Ila nina ushauri, sisi wanaJF ni wachache. Kama kuna uwezekano kuweka kwenye magazeti kama Mwananchi, Tanzania Daima e.t.c
Kama vile tunavyocopy na kupaste kutoka kwenye magazeti na kuleta JF.
JF kuna hoja nzuri sana ila hazipati mwanga. Nashauri baadhi ya hoja pamoja na majadiliano yachapishwe kwenye Magazeti au vijarida.
Lets try
Kama vile tunavyocopy na kupaste kutoka kwenye magazeti na kuleta JF.
JF kuna hoja nzuri sana ila hazipati mwanga. Nashauri baadhi ya hoja pamoja na majadiliano yachapishwe kwenye Magazeti au vijarida.
Lets try