Jeshi la Wachekeshaji Tanzania (JWTZ)

mmakonde

JF-Expert Member
Dec 26, 2009
965
66
Jeshi letu na Waziri wake(Mwinyi) ni big joke!

Je umeshasikia milipuko ya mabomu kwenye army barracks ndani ya jiji lolote kwenye nchi yenye "amani na utulivu"?Above that ,tangu Mbagala kulipuka:
Kuna taarifa yoyote independent imetolewa na kusomwa bungeni?

Top brass wa JWTZ ni corrupt ,hasa baada ya serikali ya Mwalimu kuondoka.

Kwa kuwa JWTZ wamenunuliwa na chama tawala,good salaries,pension,bia za bure etc
hata uchaguzi wa top brass wa JWTZ ni politics,wengi sasa ni YES men.hakuna professionalism at all.

You never know hata haya mabomu,may yalinunuliwa tayari expired,due to corruption.
I cry to my beloved TANGANYIKA.
 
Jeshi letu na Waziri wake(Mwinyi) ni big joke!

Je umeshasikia milipuko ya mabomu kwenye army barracks ndani ya jiji lolote kwenye nchi yenye "amani na utulivu"?Above that ,tangu Mbagala kulipuka:
Kuna taarifa yoyote independent imetolewa na kusomwa bungeni?

Top brass wa JWTZ ni corrupt ,hasa baada ya serikali ya Mwalimu kuondoka.

Kwa kuwa JWTZ wamenunuliwa na chama tawala,good salaries,pension,bia za bure etc
hata uchaguzi wa top brass wa JWTZ ni politics,wengi sasa ni YES men.hakuna professionalism at all.

You never know hata haya mabomu,may yalinunuliwa tayari expired,due to corruption.
I cry to my beloved TANGANYIKA.

Hapana bwana Ni Jeshi la Wananchi Wa Tanzania. lina tatizo la utaalamu tu wa ku-manage arsenal stocks na hasa zile zinazolipuka kama mabomu, makombora na kadhalika.

Muda si mrefu kutakuwa na comprehensive stock taking na evaluation ya silaha zote nchini. Maghala yafuatayo yatafanyiwa kazi Lugalo, Kigamboni, Changanyikeni, Kunduchi, Mbagala, Kiluvya, Upanga, Tabora, Kigoma, Mwanza, Kagera, Songea, Unguja, Tanga, n.k.

Tuwe wavumilivu tu. Unajua kifo kwa askari si jambo la kutisha sana. Na hii wanaichukulia tu kama ajali kazini. Wanasiasa ndio wanakuza mambo. Wao wala hawashangai!
 
Hapana bwana Ni Jeshi la Wananchi Wa Tanzania. lina tatizo la utaalamu tu wa ku-manage arsenal stocks na hasa zile zinazolipuka kama mabomu, makombora na kadhalika.

Muda si mrefu kutakuwa na comprehensive stock taking na evaluation ya silaha zote nchini. Maghala yafuatayo yatafanyiwa kazi Lugalo, Kigamboni, Changanyikeni, Kunduchi, Mbagala, Kiluvya, Upanga, Tabora, Kigoma, Mwanza, Kagera, Songea, Unguja, Tanga, n.k.

Tuwe wavumilivu tu. Unajua kifo kwa askari si jambo la kutisha sana. Na hii wanaichukulia tu kama ajali kazini. Wanasiasa ndio wanakuza mambo. Wao wala hawashangai!
Mpaka lini Watanzania watahadaiwa na hizi ahadi zisizo na mashiko??
Kwanza mjiuzulu kisha mfanye hizo stock taking.
Subira ni hekima ila ina limitations zake
 
Hapana bwana Ni Jeshi la Wananchi Wa Tanzania. lina tatizo la utaalamu tu wa ku-manage arsenal stocks na hasa zile zinazolipuka kama mabomu, makombora na kadhalika.

Muda si mrefu kutakuwa na comprehensive stock taking na evaluation ya silaha zote nchini. Maghala yafuatayo yatafanyiwa kazi Lugalo, Kigamboni, Changanyikeni, Kunduchi, Mbagala, Kiluvya, Upanga, Tabora, Kigoma, Mwanza, Kagera, Songea, Unguja, Tanga, n.k.

