October 2pm
JF-Expert Member
- May 2, 2023
- 1,124
- 1,983
Ati amiri jeshi. Hehehehe. Uliona wapi Amir anaua watu wake. Heheheh. Sasa aogopa watu. Hajui nani amuamini. Hehehe walahi hii kali.
Jeshi lajizima mnala naye ajua. Yeye si amir jeshi sasa itajulikana ni jeshi lipi yeye asiogope. Huyo hata akijiuzulu haisaidiii walahi.
Rafiki yangu wa Siku nyingi nilikuambia mapema. Huyo Mzazi mwenzio ni mroho wa madalaka. Wee wajiingiza kichwa. Wooi. Na bado
Jeshi lajizima mnala naye ajua. Yeye si amir jeshi sasa itajulikana ni jeshi lipi yeye asiogope. Huyo hata akijiuzulu haisaidiii walahi.
Rafiki yangu wa Siku nyingi nilikuambia mapema. Huyo Mzazi mwenzio ni mroho wa madalaka. Wee wajiingiza kichwa. Wooi. Na bado