JF Hip-hop frestyle battle

JF Hip-hop frestyle battle

Baba umetunga mistari halafu mdada amekausha,

Mti mgumu wa msonobari kaza labda utauangusha,

Inna ona noma hebu acha kujizungusha,

Saint Ivuga kakukubali anataka uwe mamushka,

Mwana anataka mfunge ndoa fanya kumpa ruksa,

Unga ushemeji na Daby mkakutane Arusha.
arusha in life ni mkoa wacha nirudi kwako castr wakujipodoa

mi ndyo jembe bob nakuchana mwanzo mwishovmi kisiki huwezi ning'oa

kama vipi njoo ghetto nikupe miti kwa hii baridi dar siku nzima leo ni mvua

check text kwa hyo sim yako nimekutumia nauli kwa mobile service usisite kutokea


napata raha we ndiyo qeen pliz usiniangushe i biliv huu ujumbe unakufikia


hey daby msisitize castr aweze kuibuka kuna bonge la zawadi nimemuandalia


ha ha wacha nicheke tu castr she is beautiful siyo mchoyo ndiyo maana namfagilia
IMG_20170101_001959.jpg
 
Inna sasa ndio nini kipenzi.? Au una mpango wa kunianzishia thread kabisa kunijibu
kumbe humu kuna wapenzi mapenzi kovu la dunia

ila vipi kuhusu michepuko uliye unaimani ametulia?

aisee pendaneni i biliv nyie ni nice couple kama ni kweli mnahitaji kujivunia

na hii nakupa advice hawezi kuanzisha thread anakupenda mia mia

who is next i don kno coz kwa hii thead nyie ndyo mlioonyesha love mapenzi yanaendelea

na swali leo mitoko wap..? nipeni location ili nami niweze kutikea


kwa leo inatosha nitawavutia waya japo namba yenu sina sijui wap pakuipatia
 
We mzee vip, mbona unaleta ushamba.
Verse za ku unga unga kama nyuzi za shanga.

Huu uzi haukufai, rudi kwenu kolomije.
Unatuletea mapicha picha, umechunda unaseje.

Najua unanyege zakujibu, we njoo tu.
Ila sitojar una aibu, mi ntakuchana tu.



Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
mi ni dar boy naona umeamua kuniletea ukatuni

we ni zombi maisha yako si kwa hii dunia inabisi urudi mzimuni

naupunguze kunywa gongo,chang'a
ona sura inavyochange unakuwa kama mama zaituni

naona unaunguza figo na bandama viungo vyote vipo hoi tumboni

we ni maskini njaa tena chizi la mtaa hata ulichokiandika hakina madini

we level zako za vikojozi asubuhi umekurupuka koja umelimwaga unatia aibu mtaani

kubwa zima iloo hauna mantiki leo unajifunza battle kwa king lusematic don

 
mi ni dar boy naona umeamua kuniletea ukatuni

we ni zombi maisha yako si kwa hii dunia inabisi urudi mzimuni

naupunguze kunywa gongo,chang'a
ona sura inavyochange unakuwa kama mama zaituni

naona unaunguza figo na bandama viungo vyote vipo hoi tumboni

we ni maskini njaa tena chizi la mtaa hata ulichokiandika hakina madini

we level zako za vikojozi asubuhi umekurupuka koja umelimwaga unatia aibu mtaani

kubwa zima iloo hauna mantiki leo unajifunza battle kwa king lusematic don

Eti we ni dar boi, fu** kwangu we ni dar toi.
Unajivunia dar, akati wazawa hat hawakujui.

Nyie akina harmolap, ivi lini mtakuwa.
Umekuj kwa ahsante mkapa, lakin unajifany unajua.

Mistari yangu venom, inakuuwa we bishoo.
Unaish dar na unanuka shida, ngoja nikusonye nyoo.

Mtoto wa mjini hawez kuw na shobo hizo.
Ila ukiw wakuja, ndio huwa mna huo uozo .

