Dhambi ya kitabu kipi?Kiongozi mbona leo umekuwa mbogo? Nani kaguswa hapo? Nimesema unafahamu kwamba Zanzibar.... sijasema unaifahamu Zanzibar! Hiyo Avatar yenyewe inaashiria kwamba Unaifahamu Zanzibar!
Hakuna kulazimisha Tax Avoidance iwe tax evasion bali ninachosema hawa jamaa wana undugu! Transfer Pricing ni avoidance lakini ni dhambi!
Hahahaa....... mimi ni mteja wa hiyo huduma mkuu!Mzee huko unakoenda mimi binafsi sikuungi mkono!!! Utakutana na Musharaka huko!!
Rudi siyo "ludi". Hutokuta kosa la lafdhi kwangu. Kumbuka hilo ewe uliesomea ujinga.Uakosema---unakosema
Ludi shule tafadhari
Kwa hiyo unatushauri tukae mkao wa kula?Nipo mkuu. Majukumu yalizidi, nimerejea. Kuna mengine mapya yataibuka soon tunavyoelekea Uchaguzi. Njia za kutafuta fedha za uchaguzi baada ya 'Wakuu' kuzikataa hela za mabeberu "UNDP" naona kama zimebadilika; wamesababisha watu turudi kazini.
Rudi siyo "ludi". Hutokuta josa la lafdhi kwangu. Kumbuka hilo ewe uliesomea ujinga.
Mkuu Falukoni wa mambo ya Mombasa, ni kweli mimi sina uwezo wa kuandika vitu vikubwa kama hivi. Uwezo wangu ni vile vya saizi yangu.Paskali uwezo wako si wakuandika vitu senstive kama hivi....makala pekee unazomudu kuandika Ni zile zitakazokufanya uonekane na rais ili upewe kijinafasi...ukaapishwe ikulu basi....
Hahahaa....... mimi ni mteja wa hiyo huduma mkuu!
Amekuwa mbogo sababu ya Aziz!Kiongozi mbona leo umekuwa mbogo? Nani kaguswa hapo? Nimesema unafahamu kwamba Zanzibar.... sijasema unaifahamu Zanzibar! Hiyo Avatar yenyewe inaashiria kwamba Unaifahamu Zanzibar!
Hakuna kulazimisha Tax Avoidance iwe tax evasion bali ninachosema hawa jamaa wana undugu! Transfer Pricing ni avoidance lakini ni dhambi!
Hakika mkuu!Kwamba wana epa riba lakini wanaificha kwenye bank charges!!! Hii ni interest avoidance!! Ambayo ni baba mmoja na bank charges!!
Rudi siyo "ludi". Hutokuta josa la lafdhi kwangu. Kumbuka hilo ewe uliesomea ujinga.
Kiongozi mbona nikienda huko nakutana post za akina Ritz ? Uliyoweka wewe iko wapi? Kwa rahisi ya rejea hebu tuwekee hapa orodha hiyoNilitoa mbona majina 99 na ipo hapa JF. Hamkuwa kwenye mood ya kunisikiliza. Google utaiona hapa hapa JF. Mlisema wahindi watupu 😁😁😁 mlikuwa na majina yenu mlitaka kuyaona
Soma:
Watanzania 27 wanamiliki mabilioni Uswisi
Wanabodi, Watanzania 27 wakiwamo wanasiasa na wafanya biashara, imebainika kuwa ndio wameficha mabilioni ya fedha nchini Uswisi, huku mmoja wao akiwa anamiliki Dola za Marekani milioni 56 (sawa na Sh89.6 bilioni). Taarifa hizo zinaeleza kuwa mbali na kigogo anayemiliki Sh90 bilioni, wapo...www.jamiiforums.com
Swissleaks: Watanzania 99 wameweka kiasi cha $114m Uswizi
Habari wanabodi, Swisskleaks imewataja watanzania 99 walioweka kiasi cha dolla za kimarekani million 114 kwenye banks mbalimbali za Uswisi. Tanzania ni nchi ya 100 kati ya nchi 234 zilizoweka kiasi kikubwa cha fedha. Utafiti unaonyesha accounts nyingi zilifunguliwa baada ya mwaka 2000(baada...www.jamiiforums.com
Nilikuwa sijabaini!!Amekuwa mbogo sababu ya Aziz!
Nitashangaa kuikosa Azam media nilienda lipia subscription risiti address ya hiyo nchi ya Mauritius nililianzisha mtiti nataka risiti ya VAT ya Tanzania... nikayajua mengi ati makao makuu ni huko mauritius... nikawachana live kuwa Azam media mnakwepa kodi......but nilishangaa why Azam anaachwa?
Kumbe nilikuwa sawa kuwachana walikwepa sana kodi pindi imeanzishwa sijui sasa hiviWapo Mauritius na baada ya kubanwa wameanzisha kakampuni kengine hapa ili wapate kutangaza taarifa za habari!!
Usisahau kaandika neno josa huku neno sahihi ni kosa hahaha faiza huwa anajiona brightHata hiyo tafadhari ni tafadhali
Josa? = KosaRudi siyo "ludi". Hutokuta josa la lafdhi kwangu. Kumbuka hilo ewe uliesomea ujinga.
Mwaka huu tutayajua mengi!Kumbe nilikuwa sawa kuwachana walikwepa sana kodi pindi imeanzishwa sijui sasa hivi
hapo kwenye red kulikoniDhambi yabkitabu kipi?
Watu wanaongea ya Mauritius wewe unaongea ya Zanzibar kama si ujuha nini huo?
Hiyo avatar huyo ni mwanamama wa Kamarekani hana uhusiano na Zanzibar kabisa.