form1
Senior Member
- May 21, 2017
- 113
- 143
Ma mc mnanuka uvundo coz mnaflow zilizochacha/
Mafundi mafundi mchundo pia mna ndoto za alinacha/
Vina vina matege mistari ina kwashakoo/
Utadhani fix za lege wakati akiitwa njoo/
Dokta mistari tiba a.k.a panadoo/
Natema mistari miba mpaka nawashwa na koo/
Form1 wa siku zote nataka kuwapora point/
Kiokote naokota zote sibakishi hata sent/
Sent using Jamii Forums mobile app
Mafundi mafundi mchundo pia mna ndoto za alinacha/
Vina vina matege mistari ina kwashakoo/
Utadhani fix za lege wakati akiitwa njoo/
Dokta mistari tiba a.k.a panadoo/
Natema mistari miba mpaka nawashwa na koo/
Form1 wa siku zote nataka kuwapora point/
Kiokote naokota zote sibakishi hata sent/
Sent using Jamii Forums mobile app