JF Hip-hop frestyle battle

JF Hip-hop frestyle battle

Wakijaribu kwaaaaao ni pambio
Jaribu kwangu uone utakavyorudi na kilio
Na akili za kimakalio
Hizo sina, karibu uswazi kwetu msosi ni wa kupima na iwe hima
Jifunze na uishi kwa dhamiri, haina noma ukikomaa utamea kiudhahiri, na wanafikiri wao ni ma' conscious kumbe ni mafakiri kwa akili timamu hazipo kama wamesomewa albadiri

Kuwa makini,
Mwanamke ni laana yenye ufedhuli
Kasoro mama yako yeye ni nuru yenye ushauri...yoo

Kimatata najisongesha nimechizika si kwa limbwata, kwa weledi wa kimashairi wengi walidhani nimedata..
Ni king wa rhymes, ni king wa hii
Kwa hivi vina hamvifikii hata mjiongeze kwa bidii
Safari hii na hii play one, two, three
Leta nyomi leta shazi niwachape ka Bruce Lee
Najua unatingisha kichwa kwa feel ma flow, my bro nnamzuka wa 2pac japo sija' sign death row
Sina so, gusa unase utakavyochezea hii show
Kibiti ni trailer haki ya nani kwangu uta' blow

Wameingia choo cha kike underworld bifu na hade(s), Jf mkali wa vina ni mimi the Slim shady
 
Jitenge kaa mbali kwa kupambana nao, MCs wafu niwazike maigizo kwa nyama yao
R.I.P ziwafike MMU kwa post zao
Kwa lugha kali waimbishe usihofu mi ndo baba lao

Wanashtuka wakicheki nisiyefugika nimefika, Mtukutu
Hata milembe nilishafika, na hii sauti itafika hata ikiminywa kwenye spika
Na spika pekee ninayemjua ni Samuel Sita... Yeah

Muda ndiyo huu
Watoto wa Dar daily huwa hatupendi makuu
Na umakuu
Unao yule Mkuu wa Mkoa wa Dar, si mwengine ni Makonda anayeleta kizaazaa, halafu binti flani hivi nahisi unaomsumbua ni U'supa star..aah

Wananiuliza nawaza nini, nawajibu msihofu kikuu ni kujiamini, mjiamini
Siku ya mashujaa inaenziwa kwa kuondolewa Iddi Amini,Tz nchi yangu daima nitaithamini

Wanakuja,
Mapimbi wenye akili za Guruguja, anashika madaraka anaona wote ni wakuja......OK
Yeah! Halafu anapenda kujigamba......


Ebhana nina kazi nitaendelea baadae...
 
Shuka rhymes...
sio za kugunaguna...

bas chana chochote...
ama fanya unajikuna...

masela tumechefukwa...
tunafanya wida inavyotuma...

Sasa fanya kiutu uzima..
au jikatae mazima...


yeah!
good, bettet, not best naweza sema,

Kwa hizo rhymes r.i.p ulazwe palipo pema

Na mistar ya kiba100 elimika nyangema

Go n take rap school kisha u battle tena.

NATEST MITAMBO
 
Jf. .iko so soft now days/
hoja nyepesi zisizo na maana all days/
Natamani kuihama jf ila no way/
Hapa ni home of great thinkers ol days

From profile picture to proper future
 
Utamu wa huu Uzi unajibikiri
Punguza pupa nikupe umuhimu wa hii tafsiri
Kuwa jasiri
Hao ni vichwa mashudu ni rahisi kuwakabili

Hiphop imetupwa pembeni, MCs uchwaro wanapewa mashavu kilingeni
Ukiongea ukweli wanasema una' diss kampeni
Siasa za kibongo si siasa bungeni

Mike check one two, flow gizani inawapoteza waliolowea raha tu
Ni freestyle
Tunaandika ka tunachora, mtoto mzuri mashavu laini muite Flora, ni black colour
Yeah man kwa wake ubora, ndinga nimeshamiliki wawili tunatia fora
 