Tuwe wavumilivu tu. Unajua kifo kwa askari si jambo la kutisha sana. Na hii wanaichukulia tu kama ajali kazini. Wanasiasa ndio wanakuza mambo. Wao wala hawashangai!

Sasa ndio wametia akili kufanya hizo stock taking&evaluation ya silaha?!!..kama inajulikana kuna tatizo la wataalam kwanini lisitatuliwe kwa kutafuta hao wataalamu na wakati athari za hizo silaha zinajulikana fika?

Mola epushia maghala mengine yasije poteza uhai wa watu kiasi kama ya mbagala na hii ya last week..

Kuwa wavumilivu ni ujinga kwenye jambo muhimu kama hili.
 
Sasa ndio wametia akili kufanya hizo stock taking&evaluation ya silaha?!!..kama inajulikana kuna tatizo la wataalam kwanini lisitatuliwe kwa kutafuta hao wataalamu na wakati athari za hizo silaha zinajulikana fika?

Mola epushia maghala mengine yasije poteza uhai wa watu kiasi kama ya mbagala na hii ya last week..

Kuwa wavumilivu ni ujinga kwenye jambo muhimu kama hili.

Kwa usalama wetu heri x10 tutafute mwekezaji hata wa kutushauri tu ili tusiwe na wasiwasi!
 
ni story tu... na ukweli ni kwamba ccm imewaweka vyema watumishi wa ngazi ya juu na kushindwa kwa majority....kitu inayoleta manung'uniko makubwa jeshini!!!!! you can play with some of the systems but not all and all the times!
 
Jeshi letu na Waziri wake(Mwinyi) ni big joke!

Je umeshasikia milipuko ya mabomu kwenye army barracks ndani ya jiji lolote kwenye nchi yenye "amani na utulivu"?Above that ,tangu Mbagala kulipuka:
Kuna taarifa yoyote independent imetolewa na kusomwa bungeni?

Top brass wa JWTZ ni corrupt ,hasa baada ya serikali ya Mwalimu kuondoka.

Kwa kuwa JWTZ wamenunuliwa na chama tawala,good salaries,pension,bia za bure etc
hata uchaguzi wa top brass wa JWTZ ni politics,wengi sasa ni YES men.hakuna professionalism at all.

You never know hata haya mabomu,may yalinunuliwa tayari expired,due to corruption.
I cry to my beloved TANGANYIKA.

I do not know how old you are. But all those years you have been sitting your ass down dreaming all sweet dreams because the so you call " jeshi la wachekeshaji" are busy for an idiot like you. It takes security knowledge to appreciate the role of any military. To help you mr. rumour monger, TPDF is among the most respected armies in Africa for its professionalism. Milipuko yaweza sababishwa na sababu nyingi tu "technical". Mbagala watu walikuwa wana-perform daily care pale explosion ilipotokea, and they all died, to your joy. Gongolamboto is a different story. So stop fooling yourself about the pro of the military in Tz, kid. Better appreciate the little they do rather than kutumia accident ya milipuko kuli-crash jeshi zima. And one thing more, NO COUNTRY ON EARTH SELLS ITS EXPLOSIVES BEFORE TRAING THE EXPERTS. that is how it works. Hivyo acheni kelele za kijinga kuhusu jeshi. Nenda Kigoma na Kagera uone wanavyolichukulia jeshi lao. Know, stop fooling people around, poor kid?
 
Bureau of Political-Military Affairs
May 19, 2010

On April 29, 2009, a series of explosions in the Mbagala District of Tanzania's capital, Dar es Salaam, killed 26 people, injured hundreds more, and destroyed as many as 7,000 homes. As this and other all-too-frequent incidents illustrate, poorly maintained, improperly stored, or inadequately guarded conventional weapons and munitions pose as significant a humanitarian challenge as the well-known threat of landmines and other explosive remnants of war left uncleared from past conflicts.

Since 1990s, there have been an increasing number of catastrophic explosions at arms storage facilities around the world. The frequency of such incidents has increased as urban populations have expanded outward from city centers to the vicinity of what were often previously isolated depots. The Office of Weapons Removal and Abatement in the U.S. Department of State's Bureau of Political-Military Affairs (PM/WRA) and the Defense Threat Reduction Agency remain committed to helping to confront it.
Since 2001, the United States has partnered with more than 30 countries to promote safe disposal of surplus and aging weapons and munitions, including 1.4 million small arms and light weapons, more than 80,000 tons of munitions, and nearly 32,000 man-portable air defense systems. In addition, U.S. experts have worked with partners to improve stockpile management practices. Where needed, PM/WRA has also deployed its Quick Reaction Force to help partner countries mitigate risks from potentially dangerous depots, as well as operations to safely remove and dispose of materials following incidents at these facilities.
Since 1995 there have been 218 known incidents involving these dangerous depots, resulting in more than 4,700 fatalities and nearly 5,700 injuries, according to experts. Following are some examples of these incidents. As munitions deteriorate further, new tragedies will follow unless this problem is more widely acknowledged and addressed. The humanitarian impact posed by these "dangerous depots" is widespread and worsening, as seen in the timeline below.



Bulgaria: Police officer stand guard after explosions at an army ammunition depot near the Bulgarian capital Sofia, Thursday, July 3, 2008. A series of powerful explosions at an army ammunition depot near Sofia damaged buildings and forced the closure of the country's main airport. The blasts occurred near the village of Chelopechene, at 6:30 a.m. and were heard throughout the capital. [© AP Image]


The frequency of such incidents has increased as urban populations have expanded outward from city centers to the vicinity of what were often previously isolated depots. As munitions deteriorate further, new tragedies will follow unless this problem is more widely acknowledged and addressed. The humanitarian impact posed by these "dangerous depots" is widespread and worsening, as seen in the timeline below. The Office of Weapons Removal and Abatement in the U.S. Department of State's Bureau of Political-Military Affairs and the Defense Threat Reduction Agency remain committed to helping to confront it.

Since 2001, the United States has partnered with more than 30 countries to promote safe disposal of surplus and aging weapons and munitions, including 1.4 million small arms and light weapons, more than 80,000 tons of munitions, and nearly 32,000 man-portable air defense systems. In addition, U.S. experts have worked with partners to improve stockpile management practices. Where needed, PM/WRA has also deployed its Quick Reaction Force to help partner countries mitigate risks from potentially dangerous depots, as well as operations to safely remove and dispose of materials following incidents at these facilities.

Timeline: Examples of Major Accidents at Munitions Depots



2009

November 13, Russia. November 13, Russia. A detonation during munitions disposal operations caused a series of explosions at an ammunition storage depot reportedly storing artillery munitions and torpedoes on the outskirts of Ulyanovsk, a city approximately 550 miles (900km) southeast of Moscow. The explosions, which lasted several hours, also forced the evacuation of over 3,000 nearby inhabitants. Reports of casualties varied, but at least two military firefighters were killed with an undetermined number injured as a result of the accident. Eight additional Russian bomb disposal personnel were killed and two others injured in a new explosion at the depot during clean-up operations. Russian President Dmitry Medvedev called for the dismissal of several high-ranking military officials for "criminal negligence."
June 8, Kazakhstan. A series of late night explosions in a Soviet-era munitions depot on the outskirts of Almaty killed one soldier and caused dozens more persons to be evacuated. The explosions, which continued into the next day, involved large stores of artillery shells as well as heavy machine gun ammunition.
April 29, Tanzania. April 29, Tanzania. A large explosion involving rockets, artillery, and mortar shells rocked the Mbgagla munitions depot located approximately eight miles (14 kilometers) from the center of Dar Es Salaam. The initial explosion, followed by a series of additional blasts, killed 26 people, injured more than 300, destroyed as many as 7,000 homes, and prompted mass evacuations of residential neighborhoods surrounding the depot.
2008


July 10, Uzbekistan. An explosion at a military depot in Kagan, southeast of Bukhara, killed at least three persons and injured 21, according to government reports.

