Jf doctors

tbl

Senior Member
Mar 29, 2011
116
41
nahitaji sana majibu yenu "why mosquitoes does not transmit HIV" thank you!!!
 
ONLY medics should answer this or anyone. Let me try, mosquito sucks blood, to its mouth then to its gut. HIV virus can not survive anywhere except except in humans. So in the mosquito gut or mouth it can not survive and looses its infectiousness.

And so when a mosquito sucks blood from another host it cannot transmit the 'infectious' HIV virus
 
yoyote mwenywe uhakika na jibu lake. thanks @ L
 
Lasikoki, sio kweli ulichoongea,nice try though. Si swali la medics tu.hata walosoma wadudu wanaweza jibu
ONLY medics should answer this or anyone. Let me try, mosquito sucks blood, to its mouth then to its gut. HIV virus can not survive anywhere except except in humans. So in the mosquito gut or mouth it can not survive and looses its infectiousness.

And so when a mosquito sucks blood from another host it cannot transmit the 'infectious' HIV virus
 
Tbl, mbu (sio wa jf,lol) anapohitaji kunywaji chake kutoka kwa binadamu kwanza anatoa mate fulani ambayo yana sumu inayolainisha ngozi ili aweze kupenyeza mdomo wake. Mate haya ndo husababisha muwasho na pengine kuvimba kwa wale wenye ngozi sensitive. Yale mate ndo huwa na vijidudu vya malaria. Wakati ameshalainisha ngozi, mrija mwingine (proboscis)hupenya kufyonza damu/kisusio. Kwa hiyo jibu ni kua kifyonzeo cha damu ni tofauti na king'atio. Malaria inaambukizwa na king'atio. Kifyonzeo cha damu ni kwa ajilo hiyo tu na mbu anakua hana backward flow ya tumbo ( kwa maana hiyo hawezi kukutapikia damu ya mwingine)
nahitaji sana majibu yenu "why mosquitoes does not transmit HIV" thank you!!!
 
Thanx @ King'asti, sasa kuna sehemu nimeona hizi ndo head parts zake but kazi zake hazijaandikwa naomba unitajie hizo parts ulizondika hapo ni zipi,? 1,compound eye 2,tentacle 3,palpus maxillaris
4,maxilla 5,mandible 6,labium 7,labellum
 
nahitaji sana majibu yenu "why mosquitoes does not transmit HIV" thank you!!!

TBL (haya majina mengine na ijumaa hii mtatufanya tutoroke kazini)...pamoja na majibu mazuri ya dada King'asti, ningependa kuongezea kama ifuatavyo:

Mbu anapokuuma huwa anatoa hayo 'mate' ili kufanya damu isigande wakati akifaidi kuinyonya, haya mate ndio huwa yanabeba vijidudu vya malaria (Plasmodium) hivyo akiyatoa kwenye damu yako anakuambukiza. Na vijidudu hivi vya malaria vinafika kwenye hayo mate kwa sababu mbu anapofyonza damu ya mtu mwenye malaria, vile vijidudu katika hali ya mbegu vikifika tumboni, hupenya ukuta wa tumbo na kudevelop kuwa katika hali ya kuweza kushambulia chembe chembe nyekundu za damu. Vikishadevelop ndio vinakuwa katika matezi ya mate ya mbu huyo kusubiri anapouma ili vimwagwe kwenye damu na kusababisha malaria.

Virusi vya HIV havidevelop kwenye tumbo la mbu, wala havifiki kwenye matezi ya mate ya mbu...hivyo mbu akiuma mtu mwenye HIV, virus wale hufika kwenye tumbo la mbu na kuishia hapo. Na hivyo...mbu hawezi kuambukiza HIV.
 
TBL (haya majina mengine na ijumaa hii mtatufanya tutoroke kazini)...pamoja na majibu mazuri ya dada King'asti, ningependa kuongezea kama ifuatavyo:Mbu anapokuuma huwa anatoa hayo 'mate' ili kufanya damu isigande wakati akifaidi kuinyonya, haya mate ndio huwa yanabeba vijidudu vya malaria (Plasmodium) hivyo akiyatoa kwenye damu yako anakuambukiza. Na vijidudu hivi vya malaria vinafika kwenye hayo mate kwa sababu mbu anapofyonza damu ya mtu mwenye malaria, vile vijidudu katika hali ya mbegu vikifika tumboni, hupenya ukuta wa tumbo na kudevelop kuwa katika hali ya kuweza kushambulia chembe chembe nyekundu za damu. Vikishadevelop ndio vinakuwa katika matezi ya mate ya mbu huyo kusubiri anapouma ili vimwagwe kwenye damu na kusababisha malaria.Virusi vya HIV havidevelop kwenye tumbo la mbu, wala havifiki kwenye matezi ya mate ya mbu...hivyo mbu akiuma mtu mwenye HIV, virus wale hufika kwenye tumbo la mbu na kuishia hapo. Na hivyo...mbu hawezi kuambukiza HIV.[/QUOTEchezea DK.RIWA ww!!!
 
Usitoke kazini ndugu wagonjwa unatuachaje,karibu tbl hapa.Thank u sana @Riwa ,
 
Back
Top Bottom