ONLY medics should answer this or anyone. Let me try, mosquito sucks blood, to its mouth then to its gut. HIV virus can not survive anywhere except except in humans. So in the mosquito gut or mouth it can not survive and looses its infectiousness.
And so when a mosquito sucks blood from another host it cannot transmit the 'infectious' HIV virus
nahitaji sana majibu yenu "why mosquitoes does not transmit HIV" thank you!!!
nahitaji sana majibu yenu "why mosquitoes does not transmit HIV" thank you!!!
TBL (haya majina mengine na ijumaa hii mtatufanya tutoroke kazini)...pamoja na majibu mazuri ya dada King'asti, ningependa kuongezea kama ifuatavyo:Mbu anapokuuma huwa anatoa hayo 'mate' ili kufanya damu isigande wakati akifaidi kuinyonya, haya mate ndio huwa yanabeba vijidudu vya malaria (Plasmodium) hivyo akiyatoa kwenye damu yako anakuambukiza. Na vijidudu hivi vya malaria vinafika kwenye hayo mate kwa sababu mbu anapofyonza damu ya mtu mwenye malaria, vile vijidudu katika hali ya mbegu vikifika tumboni, hupenya ukuta wa tumbo na kudevelop kuwa katika hali ya kuweza kushambulia chembe chembe nyekundu za damu. Vikishadevelop ndio vinakuwa katika matezi ya mate ya mbu huyo kusubiri anapouma ili vimwagwe kwenye damu na kusababisha malaria.Virusi vya HIV havidevelop kwenye tumbo la mbu, wala havifiki kwenye matezi ya mate ya mbu...hivyo mbu akiuma mtu mwenye HIV, virus wale hufika kwenye tumbo la mbu na kuishia hapo. Na hivyo...mbu hawezi kuambukiza HIV.[/QUOTEchezea DK.RIWA ww!!!