Nakuchana huku nacheka, yaani hahaha.
Nakuona jins unavyo tweta, we ni bongo lala




Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 
Mwaka juzi kulikuwa na battle ya Mitindo huru humu jukwaani ila baadae sijui yaliishia wapi. Huu uzi ni mahususi kwa mashindano. Na kwa kila mwaka mshindi atakuwa ana be updated hapa.

2015 nilikuwepo mimi Daby magnifico Kaka Jambazi Benny Kaboom gwijimimi chlorine gas na wengineo nimewasahau. Taratibu za kushiriki comment jitaje utashiriki then tutapanga round za battle hadi mshindi apatikane. Mshindi anapatikana kwa kura za watu watakaokuwa wanafuatilia. Mimi nitakuwa mwongozaji. Tunataka Mitindo huru sio mistari iliyokwisha kaririwa.

Demo:
natoa kali ya mwaka
Keti kitako uniskie/

MMU leo inatia shaka
Dent wamejaa kawasikie/

Wengi stori zinatia shaka
Still wanashauriwa nakina Shunie/

Nobody could do it
The way I get it up/

I ain't stop til
HR666 na wenzake wasup/.

Keyon Mkwawe dumesuruali kanali mstaafu oscarsolomon b5-click dutty pk life coach CHE Raptino

Karibuni au sio.. tudumishe utamaduni sio. Kama unashiriki sema. Mashabiki karibuni pia.
mkuu mbona hukunipa taarifa ya battle hii?
 
bosheni si ndipo ulipoishia mazee hauna kitu bishoo ni bora think twice siyo level zako


ushazoea vaa tetemente mi gun mashine bwana mdogo nakubi k mpaka unapoteza soko


unabebwa unalelewa bado mtoto mpaka udenda na mikojo inakutoka kwenye pot kujaza mafuriko

next time nitakuvesha wigi na skuna uweze kupendeza mama sita nikupeleke mexiko


you how i do girl i will marry u kwa flow kwenye boti vip uku mnyamwezi nikivuta kiko


hauna uwezo am your bro since ushow your verse nikacheka kwa dharau na leo nakubatiza jina nitakuita sokomokoView attachment 499634
Fresh haina noma asante kwa kusogeza sura,

Ntakuchana utakoma dogo wewe mburula,

Punch wala mizani huna, nakusukuma na shobo za bitch ka Fatuma,

Za kunitumia picha, naona unawanga sana umeamua kujipitisha,

Freestyling natisha, wewe zako tarabu nenda kaungane na Isha.
 
arusha in life ni mkoa wacha nirudi kwako castr wakujipodoa

mi ndyo jembe bob nakuchana mwanzo mwishovmi kisiki huwezi ning'oa

kama vipi njoo ghetto nikupe miti kwa hii baridi dar siku nzima leo ni mvua

check text kwa hyo sim yako nimekutumia nauli kwa mobile service usisite kutokea


napata raha we ndiyo qeen pliz usiniangushe i biliv huu ujumbe unakufikia


hey daby msisitize castr aweze kuibuka kuna bonge la zawadi nimemuandalia


ha ha wacha nicheke tu castr she is beautiful siyo mchoyo ndiyo maana namfagiliaView attachment 499639
Ebwana hapa umefika mi ni king wa hiz swaga,

Boniuso kakumega ila mi ni man fongo ushemej sinaga,

Sogeza kiuno nakulaga, baada ya miezi tisa utaanza kutaga,

Kiuno laini kama Shishi unagombea mabwana, tunga tarabu nyingi ukifika nakuchana,

Nakutibulia mipango mambo yako mchafu koge, hapa labda ukaloge, mdomo mrefu sura laini ka bi dada Kaoge,

Kwa hayo macho James Delicious kasingiziwa, nilichonacho ukikionja hautajuta kuingiliwa,

Wino mrefu unamwagika kama mvua, umetoka kwenye hii fimbo ndefu uliyotoka kuikalia.
 
mkuu mbona hukunipa taarifa ya battle hii?
Taarifa ya battle ushapata, acha kujizungusha panda ulingoni fasta,

