JF Exclusive: CAG Report on IPTL/Tegeta Escrow Account

Sijui kama usiku wa leo ulipatiwa haki yako vizuri...umeelewa lengo la Invisible kuleta huu uzi..

Unakurupuka na majanaba yako unakuja kuhorojoka hapa..

Pita kuleeee...shwain wewe
 
Last edited by a moderator:
Tuliza papa hilo, wajanja wa ccm wapo kwenye hiyo list.......wewe mtoka povu kazi yako ni kushabikia wenzio watengeneze neema zao.

Kiko wapi? kurasa "zilizonyofolewa" si hizo hapo zimewekwa? zina nini zaidi?

Subiri kijana upate ripoti kamili. Usiwe na munkar.
 
Ebwana nawasihi wazalendo kina tumbili,baboon,sokwe,manyani tuingie kwenye mitambo kutafuta report ya ujenzi wa bomba la gesi la mtwara kama 321b ni fedha ya ugoro,basi hiyo ya exim itakuwa hatari.
 
Watu tunayoripoti....Ikitoka wapi...?
 
Last edited by a moderator:

Tuliza kisabengo ajuza wewe...
 
Last edited by a moderator:
Sijui kama usiku wa leo ulipatiwa haki yako vizuri...umeelewa lengo la Invisible kuleta huu uzi..

Unakurupuka na majanaba yako unakuja kuhorojoka hapa..

Pita kuleeee...shwain wewe

Naona sasa unaanza matusi bila mpango.

Lengo la invisible ni kuwajulishaa kuwa ripoti kamili ipo, nini zaidi? nyie mnafata ripoti za mitaani eti "zimenyofolewa", nani aliyerusha huo uongo? kituo hicho hicho cha dalali?

Jiulizeni, walinyofoa na kwa CAG? walinyofoa na PCCB? walinyofoa na kwa Zitto.

Hebu fikirini japo kiduchu, msiwe zaidi ya misukule.
 
Kwa lipi zaidi? mmetaka kurasa zilizonyofolewa, hizo hapo zimeletwa, kuna kipi zaidi hapo?

Anza maandamno ule virungu, unawajua FFU lakini au unawasikia tu?

... Lioga Hiloo, Lione
 
Wamatumbi wameamka sasa naona fujo kwenye huu uzi zimeanza...
 

Unajua lengo la mafisadi kuchomoa kurasa hizo..??
 
Kiko wapi? kurasa "zilizonyofolewa" si hizo hapo zimewekwa? zina nini zaidi?

Subiri kijana upate ripoti kamili. Usiwe na munkar.

Nakwambia tena wewe uwezo wako unaishia kwenye kutetea chama na kupayuka....ili kuwatengenezea neema wajanja wazidi kupiga pesa.

Wenye chama chao wapo kwenye mgao, we umo?
 
Nakwambia tena wewe uwezo wako unaishia kwenye kutetea chama na kupayuka....ili kuwatengenezea neema wajanja wazidi kupiga pesa.

Wenye chama chao wapo kwenye mgao, we umo?

Kurasa hizo hapo juu, zina nini zaidi? sasa subiri ripoti kamili, ndio uanze nyimbo nyingine. Hii ime-flop.

Au upo disappointed?
 


Tusiposimama imara kutetea nchi yetu kwa kufichua maovu ipasavyo, nchi yetu itaendelea kuwa nchi ya hovyo

Asante Invisible kwa mwanzo huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…