Turudi pale Rau Madukani
JF-Expert Member
- Jan 16, 2016
- 2,765
- 5,835
Kuna tatizo nalionaga siku hizi, unakuta ume-quote post ya mtu kama hivi, ukaandika ujumbe wako then una-post. Lakini cha ajabu utaonekana umequote ila ujumbe ulioandika hautokei.Wakuu,
Tunatarajia kati ya saa 7 kamili usiku hadi saa 8 usiku wa leo (1:00am - 2:00am) kwa muda wa Afrika Mashariki kutakuwa na downtime (kutopatikana) kwa Mtandao wa JamiiForums ambayo imepangwa kwa ajili ya kuimarisha zaidi miundombinu yetu na kuboresha mambo kadhaa katika miundombinu.
Mabadiliko hayataonekana kwa macho bali experience ya JF upande wa ufungukaji (kasi) ndo itaongezeka.
Tusingeweza kufanya mabadiliko haya makubwa bila kwenda offline kutokana na sababu zisizoepukika. Mabadiliko mengine ya kimwonekano na upande wa app yatafanyika bila ya kwenda offline kabisa.
Tunawashukuru sana kwa uelewa wenu
Hilo tatizo nimeliona sana upande wa browser hasa opera mini.
