Kweli hapo nimekuwa mbinafsi, ila nimechukulia first plan Kigamboni, then Kinondoni naona kama ni Centre, hata Uber, Taxify, Bajaj zinapatikana kwa wasio na private.
All in all tuombe ifanikiwe, maana hakuna party isiyo na changamoto.
Kuna watu hatutakuja kwa sababu binafsi lakini tunasingizia dress codes, ukumbi nk