Jf Couples (New Version)

 
 
Nimejua umekumbuka jf udaku wewe! Ulipotelea wapi?
heheh...umejuaje!!? nipo mbona..sema huwa mara nyingi naingia kimya kimya tu kuangalia mambo yetu yale si unajua tena JF full kujiachia...
 
heheh...umejuaje!!? nipo mbona..sema huwa mara nyingi naingia kimya kimya tu kuangalia mambo yetu yale si unajua tena JF full kujiachia...
Kwanini kimya kimya bana? Unaona sasa umekosa mwenza lol.
 
Bishanga na Rocky unajua kuna lawyer mmoja hivi alibadili clause fulani...
unatutishia nyau sio? kwani tunakusingizia,au siku hizi baada ya kuchacha umetulia (zamani nasikia ulikuwa customs officer namanga).
 
Mhhh kwani SL hamjui TF kuwa huwa hatulii na macho juu juu
Akienda akirudi mambo yote yameisha anaanza upya
Tf nasikia mimi na wewe katufungulia RB,kisa eti tunamharibia kwa wake/hawara zake kwa kumuanika.
 
Smaaaaili,be careful,unacheza na waya wa moto,TF unamjua unamsikia,muulize Husn,SL...........,chezea TF wewe!
 
 

Hahahahaha nimeshangaa thread imefika page ya 8 hujatokeza msalimie konnie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…