sasa kutoka kwenye id,naomba sasa namba yake huko pm niwe mkwilima wako,najua unanifahamu fika kuwa ni mwanaume wa shoka! Kajaga mayobhokwi ogonitomela enamba ntumbafu ebhe.Wewe holoo,,, mwenyewe kashaniambia humu watu Wana lugha mbaya, na mtandao ni wa kizee haitakuwa anaingia
Namba ya mwanangu ya nn wewe???sasa kutoka kwenye id,naomba sasa namba yake huko pm niwe mkwilima wako,najua unanifahamu fika kuwa ni mwanaume wa shoka! Kajaga mayobhokwi ogonitomela enamba ntumbafu ebhe.
Hahahaha! Unajua kabisa. Halafu sio kigumu hataUpumbavu tena unatoka wapi?๐ Kumbe najua Kisukuma!
Akirudi humu atakutana na comment yako hapa so ataijua๐Wewewe I'd yangu hawezi kuijua kamwe.
Yake na password nimepewa lakini nimeambiwa the forum is too boring.
Akijua sio mbaya......Akirudi humu atakutana na comment yako hapa so ataijua๐
Nimecheka sana ila kwa uchungu.Nje ya mada
Binti yangu kaniuliza kuhusu jamii forum Leo. Anaingia second year.
Nimemjibu ni jukwaa la great thinker kiukweli kazunguka humu nimepigwa spana natoa macho nakutana na mada hii.
Majibu yangu hayaeleweki
Nadhani ilivyokuaga hapo awali ndio ilipaswa kuwa hivyo kulingana na zama na ilivyo sasa ndivyo inavyopaswa kuwa hata itakavyokua baadae ndivyo itakavyotakiwa kuwa coz Kila generation inakuja kinamna tofauti, so kuna namna kama ulikua kwenye zama fulani za generation yako, generation mpya ikija utajikuta tu unashindwa kufit kwenye mitazamo yao mingi na ndio hapo unakuta watu wengi ambao walikuwepo zama hizo wamebaki kuwa wasomaji tu.First generation ndio imetoa viongozi wengi sana hasa wa kisiasa na maarufu..
Hao pamoja na anonymous na elites wengine ndio wamesimika mizizi ya heshima ya JF
Lakini hapo hapo yakafanyika makosa ya kibinadamu kwenye kutambuana kati ya member wapya na wazamani
Hii hali ndio ilipelekea JF second generation ambayo ilizalisha mada maarufu za Makapuku forum ambao nai wakabaguana na kupelekea kuzalisha Mada ya likes.. Yaani hata ukikomenti hewa unapata likes za kutosha๐
Kubaguana na kunyimana ama kupeana likes kulichangia pakubwa umaarufu wa hii mada!
Sasa tuko JF third generation GEN-Z๐
Je ni makosa yapi yanafanyika?
Je itakuja na kipi kipya kuponya hayo makosa?
Je itakuwa ni kuharibu zaidi?View attachment 3615556
Ni kweli...Akijua sio mbaya......
Sija ua mtu humu
Ana umri gani? Usije ukawa unatengeneza bwabwa bila wewe kujuaKaniambia kaingia chitchat, mahusiano, entertainment na intelligence forum
Kagoma kunipa I'd eti anasema rules za forum hazikubali kujulikana. Nakoma mimi
Unakurupuka vp??Ana umri gani? Usije ukawa unatengeneza bwabwa bila wewe kujua
Sorry kama nimekukwaza, nilikuwa namaanisha inabidi umlimit asije kuhalibikaUnakurupuka vp??
Huyu ni Binti anaongelewa hapa.
Epuka maneno yasiyo na staha kwa watoto wa wenzio
Nadhani pia ni mahitaji ya nyakati... Na AI imechukua nafasi ya critical thinking
Target audience theory..!๐ช๐ฟ๐๐ฟNadhani ilivyokuaga hapo awali ndio ilipaswa kuwa hivyo kulingana na zama na ilivyo sasa ndivyo inavyopaswa kuwa hata itakavyokua baadae ndivyo itakavyotakiwa kuwa coz Kila generation inakuja kinamna tofauti, so kuna namna kama ulikua kwenye zama fulani za generation yako, generation mpya ikija utajikuta tu unashindwa kufit kwenye mitazamo yao mingi na ndio hapo unakuta watu wengi ambao walikuwepo zama hizo wamebaki kuwa wasomaji tu.
Watakuroga...๐๐Utakufa vibaya wewe๐