JF hamjambo?

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2008
Posts
55,028
Reaction score
59,657
thanks God nimemaliza shughuli zangu na nimeona niendelee kujumuika nanyi tena.
 
Teh ushafanya mambo yako taya
Hahahahahahaaa kuna kijana anajiita Boflo alikuwa amechukua nafasi yako
mnyang'anyanye faster asiizoee
teh

boflo ni ndugu yangu mdogo wangu ngoja aendelee kusherehesha hakuna tabu
 
Hahahahahaaa kijana nomaaaaaaa
Dah leo kanifurahisha sana kiukweli dah
Mwali umemwona?

nimeshautana naye ...ndio namsalimia huku na kumchunguza kama kuna alama zangu niliziweka kabla sijaondoka
 
nimeshautana naye ...ndio namsalimia huku na kumchunguza kama kuna alama zangu niliziweka kabla sijaondoka
Hahahahaaa alama utazionea wapi?
Yuko poa siunaona kabadili na viwalo kisa wale macho juuujuu wasimjue kwa haraka maana walikuwa wanahahaaaa eti wanataka kumsomesha mara oooh atakaaje muda wote bila ile kitu hadi urudi....
Yan hawafai....
Ukitaka nikutajie ntakuambia ni akina nani
 

hahah...leo lazima patachimbika ngoja nimalizie kumkagua..nikikuta kasoro lazima nije kwako hapa unipe info na una zawadi yako mkuu wangu
 
hahah...leo lazima patachimbika ngoja nimalizie kumkagua..nikikuta kasoro lazima nije kwako hapa unipe info na una zawadi yako mkuu wangu
Hahahahahaaa zawadi yangu ni kamoja au?
Hahahahahaaaaaaa nashukuru in advance mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…