Unamjua mzee wa nini kimetokea??
Basi bana nasikia kampiga mashine bibi bonge halafu kapita hivi, bibi analia kadata kawa chizi hajui ashike lipi aache lipi.!!
Kapagawa jukwaani km kichaa aiiiih nyie mji mzito huu.!!
Yani mecheka dah! πππem nipenyezeee kulee uduguuu, nifaidi vyedii connection.
Woiiiiiih
πππ ila ujitahidi iwe na mvuto ili iende viralsawa ngoja nami nivujishe pilau langu nitafutwe nchi nzima kama wale wajeshi tena mimi siombi jokeri natafuna jokeri!
Kipipa hana jipya kawa chizi dadeq πππuduguu huu wa motooo, ndo maana kipipa kimevurugwaaa balaaa, mda wotee kuwehukwaaa, kumbe kalambwaa na wajanjaa wamesengaa njee.
Akhiiiiiii JF nzitooo, naigawa bureeee mwayaaaaa.
watuuu weuweeeee!!!!
Uduguuu em nitumiee kuleeeYani mecheka dah!
Ni kichefuchefu tupu unaweza kutapika aloo!
Aiiiiiii nyie mi chitaki jomoonii ππUduguuu em nitumiee kuleee
Fanya chaap bhana wee!! Nasubiriiii
Wacha weee!! πππusijali tena kinakuja kitu quality halafu au basi mengine simalizii
Kipipa hana jipya kawa chizi dadeq
This is JF unapokelewa km ulivyokuja.!!
Mzee wa upako kapita shwaaaahh halafu kapiga mikausho mikali.
Nasikia ukitaka ugomvi naye basi simulia story za kipipa
Kwanini ukabwee koo na wapokeajii wa ubuyuu tupo kukusaudia kuubebaa?Aiiiiiii nyie mi chitaki jomoonii
Ubuyu ulinikaba koo huu nusu nikufwee!!
Imeshatafsiriwa angalia ngomaππNitafsirieβΊοΈ
SubiriβΊοΈImeshatafsiriwa angalia ngomaππ
πππππ ana heka heka huyo Mr komweee. LolWacha weee!! πππ
Mzee wa nini kimetokea legendary halafu muhuni kitambo.!!uduguuu unanichekeshaaa ujueee!! Kule kuvurugwa sio kawaida yaan.
Unaijia pupa JF waijua, au waisikiaa? Watu wapo kuwapokea waja km wanavyojiletaaa.
Nawazaa huko kwa Bed, alifirigiswaa vipi, au hakutoa show ya maana? Mzee wa mithalii akaona ajipitiee kuleee.
watu weraaaaa weraaaa.
Hizi ngoma za Anitta kumbe ni kali .SubiriβΊοΈ
Kireno najulia wapiπ€ mtafsiri ni enzo akeeeHizi ngoma za Anitta kumbe ni kali .
πππ hii ilinichekesha sana khaaa.!!Kwanini ukabwee koo na wapokeajii wa ubuyuu tupo kukusaudia kuubebaa?
majiraniiiii hukuuuuuu!!!!
Uduguuu unanifanyaa nawehukwaaa kwa kuchekaaa.Mzee wa nini kimetokea legendary halafu muhuni kitambo.!!
Vitu km vile kwake ni km kumsukuma mlevi, unaambiwa akacheck km yaliyomo yamo kumbe hamna kitu kipipa nyau mbovu mma nyingi ππππ
Basi alivyoona hivyo akampa kikono ndio kupiga simu hazipokelewi, msg hazijibiwi mzee wa mafuta na maji kampotezea ss hivi ana pisi kali moja hivi ya moto inabembelezwa huko tsap na kubebishwa balaa.!!
Mzee wa nini kimetokea sio mtu mzuri kafanya machizi waongezeke usingizi haupatikani 24/7 yupo kushangaa km server za JF mana hata mods wana zamu.! πΉπΉπΉ