JF Hip-hop frestyle battle

JF Hip-hop frestyle battle

Iman isikufanye utenge ndugu yako..

Itikatadi isikufanye umchukie jiran yako..

Mungu alituumba na upendo wa pekeee..

Leo cna nikiomba Basi kesho niletee..

Mm napenda ile iman ya kuamisha milima..

Mabonde, majabali, vijito na visima..

Sio ile iman ya kuhalalisha takrima..

Au ya kumdhulumu mama yule alo achiwa yatima..
 
Nacheki avatar nasahau amri kumi za mungu,

Yeth mtoto matata nataka kusuuza rungu,

Sema chochote utapata fanya kunipa uvungu,

Kazi imekua kazi kidume nataka tundu
Natazam naona watoto wanaleta makuzi........
Vina vimeungwa mpka zimelegea nyuzi.
Nakaa pemben naon bora niwaachie uzi
 
Kama ukimpenda Wema jiandae Kua bongomovie..

Uchezeshwe scene za scandal media ziuze nyuzii..
 
E
Tulia ww hii battle haiwez Kuisha Leo Wala kesho/
C unajua Leo getto umekuja so tunafanya mkesho/
Huwez kurap we Fanya Kama Yule Jamaa Mr kesho/
Ugeuke kichekesho/
Nakuja na zawad nakununulia gauni special/
Nimekupiga gor la1.2.3 na lá 4 mchiz navuja jasho/
Mtoto umesimama wima utasema unavuna korosho/
E bhna hi battle ni wapi imeishia.

Leo ndo mara ya kwanza JF nmeingia.

nmezisoma battle ghfla zikanivutia.

ikabidi nisignup sasa ninawaamkia.

wakubwa shikamoni, hamjambo wadogo.

Nimeona kuna m2 anasema mwenzake anagawa ndogo.

Akat ye daily kwa kitaa anatumia mikorogo.

Sifa yake kubwa anapenda tumia mihogo.

sasa imekua zogo pale anapokata gogo.

anatoa gogo pana mithili ya chake kisogo.
 
Muulize mjumbe wa bwana , atakwambia mimi mjumbe wa vina

Ma Emcee Coke Zero , njooni niwafundishe kuchana

Ngoja na leo Tuwaseme , labda mta BADILI TABIA

Mme mess kwa Mbwa dume , lazima mtakimbia


Me ndo @Mr.JF huo NI MTAZAMO TU

Mwambieni Miss Natafuta akinitaka atanipata tu

Kichwa Kichafu , hamniwezi mimi tajiri wa stanza

Kanda ya ziwa wananiita chief, shahidi tajiri wa mwanza

Natoa waraka, kama mtume paul kwa warumi

Kinywaji unachokitaka, barafu ya noto ndo mimi
Remember This
 
Its a longtime asee kwa hii thread sijatimba/nikikinukisha kinanuka zaidi ya kimba/my rhyme is a bigcock man utapata mimba/Me ndo mmasai wa basata waulize akina simba/
 
E
E bhna hi battle ni wapi imeishia.

Leo ndo mara ya kwanza JF nmeingia.

nmezisoma battle ghfla zikanivutia.

ikabidi nisignup sasa ninawaamkia.

wakubwa shikamoni, hamjambo wadogo.

Nimeona kuna m2 anasema mwenzake anagawa ndogo.

Akat ye daily kwa kitaa anatumia mikorogo.

Sifa yake kubwa anapenda tumia mihogo.

sasa imekua zogo pale anapokata gogo.

anatoa gogo pana mithili ya chake kisogo.
Inasikitisha sana member since 2017 still you have one like?/

this means you have nothin to impress nigga on your posts/

Kumbuka hii siyo fb kusema utatumia autoliker ku bust/
 
hakuna muda maalum wa kuamka//

kuna muda maalumu wa kuwajibika//

ukitumika na kutupwa usimtupe atakayekuokota//

Nakukumbusha kuwa najua kuandika siwezi kufuta//
 
Oi wana, hizi punch untouchable,//

Kuzitouch masnitch impossible,//

Audible, lakini sio portable,//

Kwa snitch, // wabichi//
Invisible,
Mawitch hawaoni hizi magic,
Verse na stanza ni singable//

Mafakes kuzising impossible//

Okey, mabrazameni wamesanda//

Physically, Mentally bado nawashinda//.

Kuspeak naspeak zaid ya spika, //
Mi strong sio weak spika, //
Kibabe naspeak kama Samweli Sitta//
 
I might rap tight like a snatch of a fat dike
But I aint wrapped tight
I kill yall fake rappers on sight
Make u submit to me without a fight

flow uglier like the gugenheim building had a child with the most compicated rube goldberg machine.
Call me Iddy Amin
 
I might rap tight like a snatch of a fat dike
But I aint wrapped tight
I kill yall fake rappers on sight
Make u submit to me without a fight

flow uglier like the gugenheim building had a child with the most compicated rube goldberg machine.
Call me Iddy Amin
Mwana, mistari yako una search kwenye google//

Bando likiisha, unadrop kwenye Battle//

Usiingie ulingoni nami nitakutoa magego//

Ninavochana mimi hadi Nay anakosa Mitego//

1, 2, 3 Naanza kutema flows

Zenye akili sio fyatu, haters zawavunja jaws,
 
ebu tulia mtoto wa mama mzao wa ng'ombe ntakuita ndama/

kaa tayari nikufanyie hifadhi mtu mzima niite mpanga kazi/

tulia nikupashe habari usiyo nayo/

ukiniona kaa mbali au karibu nikusafishe kama ubao/

rudi shule au nikupe ule maana mchana una ubao/
 
ebu tulia mtoto wa mama mzao wa ng'ombe ntakuita ndama/

kaa tayari nikufanyie hifadhi mtu mzima niite mpanga kazi/

tulia nikupashe habari usiyo nayo/

ukiniona kaa mbali au karibu nikusafishe kama ubao/

rudi shule au nikupe ule maana mchana una ubao/
Punch hazieleweki utadhan ticha wa math/

pia mistari michaf, let them get bath/

Kwa kuchana you are not my level,

Waite wenzako wanaoweza hizi level/
 
Back
Top Bottom