Naomba battle brothers
welcome inside hii ni zaidi ya devil section/

Ma master na mamoonstar we here kwa mission/

pleas usiogope bro hii ground ni yako japo skul haukupass devision/

am not out bro kwa kiswahili chenye dili nyingi nitakuchangia mpaka count ziwe down/

ona kope zimeficha macho be care hii ni starter tu isichoshwe kwa mboni'

japo green kwenye green light kuna masokomoko wengi wasioweza ushindani/

funga kibanda kwa kuwasha ganja full maujanja usihofie csta duu kumpa coin/


#YOUR WELCOME



Sent using Jamii Forums mobile app
 
welcome inside hii ni zaidi ya devil section/

Ma master na mamoonstar we here kwa mission/

pleas usiogope bro hii ground ni yako japo skul haukupass devision/

am not out bro kwa kiswahili chenye dili nyingi nitakuchangia mpaka count ziwe down/

ona kope zimeficha macho be care hii ni starter tu isichoshwe kwa mboni'

japo green kwenye green light kuna masokomoko wengi wasioweza ushindani/

funga kibanda kwa kuwasha ganja full maujanja usihofie csta duu kumpa coin/


#YOUR WELCOME



Sent using Jamii Forums mobile app
Na stim za ganja una battle JF?
Kukutana na mimi hesabu your not safe,
Kwa hii marathon namudu mile ndefu,
Usi battle na mii muhuni fanya tu uwe chef.

Vuuuuuum sasa dude ndo naliamsha,
Sijali devil ryhmer or freestyle pusher,
Just in few bars ndahakikisha umekwisha,
Just quote hii battle kuisanikisha.

THANKS FOR WARM WELCOME
 
Na stim za ganja una battle JF?
Kukutana na mimi hesabu your not safe,
Kwa hii marathon namudu mile ndefu,
Usi battle na mii muhuni fanya tu uwe chef.

Vuuuuuum sasa dude ndo naliamsha,
Sijali devil ryhmer or freestyle pusher,
Just in few bars ndahakikisha umekwisha,
Just quote hii battle kuisanikisha.

THANKS FOR WARM WELCOME
niko safe kila idara kwa kila ndumila aliye fake michano kuact kinara/

sina sent kwenye beg nina noti zenye rangi ya gold mc's wengi hawawezi ng'ara/

punde champ napoingia mikono juu wanasalim amri kama chura ya snura/

hizi si mbwembwe sitobattle nawe kwani najijua kabisa am your winner na upo soft kisura/

Sent using Jamii Forums mobile app
 
niko safe kila idara kwa kila ndumila aliye fake michano kuact kinara/

sina sent kwenye beg nina noti zenye rangi ya gold mc's wengi hawawezi ng'ara/

punde champ napoingia mikono juu wanasalim amri kama chura ya snura/

hizi si mbwembwe sitobattle nawe kwani najijua kabisa am your winner na upo soft kisura/

Sent using Jamii Forums mobile app
Oooopss naona umejisahau jinsia,
We Lucy leo umeingia cha kiume kimbia,
Ulikochonoa siko umepotea njia,
Na mwindaji ninacho kufanya subiri tu utahadithia,

The real mc nimekutana na mumble rapper
Unavyomumunya maneno kwani mdomoni meno kapa?
Vina vya hadhi ya dusko vyako vijisenti vya malapa,
King without crown vina bampa2bampa
 
niko safe kila idara kwa kila ndumila aliye fake michano kuact kinara/

sina sent kwenye beg nina noti zenye rangi ya gold mc's wengi hawawezi ng'ara/

punde champ napoingia mikono juu wanasalim amri kama chura ya snura/

hizi si mbwembwe sitobattle nawe kwani najijua kabisa am your winner na upo soft kisura/

