JF Exclusive: Mauritius Leaks name Tanzania companies in tax avoidance

Dhambi ya kitabu kipi?

Watu wanaongea ya Mauritius wewe unaongea ya Zanzibar kama si ujuha nini huo?

Hiyo avatar huyo ni mwanamama wa Kamarekani hana uhusiano na Zanzibar kabisa.
 
Nipo mkuu. Majukumu yalizidi, nimerejea. Kuna mengine mapya yataibuka soon tunavyoelekea Uchaguzi. Njia za kutafuta fedha za uchaguzi baada ya 'Wakuu' kuzikataa hela za mabeberu "UNDP" naona kama zimebadilika; wamesababisha watu turudi kazini.
Kwa hiyo unatushauri tukae mkao wa kula?
 
Amekuwa mbogo sababu ya Aziz!
 
Nitashangaa kuikosa Azam media nilienda lipia subscription risiti address ya hiyo nchi ya Mauritius nililianzisha mtiti nataka risiti ya VAT ya Tanzania... nikayajua mengi ati makao makuu ni huko mauritius... nikawachana live kuwa Azam media mnakwepa kodi......but nilishangaa why Azam anaachwa?
 
Kiongozi mbona nikienda huko nakutana post za akina Ritz ? Uliyoweka wewe iko wapi? Kwa rahisi ya rejea hebu tuwekee hapa orodha hiyo
 

Wapo Mauritius na baada ya kubanwa wameanzisha kakampuni kengine hapa ili wapate kutangaza taarifa za habari!!
 
Hatari sana...

Ukizichunguza hizo kampuni kwa juu juu unaziona kama zipo zipo tu hazina muelekeo kumbe behind the scene ni nyoko...


Cc: mahondaw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…