Sisi tuko kiJamii zaidi, na si kimaslahi na ki-Nyongeza....Wala hatushinikizi Katibu Mkuu ajiuzulu!
hatufanyi tukio?
Napenda viranga kama maandamano
yako kwenye damu, sijui ni ugonjwa??
Agome then wagonjwa wake atawatibu nani????Hivi huyu Dk JK naye atagoma?
mgomo baridi mkuuu!! hata kazini tunaenda kusaini ila hatushiki sindano wala groves hatuvai....!!