JF Hip-hop frestyle battle

JF Hip-hop frestyle battle

The gas jina ,uwezo mkubwa ka waves za katrina

Mtonyo sina,ila flows zangu znavua bikin wakina tina
....


Post sent using JamiiForums mobile app

Na huu utumbo siku hizi eti unaitwa mistari,

Vesi zimejaa shombo zinaenda kombo unaziundia mistari,

Na kelele mingi za uongo nna usongo nakuundia mistari,

Uko slow ka ushirombo kukaza hauwezi tena,

Mgumu nimekuja nakusanya roho za manyangema,

Maneno shombo diss nyingi ka Diamond na Wema,

Ulingo unatuhusu panda ndani nikuchape na antena
 
The gas jina ,uwezo mkubwa ka waves za katrina

Mtonyo sina,ila flows zangu znavua bikin wakina tina

Wanao nijua wanajua am the best rapper

Kama jini anayatisha basi niite makata

Hakuna utata

Hawa kinda nawapakata

Daby usinifananishe mana sifanani nao

Mana wao wana copy swaga na viwalo vya dada zao

Habar wanayo

Wanavyo hate mi nakaza natoboa mpaka pande zao

Call me mfarisayo mwenye uchu na ushuru

Akya Mungu ningekua takukuru ningekua kigogo zaidi ya beno nduru

Ukitaka kua maarufu,basi mdis gas

Rapper mwenye kura turufu,hata nikiua sipati kesi


Post sent using JamiiForums mobile app
Nakutia kapuni,we muhuni mwenye mistari ya kichina
Nina ujuzi wa kubuni,na we katuni habari sina
Am doing this for funny,hujui kugani kupanga vina
Mamluki wa fani,unadhani lini utapata jina//
You!
Kikaragosi domo shona,mwenye jicho la tatu ameshaona,
......nyang'au koma!
Mi ndo rap donner,kana mgonjwa pona,
.....kipofu ona.//
 
Naona wengi mnaunga lines km mabehewa me nDio kichwa/
Naficha walio hai mpk ambao hawajawa Vijusi/
Mpo nDani ya makazi me kichuguu nyie Mchwa/
Tukutane maktaba wengine mtahisi haya ni Matusi/
Punches Sober House nakupa Antidote uache usumbufu km Mouse/
Sioni mshinDani kiunDani naona Pumba na kuku BanDani...
[HASHTAG]#Chaap[/HASHTAG]


Post sent using JamiiForums mobile app
 
Naona wengi mnaunga lines km mabehewa me nDio kichwa/
Naficha walio hai mpk ambao hawajawa Vijusi/
Mpo nDani ya makazi me kichuguu nyie Mchwa/
Tukutane maktaba wengine mtahisi haya ni Matusi/
Punches Sober House nakupa Antidote uache usumbufu km Mouse/
Sioni mshinDani kiunDani naona Pumba na kuku BanDani...
[HASHTAG]#Chaap[/HASHTAG]


Post sent using JamiiForums mobile app
Mida ya wakubwa ooh
Kijana lala urefuke//
Kupenda kupiga chabo
Utakuja upofuke//
Tandika kilago
Lala kisha jifunike//
Lala sasa dogo
Kesho mapema uamke//

Unasema tunaunga lines
We hauna hata paragraph//
Swagga zako harmonize
Zangu me ni kaligraph//
Me kwako oversize
Coz mziki wako rough//
Niite jinamizi
Nakutafuna kama ndafu//

