Jeshi la Zimbabwe lakanusha kufanya mapinduzi

Jeshi la Zimbabwe lakanusha kufanya mapinduzi

Sipendi fujo ila hata kama walikua wamepanga kumtoa huyu mzee ningefurahi sana. Mugabe ni tako yule jamaa, ameifikisha ile nchi pabaya sana na hataki kutoka. Wanaomuita simba wa Afrika sijui wana ugonjwa wa akili. Yule ni dikteta uchwara na kilaza.
 
wanaosababisha maisha magum na shida za kijamii ni nani kama sio serekali !! connect the dots
Naamini hujanielewa, sijaongelea na wala sijajadili ugumu wa maisha, ninachoongea nakiri kuwa jeshi linaelekea kuchukua nchi na hayo maelezo ni ya hadaa, ngoja wawaondoe kwa sababu uraisi umechukuliwa kama wa familia
 
siasa za zimbabwe ni ngumu kuzielewa kama sio mfuatiliaji na ndomana hadi leo Mugabe ni rais. jeshi la Zimbabwe asilimia 90 ni ZANU-PF wengi wanaongoza jeshi walipigania uhuru kipindi hiko,walichofanya jana nikuzima kinachoitwa vuguvugu la Aliyekuwa Vice President kwakuwa huyu mtu ananguvu sio tuu katika chama pia katika jeshi na taifa kwa ujumla.
Ngoja tusubiri tuone
 
siasa za zimbabwe ni ngumu kuzielewa kama sio mfuatiliaji na ndomana hadi leo Mugabe ni rais. jeshi la Zimbabwe asilimia 90 ni ZANU-PF wengi wanaongoza jeshi walipigania uhuru kipindi hiko,walichofanya jana nikuzima kinachoitwa vuguvugu la Aliyekuwa Vice President kwakuwa huyu mtu ananguvu sio tuu katika chama pia katika jeshi na taifa kwa ujumla.
soma tweets za aliekua VP
aabcaefc94bac892f7a7517a72a0fe80.jpg
67fd8f48b01703ca76cb608890d7d0ac.jpg
 
siasa za zimbabwe ni ngumu kuzielewa kama sio mfuatiliaji na ndomana hadi leo Mugabe ni rais. jeshi la Zimbabwe asilimia 90 ni ZANU-PF wengi wanaongoza jeshi walipigania uhuru kipindi hiko,walichofanya jana nikuzima kinachoitwa vuguvugu la Aliyekuwa Vice President kwakuwa huyu mtu ananguvu sio tuu katika chama pia katika jeshi na taifa kwa ujumla.


Sasa mbona tunambiwa aliyekua makamu wa raisi ni rafiki mkubwa wa mkuu wa majeshi wa sasa?
 
Hata hvyo mataifa makubwa. Walishamchoka Mugabe.
ALIWAHI KUMWAMBIA Ban Ki Moon Aende akawaambie hao watu wenye Pua nyeupe Afrika hatutaki Ushoga , na ukamwambie Obama kuwa kama anataka kuruhusu Ushoga bas acha mimi niwe wa kwanza kumwoa yeye" jamaa anajeuri sana aseee
 
Mugabe chali na taarifa kutoka afrika kusini zinasema muda wowote atatangaza kuachia madaraka, I am sure atapewa hidadhi huko.
Watu wamechoshwa na Grace kuongoza nchi kwa kivuli cha mumewe na sasa anataka ashuke usukani kabisa
Salamu kwa Sizonje na Bashite wake
 
Mugabe chali na taarifa kutoka afrika kusini zinasema muda wowote atatangaza kuachia madaraka, I am sure atapewa hidadhi huko.
Watu wamechoshwa na Grace kuongoza nchi kwa kivuli cha mumewe na sasa anataka ashuke usukani kabisa
Mbona Da es salaam kuna kijana ni mkuu wa mkoa pale yupo kama Grace Mugabe. Nasikia vijana wanamuita Grace Mugabe badala ya Bashite
 
Mwnyeketi wa vijana wa Zanu PF kakamatwa na kuwekwa kizuinzini, baadhi ya wabunge, bunge limezungukwa na magari ya jeshi, kuna baadhi ya askari wenye vyeo nao wamekamatwa.
Raisi Jacob Zuma ambaye ni mwenyekiti wa SADC anatarajiwa kutoa tamko.
Source Zambezi Reporter page facebook
 
na ndomaana nikaandika ana nguvu si ndani ya chama,bali hata jeshini na taifa


Ni sawa ila ulichokiandika umekosea, kabla ya mapinduzi kuanza Emerson Mnangwa alikua South Africa, amerudi leo asubui na amefikia kwenye uwanja wa jeshi. Angekua upande tofauti na mapinduzi asingerudi nchini na kufikia jeshini. Kuna uwezekano mkubwa akawa miongoni mwa walioandaa haya mapinduzi na inawezekana kabisa alienda South Africa ili kuweka mambo sawa ili South wasije kuvuruga mapinduzi haya.
 
Jeshi likisema limepindua litatengwa na jumuiya za kimataifa, hivyo njia nyepesi ni hiyo waliofanya then mzee atatangaza kujiuzulu bila ugomvi. Watapanga tarehe ya uchaguzi mambo yanaisha.
Hiyo ndio picha inayoonekana. Lakini tusubiri kama itatimia hivyo maana jeshi huwa hawakawii kubadilisha mawazo
 
Wachukue tu nchi mtaongozwaje na kikongwe mpk kinyaa yani
 
Duuu hii inatoa Funzo kwa Viongozi wengine wa Kiafrika ambao wakishapata Madaraka hawataki Kung'atuka na wakitaka Kung'atuka wanataka Kufanya ikulu Kuwa za Familia zao...... Mugabe alisaidia sana Afrika na Zimbabwe kwa Ujumla ila uroho wake wa madaraka umempeleka pabaya ... ilifikia sehemu akajiona ni Mungu Mtu wa Zimbabwe...

well said mkuu, c.c Mkamia
 
Back
Top Bottom