July 3, Bulgaria. A series of explosions at the Chelopchene munitions depot in the capital, Sofia, forced the evacuation of residents within a 3.7 mile (six kilometer) radius. Tons of ammunition and explosives detonated immediately. Tons more were damaged in the fire creating additional hazards for the surrounding community. The United States immediately offered to help remediate this hazardous explosive site and Bulgaria accepted.

March 15, Albania. A series of massive explosions at an Albanian government munitions depot in the village of Gërdec, northwest of the capital, Tirana, killed 27 people, and injured more than 300. The blasts extensively damaged 400 homes and other civilian structures within a 1.5 mile (2.5 kilometer) radius and forced the evacuation of 4,000 nearby residents. Contributing factors included old, unstable ammunition, and reportedly improper storage and unsafe handling at the depot, which was serving as a munitions demilitarization facility. The U.S. Embassy, Department of State, and Department of Defense provided assistance immediately. Subsequently, the Office of Weapons Removal and Abatement committed $2 million to help Albanian authorities thoroughly and safely clean up all of the highly dangerous unexploded ordnance that littered the site and the surrounding areas.



Photograph of Gerdec Ammunition Dump, post-explosion. [Photo courtesy of Richard Kidd, Former Director of PM/WRA]



2007

December 29, Colombia. A series of explosions at an army base in Medellin killed two people, injured seven, and caused neighboring civilian residents to flee. The first explosion was reportedly caused by a grenade that detonated inside a weapons storage area.
November, Mozambique. Three people in Beira were killed by a piece of unexploded ordnance they discovered that had been ejected from a depot explosion in 2002.
July 26, Syria. An explosion at a munitions depot at a military complex approximately six miles north of Aleppo killed 15 soldiers and wounded 50.
June 17, Democratic Republic of Congo. A Congolese Army munitions depot near Mbandaka in Equateur Province was destroyed in an explosion, which killed three people and injured 52.
April 7, Sudan. The international airport in Khartoum was closed temporarily due to an explosion in an adjacent munitions depot. Fortunately, there were no reported casualties.
March 22, Mozambique. An explosion at the Malhazine Ammunition Depot in a densely populated neighborhood 6.2 miles (10 kilometers) from the center of the capital, Maputo, killed more than 100 people and injured 500 others. Unexploded ordnance continued to injure people for several days afterwards. Hot weather and negligence were cited as the cause. The depot was constructed in 1984 by the Soviet Union and stockpiled with obsolete Soviet-era weapons and munitions. It had previously experienced an explosion in January, which injured three people.


2006

October 19, Serbia. An explosion in a munitions depot injured approximately 20 people in the adjacent town of Paracin, as well as in the surrounding villages of Cuprija and Jagodina. The United Kingdom and United Nations Development Program (UNDP) provided assistance.
March 23, Afghanistan. A fire in a storage area for confiscated weapons and ammunition in Jabal Saraj, northeast of Kabul, resulted in an explosion that killed two Afghan civilians and injured more than 60 others, including 18 Afghan Army soldiers. The site was eventually cleared by an explosive ordnance disposal team funded by the Office of Weapons Removal and Abatement.
2005

October 1, Russia. A fire in a Russian Pacific Fleet ammunition storage depot on the Kamchatka Peninsula forced the evacuation of five local towns. Although subsequent explosions in the depot scattered flying ordnance over a five mile (eight kilometers) area, there were no reported casualties.
May 2, Afghanistan. Illicit munitions stockpiled by a local militia commander exploded in Bajgah, north of Kabul, killing 28 people, injuring 13 more and leveling 25 houses in the village.
2004

May 6, Ukraine. Railroad cars loaded with ammunition exploded at a munitions storage site near Melitopol in the Zaporozhye region of Ukraine. Five people were killed, more than 300 injured, and more than 5,000 people living within a 9.3 mile (15 kilometer) radius of the disaster site were forced to evacuate. More than 300 buildings were destroyed, while six villages within nearly 25 miles (40 kilometers) of the depot – Novobohdanovka, Vorozhdeniye, Privolnoye, Spaskoye, Oriovo and Vysokoye –were reported to be partially or totally destroyed in the incident.
February 19, India. An explosion at a munitions depot in Amritsar, India, killed 30 people.
2003

