JF Imekufanyia nini katika maisha Yako?

JF Imekufanyia nini katika maisha Yako?

imenifanyia makubwa kipindi nina ujauzito ilinipa company maana baba watoto mimba ilimchukia,
ilinifanya nipunguze kuzurura kwenye vigrosary vya vichochoroni huko mtaani kwetu,
imenifanya nijue mambo mengi yanavyoenda hapa njini[emoji38] [emoji38]
nimeichukia ssm
pia imenijuza mafisadi papa


viva jf
 
imenifanyia makubwa kipindi nina ujauzio ilinipa company maana baba watoto mimba ilimchukia
ilinifanya nipunguze kuzurura kwenye vigrosary vya vichochoroni huko mtaani kwetu
imenifanya nijue mambo mengi yanavyoenda hapa njini
nimeichukia ssm
pia imenijuza mafisadi papa


viva jf
ok aisee..good mtoto ana miaka mingapi now maana ilikua 2012..
 
Ushauri nlioupata JF umenipeleka jela wiki mbili baada ya kumcharanga uncle aliyetongoza wife wangu!

Wito chambua ushauri unaopewa hapa JF coz upo mzuri na wakishetani, akili kumkichwa usikurupuke lol!
TO BE HONEST JF IS EVERYTHING WAKUU
Umeshatoka huko jela?
 
Naburudika, naelimika, nashiriki na kushirikisha wadau, kifupi ni full package
 
Back
Top Bottom