JF home sweet home

JF home sweet home

Jamiiforum njoo nawazo la kupiga watu pesa kwa kuwaahidi watapata mamilioni ya fedha hapo utawaokota na utaona pesa zao maana wengi wanapenda mteremko.
Lakini kuja kuomba uchangiwe mtaji aloo hakuna rangi na fedhea utaacha kuona.
 
Kumbe with a million I can do all of that,
Issue ni kwenye kuvitoa hivyo vitu 20! Inategemea na demand, uchangamfu na mengineyo..

Mkuu mashangazi vipi yamekuacha solemba?
Business bana simple tuu kuna sheria ukijua mkuu hata hutoteseka aiseee
 
Jamiiforum njoo nawazo la kupiga watu pesa kwa kuwaahidi watapata mamilioni ya fedha hapo utawaokota na utaona pesa zao maana wengi wanapenda mteremko.
Lakini kuja kuomba uchangiwe mtaji aloo hakuna rangi na fedhea utaacha kuona.
Nishaanza kuona hapa ila hi ni business idea mtu anaweza aka wekeza aiseee
 
Kama biashara ni kitu simple kwanini usianze biashara yenye mtaji wa 10k ili upate faida ukusanye mtaji wa 1M unaoutaka😎
Kuna jambo hapo ujaelewa mkuu..
Ila mambo sio rahisi kama unavyozania
 
Nipe maarifa mkuu nimeichoka kazi ya kuamka saa 11 narudi home saa 6 usiku
Kama umeajiliwa komaa huko huko..
Its better ukawa unapata 500k per month kuliko ku quit alafu ukaja kupambana na business ambayo inahitaji at least 2 year kuwa stable na kujua trend yake......

Siri uliyojificha kwenye biashara ni customer care, na elimu nyingine ni siri ya mtu na mtu.
 
Najua mambo sio rahisi ndio maana nimekushangaa wewe kusema biashara ni simple
Aaah sikumaanisha totally ila tu kuna misingi flan ukiweka daah utateleza sana...
Mpaka ufikie wakati wa kusema simple jua ume experience vya kutosha na kujua trend ya mambo yanavyoenda
 
Kama umeajiliwa komaa huko huko..
Its better ukawa unapata 500k per month kuliko ku quit alafu ukaja kupambana na business ambayo inahitaji at least 2 year kuwa stable na kujua trend yake......

Siri uliyojificha kwenye biashara ni customer care, na elimu nyingine ni siri ya mtu na mtu.
Mkuu napata zaidi ila nataka nianzishe scale investment au business, maisha ya utumwa mabaya sana ndugu, Nataka nianzishe huku napiga huku then baadae ni quit mazima
 
Mkuu napata zaidi ila nataka nianzishe scale investment au business, maisha ya utumwa mabaya sana ndugu, Nataka nianzishe huku napiga huku then baadae ni quit mazima
Wanaposema mshika mawili moja .....
Ni sawa kabisa wala hawajakisea ila sasa ukitaka ufanye investment its oky uka focus na real estate.

Ila ukisema biashara basi itakubidi upate mtu ambaye ni makini sana ambaye ata handle kile kitu kama chake.

Biashara inahitaji utulie wewe kama wewe ndo mana wanasema either uache huko ulipo na kama ukasema unakomaa basi itakubidi ukusanye kiasi ambacho hata ukianzisha jambo basi unaanza kwa large scale.

Ku quit kitu ambacho kinakupa costant flow ya pesa ni zaidi ya sacrifice
 
Wanaposema mshika mawili moja .....
Ni sawa kabisa wala hawajakisea ila sasa ukitaka ufanye investment its oky uka focus na real estate.

Ila ukisema biashara basi itakubidi upate mtu ambaye ni makini sana ambaye ata handle kile kitu kama chake.

Biashara inahitaji utulie wewe kama wewe ndo mana wanasema either uache huko ulipo na kama ukasema unakomaa basi itakubidi ukusanye kiasi ambacho hata ukianzisha jambo basi unaanza kwa large scale.

Ku quit kitu ambacho kinakupa costant flow ya pesa ni zaidi ya sacrifice
Inategemea mkuu

Bosi wangu yupo versatile sana, Sema ndo hivyo yeye tayar kashajipata.

Jamaa ana bars, amefungua cash points, ana fanya logistics in short Jamaa anakula matunda alivyo Tumia miaka mingi sana kujenga.

Hapa itanibidi tu nianze hata kama nitafeli. Ukimfuata akupe ushauri a nakwambia anza na hicho hicho,
 
Inategemea mkuu

Bosi wangu yupo versatile sana, Sema ndo hivyo yeye tayar kashajipata.

Jamaa ana bars, amefungua cash points, ana fanya logistics in short Jamaa anakula matunda alivyo Tumia miaka mingi sana kujenga.

Hapa itanibidi tu nianze hata kama nitafeli. Ukimfuata akupe ushauri a nakwambia anza na hicho hicho,
Kuwa makini mkuu..
Watu ambao unaona wapo huku na huku jua waliwekeza hawakuwa na capital ya kuchovya chovya...
 
Mkuu mchanganuo wako uko na ukakasi.
Hiyo kodi ya miezi miwili iko sawa kweli?? Au ni eneo gani hilo kodi ipo chini namna hiyo?
 
Uzi umekaa kinadharia sana, yaani umeandika lakini inaonyesha huna uzoefu
Embu shibisha nondo Kuna 500k mfuko wa shati

NB
Gongo la mboto usikanyaje completion kubwa na Kuna ujenzi wa barabara

Kisewe sawa ila mzinguko itakuwa mdogo watu wanamaliza mbande

Maybe kwenye minada uwe unazunguka nayo Monday to Sunday

All the best
 
Back
Top Bottom