Aaagh






Heavy Weight
 
Nawave kama blow
But nimejipanga/

Nawadatisha kwa hizi flow
Game nimejitoa mhanga/

Hii battle naweza
imurder na cough" Koh"/

Hizi Chenga mnazocheza
Ila mii nawachop/

nawatupa magereza
Saini atatia The Donchop/

Nawashangaa mnaonigeza
Wakati hamtawazi mnapopoop/

JF sina mpinzani
Wote bado maminor/

Tena bado mpo gizani
Nawamulika kwa simu za China/

Uwezo wenu ni kama nyeti
Nawafunua nitakavyo/

Wengine mmefoji vyeti
Vichwani hamnazo/

Vina hamjui kuseti
Zaidi mnarap mipasho/

Hakuna cha kubeti
Ushindi ndicho kitu nitakacho/
 
Nawave kama blow
But nimejipanga/

Nawadatisha kwa hizi flow
Game nimejitoa mhanga/

Hii battle naweza
imurder na cough" Koh"/

Hizi Chenga mnazocheza
Ila mii nawachop/

nawatupa magereza
Saini atatia The Donchop/

Nawashangaa mnaonigeza
Wakati hamtawazi mnapopoop/

JF sina mpinzani
Wote bado maminor/

Tena bado mpo gizani
Nawamulika kwa simu za China/

Uwezo wenu ni kama nyeti
Nawafunua nitakavyo/

Wengine mmefoji vyeti
Vichwani hamnazo/

Vina hamjui kuseti
Zaidi mnarap mipasho/

Hakuna cha kubeti
Ushindi ndicho kitu nitakacho/
Kupenda bila uwezo ni kazi bure joh,it's a poor job
Mi ni rap God kwa tasnia bob,the rap science coup
Venye hurap very dope,look! naku-murder kijangili baab//

You! punda....alokuteach rap hujuanga mi ni nunda,
Ndani ya kufuli kama nyeti nakusunda....mwali nakufunda,we ni tunda//
 
Kupenda bila uwezo ni kazi bure joh,it's a poor job

Mi ni rap God kwa tasnia bob,the rap science coup

Venye hurap very dope,look! naku-murder kijangili baab//

You! punda....alokuteach rap hujua mi ni nunda,

Ndani ya kufuli kama nyeti nakusunda....mwali nakufunda,we ni tunda//



Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app

Vile nawasha fire
Itabidi uvue leather/

Venye nawasha kaya
Napuliza kuchange weather/

Kidume unaona haya
Navyokuchenjua kwa smelter/

Kiukweli nipo true
Ila wee still lair mulize mpaka Wahuu/

Kwangu weka mikono juu
Mwendo wa mateka kama umekunywa valuer/

Nadrop bullets niggah
Tena timer kama jigga/

Kidume unarap au unaimba?
Ushajiuliza why tunapagawa na mafigure?/
 
Vile nawasha fire
Itabidi uvue leather/

Venye nawasha kaya
Napuliza kuchange weather/

Kidume unaona haya
Navyokuchenjua kwa smelter/

Kiukweli nipo true
Ila wewe lair mulize mpaka Wahuu/

Kwangu weka mikono juu
Mwendo wa mateka kama umekunywa valuer/

Nadrop bullets niggah
Tena timer kama jigga/

Kidume unarap au unaimba?
Ushajiuliza why tunapagawa na mafigure?/
Mtoto mbona povu jingi?,kwenye rap dogo mi ni dingi/

Ninachokijua huna misingi,unarap katuni mboyoyo mingi/

Unajisifu eti unavuta bangi,tena mbele ya mimi rap mangi/
 
Mtoto mbona povu jingi?,kwenye rap dogo mi ni dingi/

Ninachokijua huna misingi,unarap katuni mboyoyo mingi/

Unajisifu eti unavuta bangi,tena mbele ya mimi rap mangi/
Unajitutumua, ila keyboard imeloa jasho jingi /

Unafunika nafunua, wee bishoo naona unaforce kingi/

Punguza carolyte inababua, tena uache pan'gan'ga mingi/

Buda chunga Nipo stabo, na siwezi heshimu maminor/
Wanaotumia bando la promo, tena na Tecno za China /
 
Mida ya wakubwa ooh
Kijana lala urefuke//
Kupenda kupiga chabo
Utakuja upofuke//
Tandika kilago
Lala kisha jifunike//
Lala sasa dogo
Kesho mapema uamke//

Unasema tunaunga lines
We hauna hata paragraph//
Swagga zako harmonize
Zangu me ni kaligraph//
Me kwako oversize
Coz mziki wako rough//
Niite jinamizi
Nakutafuna kama ndafu//

Aaagh






Heavy Weight
Naona unakunya me Naharisha tega mikono nikupe Haja/
Mkali Bars zinajidhihirisha uko Ng'ambo nakuvusha kama Daraja/
Kafanye Battle chekechea hapa nahisi Nakuonea/
Upumzike kwa Amani Maana ushatutoka ktk Hii fani/
The illest kwenye Scene Nameza wabovu km ww mithili ya meli Baharini/
UkishinDwa kusumbua hautowinDwa tambua sijakaza UshapinDa NikidinDa utajilaza...
yaap

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Naona unakunya me Naharisha tega mikono nikupe Haja/
Mkali Bars zinajidhihirisha uko Ng'ambo nakuvusha kama Daraja/
Kafanye Battle chekechea hapa nahisi Nakuonea/
Upumzike kwa Amani Maana ushatutoka ktk Hii fani/
The illest kwenye Scene Nameza wabovu km ww mithili ya meli Baharini/
UkishinDwa kusumbua hautowinDwa tambua sijakaza UshapinDa NikidinDa utajilaza...
yaap

Post sent using JamiiForums mobile app
Worzaaaa

Huu ni msitu wenye mashimo
Sio kichaka cha nyasi//
mbwa mwitu mwenye meno
Sio sungura au fisi//
Nang'ata wenye maneno
Kama wewe conscious//
Kimziki we ni mdogo
Shika leso utoe kamasi//

Wewe unaharisha
Me ndo dawa ya cholera//
Jaribu kubisha
Ngariba nkufanyie tohara//
Kwa vina natisha
Nawakilisha masela//
Mlaini ukijipitisha
Lazima nkupige ngwala//

Aaagh


Heavy Weight
 
Worzaaaa

Huu ni msitu wenye mashimo
Sio kichaka cha nyasi//
mbwa mwitu mwenye meno
Sio sungura au fisi//
Nang'ata wenye maneno
Kama wewe conscious//
Kimziki we ni mdogo
Shika leso utoe kamasi//

Wewe unaharisha
Me ndo dawa ya cholera//
Jaribu kubisha
Ngariba nkufanyie tohara//
Kwa vina natisha
Nawakilisha masela//
Mlaini ukijipitisha
Lazima nkupige ngwala//

Aaagh


Heavy Weight

Ki baharia zaiDi...
Heavyweight ila lines zko Feather weight/Naku"Zoom" kwenye Fight nikuweke kwenye Sight/UShapotea kwenye night huwezi toka bila Light/Niko sick kwenye Skills we tafuta kick km Abby skillS/Huu uwanja wa machinjio we mfugo anDaa mbio/Nanyonga Wavivu km ww nawaning'iniza juu ya kichanja
Haujui mbichi wala mbivu huwezi kua sungura Mjanja...

Post sent using JamiiForums mobile app
 

Ki baharia zaiDi...
Heavyweight ila lines zko Feather weight/Naku"Zoom" kwenye Fight nikuweke kwenye Sight/UShapotea kwenye night huwezi toka bila Light/Niko sick kwenye Skills we tafuta kick km Abby skillS/Huu uwanja wa machinjio we mfugo anDaa mbio/Nanyonga Wavivu km ww nawaanika juu ya kichanja
Haujui mbichi wala mbivu huwezi kua sungura Mjanja...

Post sent using JamiiForums mobile app
Asubuhi ishafika beki tatu amka//
Kwanza ushapika chai na kufua mashuka//
Boss naenda kazini
Fanya usafi chumbani//
Safisha hadi uvunguni
Jioni pika biriani//

Worzaaaa

Heavy Weight
 
Asubuhi ishafika beki tatu amka//
Kwanza ushapika chai na kufua mashuka//
Boss naenda kazini
Fanya usafi chumbani//
Safisha hadi uvunguni
Jioni pika biriani//

Worzaaaa

Heavy Weight
We mhudumu lete chai vitafunwa lete nyama nina mori ka Masai/
Kisha nipe mahesabu sijala maandazi wala Kababu/
Na sina swaga za "keep change" jpo nna hela km Benki/
Vyombo toa Bila papara ukivunja utakatwa mshahara/



Post sent using JamiiForums mobile app
 
Jaman vp mbona kimya,
Au ndo mmeishiwa mistari.
Au ni ramadhani ya kimya kimya,
Kwa sasa mnangoja futari.
 
Enyi mamc vibaka,nani anataka battle na Tshaka?//
Haraka,njoo nikufiche mwenye roho ya paka//
Flow maji taka,mc kukupakata sina shaka//
Kijiti kishawaka,kibiti kunanuka bila shaka//
Marapa wananiita kaka....mc mwenye mamlaka,kila mwaka//
 
Back
Top Bottom