October 11, Ukraine. A series of explosions ripped through a munitions depot at Artemovsk in the eastern Donetsk region, shattering windows of surrounding apartment blocks, and prompting the evacuation of several thousand area residents.
March 23, Ecuador. An explosion at a navy base in Guayaquil killed one, injured 22 people and damaged more than 350 homes.
January 23, Peru. An explosion killed seven Peruvian military personnel who were inspecting ammunition at a base depot located outside the city of Tumbes, and injured 15 other military personnel and 80 civilians on the base.
2002


November 21, Ecuador. Two explosions in the munitions depot of Ecuador's largest military installation outside Riobamba killed seven people and injured 274 others.
October 30, Mozambique. An explosion at a munitions depot in Beira killed six people, injured 50 others, and affected approximately 900 more.
January 29, Thailand. An explosion at a munitions depot in Pak Chong caused 11 casualties. Experts subsequently traced the cause to munitions stored in the depot that had been damaged by a previous incident in October 2001.
January 27, Nigeria. A catastrophic explosion at the Ikeja ammunition depot in the center of Lagos, resulted in more than 1,100 deaths, and 5,000 injuries. The accident displaced 20,000 people and destroyed much of northern part of Lagos. While a fire near the depot reportedly initiated the explosion, many blamed the accident on the deteriorated condition of many of the old munitions stored there. The U.S. Department of State's former Office of Humanitarian Demining Programs (a precursor to the Office of Weapons Removal and Abatement) provided cleanup assistance to Nigerian authorities.



Ordnance strewn about, post-explosion at the Nigerian Army's Ikeja depot. Notice the size of the munitions and the sheer number in comparison with the military truck in the background. [Photo courtesy of U.S. Army 21st Theater Support Command Public Affair Office, (SPC Blose and SPC Hall)].

January 11, India. An explosion at a munitions depot in Bikaner killed two people and injured 12 others.

2001

October 25, Thailand. A series of explosions killed 19 military personnel, and injured 90 others at a munitions depot in Nakhon Ratchasima's Pak Chong area (Korat). The incident occurred during the movement of unserviceable ammunition.

August 16, India. An explosion at a munitions depot in Tamil Nadr killed 25 people and injured three others.

August 8, Kazakhstan. A fire caused an explosion at a munitions depot 30 miles from the town of Balkhash. While several surrounding villages were evacuated, there were no reported casualties.

June 8, Vietnam. An explosion at an army base in central Vietnam detonated approximately three and half tons of explosives and ammunition blew up, injuring four people and damaging approximately 100 homes.
May 24, India. Fire and explosions reportedly caused by the ignition of artillery propellant destroyed an Indian Army munitions depot near the town of Suratgarh in the state of Rajasthan. The explosions killed one person and injured five others, subsequently forcing the evacuation of about 3,000 people from surrounding villages.
May 20, Yemen. 14 people were killed, and 50 wounded when munitions blew up in Al-Bayda.
April 29, India. A fire at a munitions depot on the outskirts of the city of Pathankot in the state of Punjab forced the evacuation of thousands of residents and destroyed more than 500 tons of ammunition.

March 3, Guinea. A fire caused a series of explosions at an ammunitions depot at an army base in the capital, Conakry, killing 10 people.
2000

April 28, India. Fire and explosions at the Bharatpur munitions depot in Rajasthan killed five personnel, injured seven others, and caused extensive damage to 20 surrounding villages. The incident damaged 20 open storage areas and nine warehouses holding approximately 12 tons of munitions, including missiles.
April 14, Democratic Republic of Congo. A fire triggered a series of explosions in a hangar being used as an ammunition storage area at Kinshasa airport, killing 101 people and injuring more than 200 others.
1999

October 9, Afghanistan. An explosion at a munitions depot in Mazar-e-Sharif, caused by improper handling, killed seven people and injured twelve others.
1997


July 8, Ecuador. An explosion at a munitions depot in La Balbina killed four people, wounded several dozen others, and destroyed 1,200 homes.

March 19, Afghanistan. A large explosion in a munitions depot near Jalalabad detonated an estimated 200 tons of munitions. The blast killed 30 people and injured approximately 200 others.
March, Albania. A series of explosions in munitions storage sites in 15 towns killed 59 people, and injured 59 others. These incidents prompted NATO to provide an Ammunition Storage and Disposal Team to train the Albanian armed forces to safely clear the large quantity of unexploded ordnance scattered by the blasts.
1996

February 15, Afghanistan. An explosion in a munitions depot outside Kabul killed 60 people and injured more than 125 others.
1995


July 16, Brazil. An explosion at a munitions storage area near the city of Boquerio killed more than 100 people.
 
mI NAONA NI bORA NALO TUKATAFUTA MUWEKEZAJI KATIKA JESHI BILA YA WAWEZEKAJI KATIKA JESHI HAKUNA KITU ZAIDI YA PROPAGANDA. TUKISHAMPA MUWEKEZAJI WA JESHI HALAFU TUTAFUTE WA IKULU ILI TUIMALIZE NCHI YOTE KATIKA KUWEKEZA. SERA YA CCM NI KULETA WACHUKUAJI KUJA KUWEKEZA NA KUCHUKUA.
 
I do not know how old you are. .... To help you mr. rumour monger, TPDF is among the most respected armies in Africa for its professionalism. Milipuko yaweza sababishwa na sababu nyingi tu "technical". Mbagala .........stop fooling yourself about the pro of the military in Tz, kid. Better appreciate the little they do rather than kutumia accident ya milipuko kuli-crash jeshi zima. And one thing more, NO COUNTRY ON EARTH SELLS ITS EXPLOSIVES BEFORE TRAING THE EXPERTS. that is how it works. Hivyo acheni kelele za kijinga kuhusu jeshi. Nenda Kigoma na Kagera uone wanavyolichukulia jeshi lao. Know, stop fooling people around, poor kid?

I concur with your, Sir.
What happened at Gongo la Mboto was purely accident and there is no need to politicize it. It could have happened regardless of who was in the state house.
My greatest sympathy goes to the affected families.
 
Jeshi letu kwa kweli ni big Joke..yaaaani aibuuuu mwanzo mwisho. Wanatuaibisha hadi tunaona aibu kujiita Watanzania..khah!
 
Nyenyere, kweli umefanya kazi nzuri ya kugoogle ili utuletee matukio haya na kuhalalisha tukio la g'mboto, hongera. JWTZ haiwez kuwa jeshi la wachekeshaji, kazi zao tunaziamini na ni jeshi letu na wala hakuna siasa hapa isipokuwa lazima tuambiane ukweli kuwa maelezo yanayotolewa kwenye press yanaonesha kaabisa kuwailikuwa ni njama ili wakazi wa eneo hili na jirani waumie, fikiria, zipo dhahania kuwa wanajeshi waliondoka mapema na hivyo binafsi (kama watu) hawakuathirika kama raia walio karibu na kambi.
Hapa kuna tatizo na ni lazima tukubali, na kwa upande wangu nadhani kwa jinsi hali ya maisha kwa raia inavyokuwa ngumu basi mawazo yetu inabidi yatolewa kwa makusudi katika kujadili mfumuko wa bei ili tuongelee mabomu yanayowafanya viongozi wetu watokee katika magazeti wakitabasamu
 
I do not know how old you are. But all those years you have been sitting your ass down dreaming all sweet dreams because the so you call " jeshi la wachekeshaji" are busy for an idiot like you. It takes security knowledge to appreciate the role of any military. To help you mr. rumour monger, TPDF is among the most respected armies in Africa for its professionalism. Milipuko yaweza sababishwa na sababu nyingi tu "technical". Mbagala watu walikuwa wana-perform daily care pale explosion ilipotokea, and they all died, to your joy. Gongolamboto is a different story. So stop fooling yourself about the pro of the military in Tz, kid. Better appreciate the little they do rather than kutumia accident ya milipuko kuli-crash jeshi zima. And one thing more, NO COUNTRY ON EARTH SELLS ITS EXPLOSIVES BEFORE TRAING THE EXPERTS. that is how it works. Hivyo acheni kelele za kijinga kuhusu jeshi. Nenda Kigoma na Kagera uone wanavyolichukulia jeshi lao. Know, stop fooling people around, poor kid?