Nikutoe knockout kama wenzako waliopita, kwa hilo jina lako ungekazana kulima,

Freestyle huwezi nakukalisha wima wima.
 
mi ni dar boy naona umeamua kuniletea ukatuni

we ni zombi maisha yako si kwa hii dunia inabisi urudi mzimuni

naupunguze kunywa gongo,chang'a
ona sura inavyochange unakuwa kama mama zaituni

naona unaunguza figo na bandama viungo vyote vipo hoi tumboni

we ni maskini njaa tena chizi la mtaa hata ulichokiandika hakina madini

we level zako za vikojozi asubuhi umekurupuka koja umelimwaga unatia aibu mtaani

kubwa zima iloo hauna mantiki leo unajifunza battle kwa king lusematic don

Hahahahaha dogo unachekesha hii mistari yako shit,

Freestyle zinakupelekesha nakupa za uso unablid,

Kwenye vina unatetereka uko hovyo hauna wa kumzidi,

Kwa ubishi nakupasua wenzako walikubali,
Wakijua nipo wanakimbia huu uzi wa kufreestyle.
 
Eti we ni dar boi, fu** kwangu we ni dar toi.
Unajivunia dar, akati wazawa hat hawakujui.

Nyie akina harmolap, ivi lini mtakuwa.
Umekuj kwa ahsante mkapa, lakin unajifany unajua.

Mistari yangu venom, inakuuwa we bishoo.
Unaish dar na unanuka shida, ngoja nikusonye nyoo.

Mtoto wa mjini hawez kuw na shobo hizo.
Ila ukiw wakuja, ndio huwa mna huo uozo .

Nakuchana huku nacheka, yaani hahaha.
Nakuona jins unavyo tweta, we ni bongo lala




Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
kujivunia lazima we mzembe ndiyo maana upo kimya hauna point

kinyago kama mcheza viduku hauna power ndyo maana umelegea joint

we ni expire rapper unapambana na level za mc kaa kimya we bublish tena mint

unatafunwa na kutemwa leo nakuvesha shanga kiunoni nanakugeuza kama bint

hii sit umeidandia kwa mbele mi nipo juu yako mim boss wew client

we ni bonge la boya upo on foot kwa street kichwani umejivisha element

hata tukapanda kwa stage mim nitapata shangwe wew lazima utupiwe makopo yenye mikojo kwenye event
 
Fresh haina noma asante kwa kusogeza sura,

Ntakuchana utakoma dogo wewe mburula,

Punch wala mizani huna, nakusukuma na shobo za bitch ka Fatuma,

Za kunitumia picha, naona unawanga sana umeamua kujipitisha,

Freestyling natisha, wewe zako tarabu nenda kaungane na Isha.
chalii umekwisha leo umekutana na ninja anayemiliki bahari ya michano

kuna mc na mbwatukaji we ni kibweka uliyevamia game rudi kwenye dance ukate viuno

hii haiko copy na kupest soon utaflot kwangu ni ngazi kwa ngazi mi ndiyo dokta kwako lazima nikung'oe jino

nakuchapa stick ya michano we ni dent kwa hii tasnia na unamalazi kibao kimwili unumwa gono
 
Ebwana hapa umefika mi ni king wa hiz swaga,

Boniuso kakumega ila mi ni man fongo ushemej sinaga,

Sogeza kiuno nakulaga, baada ya miezi tisa utaanza kutaga,

Kiuno laini kama Shishi unagombea mabwana, tunga tarabu nyingi ukifika nakuchana,

Nakutibulia mipango mambo yako mchafu koge, hapa labda ukaloge, mdomo mrefu sura laini ka bi dada Kaoge,

Kwa hayo macho James Delicious kasingiziwa, nilichonacho ukikionja hautajuta kuingiliwa,

