JF Android and iOS app - Feb 2018 update

Maxence Melo kuna baadhi ya maswali watu wangeweza jua mfumo wa kwanini JF ipo kama ilivyo sababu umeyajibu kwenye Uzi wa mahojiano yako!..Lakini tatizo ni kwamba huo Uzi upo "Jukwaa la Great Thinker" sizani wote wana access nalo so fanyeni wekeni copy yake "Jukwaa la Malalamiko" ili mtu anayeanza leo aweze pitia jukwaa la malalamiko aone!..
Ps: Naona wick amehappen kuwa screenshot comment yake hapo mjadala wa psychic powers!, siku mojamoja ingia tujadiliane bana!!
 
ushaambiwa imeeondolewa kwa muda...
Mimi nasemea wiki mbili zilizopita walitangaza kwamba wametoa updates na sikuona jipya kwenye playstore thats why!! siongelei tangazo la leo mkuu!

BTW nnashangaa hawa JF updates wanatoa baada ya miaka miwili, ina maana app yao iko stable kuliko app za FB, Insta na nyinginezo ambazo wanatoa updates ndani ya mwezi au miezi miwili!!
 
App ipo poa kabisa, pia ninaomba mufikirie hili swala lakubadilisha ID mngeruhusu ID ibadilishike angalau mara moja kwa miezi mitatu.
 
Kitufe cha dislike cha muhimu sana kuna watu wanastahili kupewa hizo awards jamani. Pia Idadi ya likes na dislike kwa idadi yake zote zionekane pia katika App sio zinaishia 5 tu
 
Tumekusoma boss,ila uwe unasalimia kwanza
Anyway waambie na mods wako wapunguze ban bila mpango,ipo siku tutashikana mashati Hapo mjengoni
 

Nimejaribu kuwaomba admini wanibadilishie jina mpaka leo wamelala
 
Brother Max utaratibu wa kuwa verified user ukoje na njia gani rahisi ya kutrace uzi ulioanzisha tofauti na subscription
 
Mkuu hilo jukwaa unaweza kusoma mada za humo ila huwezi kuchangia mjadala kama hauna access nalo.

Kwa hiyo nenda utauona huo uz na utausoma kama kawaida.
 
hahaha nimecheka sana hapo kwenye member kujiita jina la mtu mwingine daaah.hongereni sana jf
 

Me naomba muweke na kitufe cha DISLIKE

Sio kila Comments inastahili Like,
Hii haswa, hata mimi naomba kitufe cha "dislike" kiweko, pia kwa nyongeza nashauri likes ziongezwe kutoka tano mpaka idadi yoyote, hii itasaidia kupunguza quote zisizo za lazima,maana wakati mwengine mtu anataka ku like mchango wa mtu lakini anakuta likes zishajaa inabidi auquote uzi ili asapoti maneno ya mchangiaji au mleta uzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…