Merchante
JF-Expert Member
- May 9, 2017
- 1,458
- 3,011
Mimi si mgeni humu JF,japo si mkongwe sana. Kwa mara ya kwanza nilijiunga rasmi JF 2013,na nilibadili ID 2015 na hii mpya niliibadili mnamo mwaka 2017.
Nakumbuka JF ilikua "Home of great thinkers" haswaa!,hawa Chawa sijui viwavi jeshi hawakuwepo kwa wingi.
Na hili wimbi la Chawa kuongezeka humu JF ni kati ya 2021 mpaka sasa.
Chawa wamekua wakianzisha anzisha tu nyuzi za mapambio yasiyo na tija (sijajua wanalipwa TSH ngapi kwa kila bandiko la uchawa,ila wamejaa sana humu kiasi kwamba wanakera,wanazingua,wanakwama parefu asee!!
Kwa mfano lile Jukwaa la Siasa wamejaa hawa Kupe mpaka sio poa,inafikirisha kuona Zee la miaka 50s-70s liko bize kuchapisha uzi wa kusifia tu bila tija,huu ni Uzwazwa.
Nakumbuka JF ya kipindi hicho unakutana na nondo za Lumumba,Bark (kama sijakosea spelling), Mshana Jr Pascal Mayalla. Bila kumsahau Deception, Chief Mkwawa,n.k.
Ushauri wangu kwa mods,kama kuna namna ya kuwapunguza hawa Chawa humu fanyeni,wanapoteza mvuto wa JF mpaka kwa sasa inaonekana kama ni miongoni mwa uwanja wa Chawa kuja kuruka ruka.
Chawa mnaruhusiwa kuja kujibanza katika huu uzi.
Nakumbuka JF ilikua "Home of great thinkers" haswaa!,hawa Chawa sijui viwavi jeshi hawakuwepo kwa wingi.
Na hili wimbi la Chawa kuongezeka humu JF ni kati ya 2021 mpaka sasa.
Chawa wamekua wakianzisha anzisha tu nyuzi za mapambio yasiyo na tija (sijajua wanalipwa TSH ngapi kwa kila bandiko la uchawa,ila wamejaa sana humu kiasi kwamba wanakera,wanazingua,wanakwama parefu asee!!
Kwa mfano lile Jukwaa la Siasa wamejaa hawa Kupe mpaka sio poa,inafikirisha kuona Zee la miaka 50s-70s liko bize kuchapisha uzi wa kusifia tu bila tija,huu ni Uzwazwa.
Nakumbuka JF ya kipindi hicho unakutana na nondo za Lumumba,Bark (kama sijakosea spelling), Mshana Jr Pascal Mayalla. Bila kumsahau Deception, Chief Mkwawa,n.k.
Ushauri wangu kwa mods,kama kuna namna ya kuwapunguza hawa Chawa humu fanyeni,wanapoteza mvuto wa JF mpaka kwa sasa inaonekana kama ni miongoni mwa uwanja wa Chawa kuja kuruka ruka.
Chawa mnaruhusiwa kuja kujibanza katika huu uzi.