Wino mrefu unamwagika kama mvua, umetoka kwenye hii fimbo ndefu uliyotoka kuikalia.
nakushangaa ray c may be nikuite castr c kunatetesi we ni kigoli

nikaribishe matic nikufunge kwa wi-fi tena magori ya mbali

still nizame chini chini nitoboe yako ngome mi ndiyo mzungu wa meli

na inabidi uwe open ili nikija nikute sild kwa yako body ili nile raha kifahali

i told u like ma dem your face kama vanessa kwa bed unavyonesanesa i feal real
 
kujivunia lazima we mzembe ndiyo maana upo kimya hauna point

kinyago kama mcheza viduku hauna power ndyo maana umelegea joint

we ni expire rapper unapambana na level za mc kaa kimya we bublish tena mint

unatafunwa na kutemwa leo nakuvesha shanga kiunoni nanakugeuza kama bint

hii sit umeidandia kwa mbele mi nipo juu yako mim boss wew client

we ni bonge la boya upo on foot kwa street kichwani umejivisha element

hata tukapanda kwa stage mim nitapata shangwe wew lazima utupiwe makopo yenye mikojo kwenye event
Duu wew ni bora, kwa maboya, chek jins unavyo pwaya.
C bure una ebora, au kabisa una miwaya.

Nakuchan sas, umekanyaga nyaya.
Hii ni all star mbovu, lazim utapwaya.

Una frestyle kichovu, yan mbovu mpka una boa.
Umekutana na werevu, subir utiwe nyaya .

We punga, uliye vunda kama maharage ya mbeya.
Umekutana na wakunga, subir uone tunavyo ku babu seya

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 
chalii umekwisha leo umekutana na ninja anayemiliki bahari ya michano

kuna mc na mbwatukaji we ni kibweka uliyevamia game rudi kwenye dance ukate viuno

hii haiko copy na kupest soon utaflot kwangu ni ngazi kwa ngazi mi ndiyo dokta kwako lazima nikung'oe jino

nakuchapa stick ya michano we ni dent kwa hii tasnia na unamalazi kibao kimwili unumwa gono
Tayari nishakushinda kwenye niche ya trash talk,

Umeniacha nimedinda now lets get back to work,

Safi umehamia huku ila hata huku huwezi,

Umenyoa kiduku mistar yako yote mashudu kishenzi,

Mambo iko huku ruka ka kuku umekatwa kichwa na mnyamwezi,

Upuuzi buku umeurusha huku hautapata mtetezi,

Umevamia maji na vina vyako havina mapezi,
Umenivamia Castr tulia nkupige cha mkwezi.
 
Hahahahaha dogo unachekesha hii mistari yako shit,

Freestyle zinakupelekesha nakupa za uso unablid,

Kwenye vina unatetereka uko hovyo hauna wa kumzidi,

Kwa ubishi nakupasua wenzako walikubali,
Wakijua nipo wanakimbia huu uzi wa kufreestyle.
ulikutana na fake mc wenzako kwangu we ni manzi

nakutafuna mchana kweupe mpaja utapata ganzi

hizi si shit nakupa i have a more flow kaisome kwa coliganzi

wananiita creater wa world wide kwangu we ni wife njoo nikuteach ku use your eyes bila lenzi

welcome to my city we ni kid uvae nepi hapa sinaga habar za kishenzi

am so big i think capacity ya ubongo wako ni kiwango cha siafu ama inzi
 
nakushangaa ray c may be nikuite castr c kunatetesi we ni kigoli

nikaribishe matic nikufunge kwa wi-fi tena magori ya mbali

still nizame chini chini nitoboe yako ngome mi ndiyo mzungu wa meli

na inabidi uwe open ili nikija nikute sild kwa yako body ili nile raha kifahali

i told u like ma dem your face kama vanessa kwa bed unavyonesanesa i feal real
Hahaha naona unatunga tarab tata kazi kubwa za Mwamvita,

Umetutumia picha kazi kubwa Martin Kadinda,

Flow zako hovyo zangu zipo hot, mistar yangu moto mitam ka juis ya kijoti,

Flow tata kali huzielew na mwendo wa samasoti,

Flow zako kijeba haizkuti zangu ni ngongoti.
 
Back
Top Bottom