwezi huu waajiriwa waserikali hampo sawa kabisa

Mimi mwendesha mkokoteni tu mkuu, niliogopa umande.
Huko serikalini ningefikaje?

Karibu sana Shinyanga.
 
Back
Top Bottom