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye game kitambo, mi nilimisi fanya mambo,
So nitawacha hoi kwenye fani hii kama mgambo,
Niite National icon usinikrem, mi sio mdogo kama microphone, nawaacha hoi,
Nawakimbiza aya msindhani mi nitabwaya, Nazicheza movie zangu siyo simple kama nakaaya,


CC Zero IQ
 
Kwenye game kitambo, mi nilimisi fanya mambo,
So nitawacha hoi kwenye fani hii kama mgambo,
Niite National icon usinikrem, mi sio mdogo kama microphone, nawaacha hoi,
Nawakimbiza aya msindhani mi nitabwaya, Nazicheza movie zangu siyo simple kama nakaaya,


CC Zero IQ
Zero Iq naona unatest mitambo ya ma genius,
Hii ni one two one two ngoja nishushe ryhmes,
Mwindaji leo nimekutana na vichwa rahisi,
Chukueni somo nawatrain kubattle nami yenu ndogo size,
U emcee ni hard msije na vichwa vya kipaparazi.
 
Kwenye game kitambo, mi nilimisi fanya mambo,
So nitawacha hoi kwenye fani hii kama mgambo,
Niite National icon usinikrem, mi sio mdogo kama microphone, nawaacha hoi,
Nawakimbiza aya msindhani mi nitabwaya, Nazicheza movie zangu siyo simple kama nakaaya,


CC Zero IQ
unajoke public your so funy eti kwenye game kitambo na unafanya mambo/


hivi ilikuwa mwaka gani..?naona yuda eskaliot umeamua kumwaga shombo/

hivi inawajua bad evil wacha izo porojo,unayakumbuka mafuta ya kimbo/

kipindi hicho hata haukujua write verse ulikuwa kirikuu tena mtoto wa mama wa kambo/

achana na kasumba na uache hizo siasa kama mbunge aliyekosa jimbo/


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zero Iq naona unatest mitambo ya ma genius,
Hii ni one two one two ngoja nishushe ryhmes,
Mwindaji leo nimekutana na vichwa rahisi,
Chukueni somo nawatrain kubattle nami yenu ndogo size,
U emcee ni hard msije na vichwa vya kipaparazi.
Sinaga Role model,nipo nipo,
Am look alike, kwa mikogo niko simple,
Wanazimika na wowooo,
Mi nazimika na bow wow,
Machizi nawapa michongo, kidogo dogo ma ex migongoo,
Am Realy nigger nawakomesha ile mbaya, wanakomaga mambwiga na Sauti kibaba ubaya,
Niko macho leta battle, nikuchalaze kwa kidogo nilicho nacho,
Ado ado naenda chato, soon ni mjini na Dar yatabaki macho,
Mi sio king wa free style ameshakufa,
R.i.P mangwair maana kitambo umepumzika,
Tumekuzika bado machozi yanachuluzika, umetuacha na majonzi na nyimbo twazuuzika,
Tunajificha tuna hide ID, mchozi bado yanatoka haki hazitusaidii,
Na vipi ben atatoka saa nane kwa time hii,
Ama kitambo ameshakufa na tuandike R.I.P.


Nani anataka battle na Mr Zero hapa.

CC Zero IQ


CC Zero IQ
 
Oooopss naona umejisahau jinsia,
We Lucy leo umeingia cha kiume kimbia,
Ulikochonoa siko umepotea njia,
Na mwindaji ninacho kufanya subiri tu utahadithia,

The real mc nimekutana na mumble rapper
Unavyomumunya maneno kwani mdomoni meno kapa?
Vina vya hadhi ya dusko vyako vijisenti vya malapa,
King without crown vina bampa2bampa
unapandisha mapepo nilikuacha sababu wewe ni mwepesi/

unaleta utoto mwingi mistari yako bado kid inanukia kinyesi/

muite bi mkubwa akutawaze mixer achukue reso akufute hizo kamasi/

mi nuksi mabepali wananiita busha we kinega mwenye ufuska kupita kiasi/

kila kitu kwako doro am your ninja nitakuteach ukue kiakili ili usiishi na mikosi/

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom