JF Hip-hop frestyle battle

JF Hip-hop frestyle battle

chalii umekwisha leo umekutana na ninja anayemiliki bahari ya michano

kuna mc na mbwatukaji we ni kibweka uliyevamia game rudi kwenye dance ukate viuno

hii haiko copy na kupest soon utaflot kwangu ni ngazi kwa ngazi mi ndiyo dokta kwako lazima nikung'oe jino

nakuchapa stick ya michano we ni dent kwa hii tasnia na unamalazi kibao kimwili unumwa gono
We fala una kelele, lakin ni mcee uchwara .
Naona una kipele, sasa subir uone tunavyo kupara.

Sijui hata una freestyle nin, ungelala ukuwe.
Umepoteza marinda nini, unachekesha ujue
 
ulikutana na fake mc wenzako kwangu we ni manzi

nakutafuna mchana kweupe mpaja utapata ganzi

hizi si shit nakupa i have a more flow kaisome kwa coliganzi

wananiita creater wa world wide kwangu we ni wife njoo nikuteach ku use your eyes bila lenzi

welcome to my city we ni kid uvae nepi hapa sinaga habar za kishenzi

am so big i think capacity ya ubongo wako ni kiwango cha siafu ama inzi
Huu ubongo mkubwa we ni shida hadhi yako Kayumba,

Kaa hapo tulia shuhudia mistari ninavyoiumba, nimekutega umeingia sasa unayumba,

Hua siflow bure hapa nalia mingo mavumba, nina itikad za kibabe hayo mavumba ya kwangu labda Jovitha anikabe,

Flow za suicide hapa anangoja kamikaze, ngoja nikupigie zeze, una kiuno lain baby inuka ucheze.
 
ulikutana na fake mc wenzako kwangu we ni manzi

nakutafuna mchana kweupe mpaja utapata ganzi

hizi si shit nakupa i have a more flow kaisome kwa coliganzi

wananiita creater wa world wide kwangu we ni wife njoo nikuteach ku use your eyes bila lenzi

welcome to my city we ni kid uvae nepi hapa sinaga habar za kishenzi

am so big i think capacity ya ubongo wako ni kiwango cha siafu ama inzi
Naona umerudi chimbo umeenda kujikusanya,

Rudi tena na utumbo uone ninavyofanya,

Nikutandike fimbo uache kunifata fata,

Mistari inameremeta cheki inavyowaka waka.
 
Hahaha naona unatunga tarab tata kazi kubwa za Mwamvita,

Umetutumia picha kazi kubwa Martin Kadinda,

Flow zako hovyo zangu zipo hot, mistar yangu moto mitam ka juis ya kijoti,

Flow tata kali huzielew na mwendo wa samasoti,

Flow zako kijeba haizkuti zangu ni ngongoti.
umeishiwa mainstream niache mi nitambe mwenye big dream

hauna chako na verse zako kiinua mgongo unaishia kukrean

nasikia dogo unajichubua always face yako kwa kioo unajicreem

kwa battle nami mje kama wew alfu na hamtoniweza hebu kalambe ice cream

mim dad kwako kama unabisha go back at home kisha muuliza your mom

nilishacheza naye michezo ya hatar mixer kumbadili dini kutoka christian kuingia uislam

asalam aleko mi ni P.I.M.P wananitii mpaka maghost we kiraka dont blame
 
We fala una kelele, lakin ni mcee uchwara .
Naona una kipele, sasa subir uone tunavyo kupara.

Sijui hata una freestyle nin, ungelala ukuwe.
Umepoteza marinda nini, unachekesha ujue
bora uwe mcheza bolingo kwa falii ipupa

kuliko kuja hapa kama mlupo hsukawii kurusha chupa

unastress kibao unazihamishia kwa JF we dagaa mim papa

zaidi ya benedict we kwangu ni mama lishe cha ajabu bado upo hapa

unakuja na vimistar vyako viwili kisha una apear what happening umechoka chapa lapa

ngoja nikuhurumie usije kufa kwa presha na ukabaki kuwa skrepa
 
Yeeeaa nakuja ulingoni kunyakua ushind bila bond/sina pupa wala maringo kam vile mondi nimejzatt naweza kkvunja mbavu kam omondi/mamluki wanachuki kwa vina nawaacha uchi/cna beef nawatt wadgo mafogo mtakalia mkuki/madem wanaelew show zang kwan hukawii kutoka mknoni na chup*/ama ganstar nigger mda wte nawaza salari siogop pga dili za hatar/
 
Huu ubongo mkubwa we ni shida hadhi yako Kayumba,

Kaa hapo tulia shuhudia mistari ninavyoiumba, nimekutega umeingia sasa unayumba,

Hua siflow bure hapa nalia mingo mavumba, nina itikad za kibabe hayo mavumba ya kwangu labda Jovitha anikabe,

Flow za suicide hapa anangoja kamikaze, ngoja nikupigie zeze, una kiuno lain baby inuka ucheze.
ha haa unanisikitisha kumbe hauchani ila unaimba

na haujui tofautisha kuimba na kuchana kweli we ni mshamba

unakuja kifua mbana pua nimegundua upeo wako urefu wa kimba

we kinda mwenye hips don lie nasikia washakupa mimba

sigusiki mi developer rapper ila bado sijajianika we utabaki shika mkia mi ndiyo namba moja namba

 
umeishiwa mainstream niache mi nitambe mwenye big dream

hauna chako na verse zako kiinua mgongo unaishia kukrean

nasikia dogo unajichubua always face yako kwa kioo unajicreem

kwa battle nami mje kama wew alfu na hamtoniweza hebu kalambe ice cream

mim dad kwako kama unabisha go back at home kisha muuliza your mom

nilishacheza naye michezo ya hatar mixer kumbadili dini kutoka christian kuingia uislam

asalam aleko mi ni P.I.M.P wananitii mpaka maghost we kiraka dont blame
Kwa hivi vina vya ugoko wewe pumzi ishakata,

Unaleta utoto kunibishia mimi kaka, unatoa maboko mistari ka Harmorapa,

Hebu tuliza mshono wenzako mikia ilifyata, unatoa povu la omo ka mzee wa kilalacha,

Nina utajiri wa flow usitarajie nitachacha, nakupiga matobo mpka ujifunze kudaka,

Mistari yangu laghai zaidi ya bonge la paka, wenzako wananiogopa hawataki hata kuniita,

Una deni langu la freestyle 3 hebu anza kulipa.
 
Yeeeaa nakuja ulingoni kunyakua ushind bila bond/sina pupa wala maringo kam vile mondi nimejzatt naweza kkvunja mbavu kam omondi/mamluki wanachuki kwa vina nawaacha uchi/cna beef nawatt wadgo mafogo mtakalia mkuki/madem wanaelew show zang kwan hukawii kutoka mknoni na chup*/ama ganstar nigger mda wte nawaza salari siogop pga dili za hatar/
Una mashair mepes, kama basi wew ni you tong.
Haujuu kupanga verse, habar zako zina hang

Kwanza dogo fahamu, unapo dis watu kuwa na nizamu.
Wew kibaka mwendawazim, utatiwa ndole upunguzwe hamu.

Umekuja kwa mbwembwe, ukazan tutashituka.
Kumbe kichaa wa milembe, nasikia umetoroka.

Nyie ndio mnao fanya, mpka mvua hazinyeshi.
Mara zote nime kukanya, ukizingua sikulembeshi.

Wew ni level za chura, na snura wamajanga.
Sikujua ni mbulura, potea unachelew kuwanga

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 
Yeeeaa nakuja ulingoni kunyakua ushind bila bond/sina pupa wala maringo kam vile mondi nimejzatt naweza kkvunja mbavu kam omondi/mamluki wanachuki kwa vina nawaacha uchi/cna beef nawatt wadgo mafogo mtakalia mkuki/madem wanaelew show zang kwan hukawii kutoka mknoni na chup*/ama ganstar nigger mda wte nawaza salari siogop pga dili za hatar/
mwanabgu umeniacha umekuja na style za bilinge baiyoyo

mpaka nimekupa like kwa huo mtiririko inabidi ukaloge kwa babu bwagamoyo

jinsi ulivyokuja kwa nginja nginja bin vuu hicho ulichokiandika inabidi tittle iitwe poyoyo

au siyo mzee wa lomolomo nakukubali umekuja kwa mikwala kama pikipiki ya toyo


dah sio siri umenifurahisha sana askali jinsi ulivyokuja nduki nduki duh hata break ila gud ha havhaaaa
 
ha haa unanisikitisha kumbe hauchani ila unaimba

na haujui tofautisha kuimba na kuchana kweli we ni mshamba

unakuja kifua mbana pua nimegundua upeo wako urefu wa kimba

we kinda mwenye hips don lie nasikia washakupa mimba

sigusiki mi developer rapper ila bado sijajianika we utabaki shika mkia mi ndiyo namba moja namba

Dogo pumzi ishakata kila kitu utamaliza, mara kuchana mara kuimba mi nazidi kukuumiza,

Mistari migumu itaendelea kukuliza, umepotea umenikuta na akili zangu za giza,

Hii crown ni ya kwangu na nnazidi kukimbiza, wachumba kama nyinyi nazidi kuwaburuza,

Mistari hevi punch nzito nazidi kukaza, ukipata upenyo toka mbio na uache kuniwaza.
 
Kwa hivi vina vya ugoko wewe pumzi ishakata,

Unaleta utoto kunibishia mimi kaka, unatoa maboko mistari ka Harmorapa,

Hebu tuliza mshono wenzako mikia ilifyata, unatoa povu la omo ka mzee wa kilalacha,

Nina utajiri wa flow usitarajie nitachacha, nakupiga matobo mpka ujifunze kudaka,

Mistari yangu laghai zaidi ya bonge la paka, wenzako wananiogopa hawataki hata kuniita,

Una deni langu la freestyle 3 hebu anza kulipa.
sidaiwi siishiwi nimegundua we ni bonge la mdananda

game umelivamia chukua ushauri bora uwe konda

ili maisha yaendelee inabidi upambane watakuja kukula tenda

inaonyesha wapenda mteremko watakushoot wanaodinda

bado sijaona mshindani mi ndiye wenu king nishawashinda

umekurupuka from no where kwa huvyo vimistar vya kudandadanda

i told u nigger tokea last am your dad wew utabaki kuwa kinda

soon utafukiwa chini nishakuandalia jeneza lako na sanda

R.I.P fake mc hii ni levo ya expendable yako ya master igo kwa flow we ni soft kama mlenda
 
mwanabgu umeniacha umekuja na style za bilinge baiyoyo

mpaka nimekupa like kwa huo mtiririko inabidi ukaloge kwa babu bwagamoyo

jinsi ulivyokuja kwa nginja nginja bin vuu hicho ulichokiandika inabidi tittle iitwe poyoyo

au siyo mzee wa lomolomo nakukubali umekuja kwa mikwala kama pikipiki ya toyo


dah sio siri umenifurahisha sana askali jinsi ulivyokuja nduki nduki duh hata break ila gud ha havhaaaa
Dogo nakukumbushia deni, bado hujamalizana na mimi,

Natoa punch kilo kilo nikukate kilimi limi,

Nakutoa nduki mbio mbio na ndo na wini wini,

Mistari yako ya kwio kwio usitake battle na mimi.
 
Huu ubongo mkubwa we ni shida hadhi yako Kayumba,

Kaa hapo tulia shuhudia mistari ninavyoiumba, nimekutega umeingia sasa unayumba,

Hua siflow bure hapa nalia mingo mavumba, nina itikad za kibabe hayo mavumba ya kwangu labda Jovitha anikabe,

Flow za suicide hapa anangoja kamikaze, ngoja nikupigie zeze, una kiuno lain baby inuka ucheze.
unajitamba una ubongo mkubwa wakati una ufinyu wa mawazo

jipange sana kiukweli kubattle nami hauna vigezo

upo nyuma kwa knoledge unachokiandika kwangu uozo

we ni kifafa kwa red carpet umepitwa na wakati kams H.mbizo

hapa ni wiggle wiggle we ni zigo zigo ushakufa kwa huu mchezo

uliza east n west side who am i watakupa muongozo


unajitahidi kuchonga kumbe ndiyo unazidi kuboronga hauna uwezo
hb.jpg
 
sidaiwi siishiwi nimegundua we ni bonge la mdananda

game umelivamia chukua ushauri bora uwe konda

ili maisha yaendelee inabidi upambane watakuja kukula tenda

inaonyesha wapenda mteremko watakushoot wanaodinda

bado sijaona mshindani mi ndiye wenu king nishawashinda

umekurupuka from no where kwa huvyo vimistar vya kudandadanda

i told u nigger tokea last am your dad wew utabaki kuwa kinda

soon utafukiwa chini nishakuandalia jeneza lako na sanda

R.I.P fake mc hii ni levo ya expendable yako ya master igo kwa flow we ni soft kama mlenda
Natia tofa baada ya tofa kila ukitikisa mguu,

Top C wake ulofa we kimbia ka Babuu,

Hamna wa kupinga nainua ushindi juu,

Baada ya hiki kipigo ukionewa wewe niite,

Nimefuzu kwa kila kitu hapa ni freestyle kumite,

Hamna wa kunihoji wala kunifanya nisite,

Naendelea kukupa dozi we mc mwenyewe Bashite.
 
Naona umerudi chimbo umeenda kujikusanya,

Rudi tena na utumbo uone ninavyofanya,

Nikutandike fimbo uache kunifata fata,

Mistari inameremeta cheki inavyowaka waka.
kichwa changu chimbo tosha sura kama bi kidude mmefanana mule mule

ukiona kimya nipo offline nachokuchana ni papo kwa hapo ushanisoma we ngedele

hapa nakuchapa knock out bila huruma live unatumbuka majipu najua hauna mapele

i know unanihofia ninja siishiwi nipo stoper kwa kwenda mbele

unapakatwa kama mrembo haunajipya ushasinyaa kama pamba za afande sele



R.I.P BI KIDUDE

hb.jpg
 
Una mashair mepes, kama basi wew ni you tong.
Haujuu kupanga verse, habar zako zina hang

Kwanza dogo fahamu, unapo dis watu kuwa na nizamu.
Wew kibaka mwendawazim, utatiwa ndole upunguzwe hamu.

Umekuja kwa mbwembwe, ukazan tutashituka.
Kumbe kichaa wa milembe, nasikia umetoroka.

Nyie ndio mnao fanya, mpka mvua hazinyeshi.
Mara zote nime kukanya, ukizingua sikulembeshi.

Wew ni level za chura, na snura wamajanga.
Sikujua ni mbulura, potea unachelew kuwanga

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Narudi ulingoni tena kwa mala ya pili round hii nakuchapa k.o ili ukiri/mi ni zaid yako mwenyew unatii level zangu kufka lazma upge bidii/nakuacha na bp next tyme ntakuua kwa tb...nigger huwez bifu mtaani naitwa chifu/kajiunge na chibu warembo uwaxifu..apa ni..

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom