JF Bar & Restaurant....karibuni

JF Bar & Restaurant....karibuni

K 4 LIFE

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2015
Posts
2,567
Reaction score
419
Wakuu nawakaribisheni wote katika mradi wangu mkubwa wa bar & restaurant ujulikanao kwa jina la JF Bar & Restaurant. hapa Kinondoni.

Karibuni mje mkate kiu kwa kupata mvinyo,pombe,juice,baga na piza,cocktails, nyama choma, kwa bei nafuu kabisa, na kuna punguzo maalum kwa wanaJF wote.

Karibuni mniungishe jamani.
 
Hongera. Nilidhani unatukaribisha za promo (bure) mamemba? Joking. Hongera.
 
Jiongeze weka picha... Nyama choma, pizza, juice utapata Wateja wengi zaidi hlf member wa Jf utamtambuaje ili umpe hiyo ofa maalum
 
Aiseee nilikuwa na hii idea!Sio case,nitafungua yangu tu hakijaharibika kitu.
ILA SIO BAR!
Nitakuja kukucheki best yangu K 4 LIFE
 
Last edited by a moderator:
Vipi Kuna Kitimoto? samahani kwa wasiotunia.
 
Supu ya pweza vipi itakuepo?
 
Last edited by a moderator:
Sheikhe,kumbe unachuuza Yale maji yenye
Jina la kati la mgombea urais wa chama tawala?
Maustadhi utawakosa ujue.
 
Jiongeze weka picha... Nyama choma, pizza, juice utapata Wateja wengi zaidi hlf member wa Jf utamtambuaje ili umpe hiyo ofa maalum

mkuu nimeweka utaratibu maaluma wa kuwatambua member wote wa jf
 
Aiseee nilikuwa na hii idea!Sio case,nitafungua yangu tu hakijaharibika kitu.
ILA SIO BAR!
Nitakuja kukucheki best yangu K 4 LIFE

pamoooooja sana mkuu karibu my best friend
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom