JF Dr, Amelia "Ninakuja" halafu akazimia

JF Dr, Amelia "Ninakuja" halafu akazimia

Ambiente Guru

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2012
Posts
2,623
Reaction score
1,096

Amelia "ninakuja" wakati alishapokelewa kituo cha basi
Amelia "ninakuja" lakini yupo ndani ya jumba
Amelia "ninakuja" lakini yupo ndani ya chumba
Amelia "ninakuja" lakini yupo ndani ya wigo
Amelia "ninakuja" halafu akakoma kunena
Amelia "ninakuja" halafu akadondoka
Amelia "ninakuja" halafu akazimia
Amelia "ninakuja" ndio sababu kumwita dokta


Dokta niambie ni ugonjwa gani huu?
 

Attachments

  • Spike gal.jpg
    Spike gal.jpg
    29.3 KB · Views: 527
  • Everest.jpg
    Everest.jpg
    31.8 KB · Views: 52
Yaani kuanzia title hadi content sijaelewa kabisa labda mtoa mada ni jiniasi.
 
huyu atakuwa ananena kwa lugha
 
Ukistaajabu ya fb utayaona ya jf.

Sasa hiki nini!!!!!!!???????!!!!!!!???????
 
Ambiente Guru , huo ni wimbo ama kitu gani? Sijaelewa/hueleweki? La sivyo ujitetee "...ni kwa nini huu uzi wako usifutwe"?
 
Mkuu fafanua ueleweke wengi umetuacha njia panda.
 
.............................................................................................................................................................................................................
 
Hii naona imekaa stail ya mmu kule ndio mahali pake au.
 
Mmmmh!!!
'VINA UTATA'
hapa labda aje Solo Thang au Fid Q, waje wafafanue zaidi
 
Ndio dokta "nimekuja" Lakini niko nje
Ndiyo dokta "Nimekuja" Lakini sijachukua dawa
Ndiyo Dokta "nimekuja" lakini nimeishia mlangoni
Ndiyo Dokta "Nimekuja" Sindano nimesahau
Ndiyo Dokta "nimekuja" Vipimo nimesahau
Ndiyo dokta nimekuja, AHAAA NILISAHAU....
UGONJWA WAKO NI KICHAA... YAANI UNA MATATIZO YA AKILI
BILA SHAKA NIMEKUJIBU MIMI NI DOKTA WAKO.
 
Kweli mtoaa mada ni jiniasi sijaelewa kuanzia heading mpaka yaliyomo ndani.
 
Back
Top Bottom