Usedcountrynewpipo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,636
- 2,728
Wakuu, nilikuwa nawaza sana watoto wangu niwaite majina gani, nashukuru kupitia JF nimeshachambua majina kati ya majina ya members humu ambayo nitawapatia watoto wangu.
Mtoto wa kwanza ataitwa Kasigazi Kalungi
Mtoto wa pili ataitwa Jike shupa
Mtoto wa tatu ataitwa Ngengemkeni Mitomingi
Mtoto wa nne ataitwa Freyzem
Mtoto wa tano ataitwa Mzito Kabwela.
Hadi hapo tumefunga uzazi.
Sijui wenzangu mna maoni gani?
Mtoto wa kwanza ataitwa Kasigazi Kalungi
Mtoto wa pili ataitwa Jike shupa
Mtoto wa tatu ataitwa Ngengemkeni Mitomingi
Mtoto wa nne ataitwa Freyzem
Mtoto wa tano ataitwa Mzito Kabwela.
Hadi hapo tumefunga uzazi.
Sijui wenzangu mna maoni gani?