Naona umeamua kuwapasha wasiothamini Jeshi.
BTW... NAPENDA KUSOMA MABANDIKO YAKO. U GOT STYLE katika kutoa ujumbe.Asante.
 
mI NAONA NI bORA NALO TUKATAFUTA MUWEKEZAJI KATIKA JESHI BILA YA WAWEZEKAJI KATIKA JESHI HAKUNA KITU ZAIDI YA PROPAGANDA. TUKISHAMPA MUWEKEZAJI WA JESHI HALAFU TUTAFUTE WA IKULU ILI TUIMALIZE NCHI YOTE KATIKA KUWEKEZA. SERA YA CCM NI KULETA WACHUKUAJI KUJA KUWEKEZA NA KUCHUKUA.
Jeshi lipewe mwekezaji!! Utani umepitiliza..!!
 
Jeshi letu kwa kweli ni big Joke..yaaaani aibuuuu mwanzo mwisho. Wanatuaibisha hadi tunaona aibu kujiita Watanzania..khah!

Kama unaona aibu kuitwa mtanzania kwa ajili ya ajali ya G'lamboto then pia unaona aibu kuzaliwa na wazazi wako kwa uduni wao. simple, chukua uraia huko ulipo Tz will be there without you afterall huna mchango wowote kwa maendeleo ya nchi hii sasa hivi wala baadae.
 
Hapana bwana Ni Jeshi la Wananchi Wa Tanzania. lina tatizo la utaalamu tu wa ku-manage arsenal stocks na hasa zile zinazolipuka kama mabomu, makombora na kadhalika.

Muda si mrefu kutakuwa na comprehensive stock taking na evaluation ya silaha zote nchini. Maghala yafuatayo yatafanyiwa kazi Lugalo, Kigamboni, Changanyikeni, Kunduchi, Mbagala, Kiluvya, Upanga, Tabora, Kigoma, Mwanza, Kagera, Songea, Unguja, Tanga, n.k.

Tuwe wavumilivu tu. Unajua kifo kwa askari si jambo la kutisha sana. Na hii wanaichukulia tu kama ajali kazini. Wanasiasa ndio wanakuza mambo. Wao wala hawashangai!
Tatizo hilo la utaalamu limeanza katika awamu hii ya Kikwete? Hivi kwa nini mnaendelea kudanganya wananchi hata baada ya kufikwa na vifo na kupoteza mali nyingi? Kwa nini hamkufanya hivyo baada ya mkasa wa Mbagala? Mi naamini zipo sababu nyingi za msingi zinazofichwa na wakuu wa asasi hii, ndiyo maana watu wanadai "Independent Commission" ili ukweli ujulikane. Tume huru itaweza kufanya kazi tu endapo viongozi wakuu watakaa pembeni. Viongozi hao ni pamoja na Waziri wa Ulinzi, Mkuu wa Majeshi na wale watakaoona wanahusika. Ni kweli ajira ya Jeshi haina kipengele cha kujiuzulu lakini Rais kwa mamlaka aliyo nayo anaweza akamwajibisha kiongozi yeyote wa Jeshi kwa kumbadilishia kazi, kumwondoa kwenye nafasi yake na hata kumwachisha Jeshi.
Ni vigumu kuunda Tume ambayo baada ya uchunguzi woote itawasilisha taarifa yake kwa Mkuu wa JWTZ, ambaye naye ataiwasilisha kwa waziri na mwisho Baraza la Usalama. Swali ni je, taarifa hiyo itafika popote endapo itaonyesha mapungufu kwa wakuu hawa?
 
I do not know how old you are. But all those years you have been sitting your ass down dreaming all sweet dreams because the so you call " jeshi la wachekeshaji" are busy for an idiot like you. It takes security knowledge to appreciate the role of any military. To help you mr. rumour monger, TPDF is among the most respected armies in Africa for its professionalism. Milipuko yaweza sababishwa na sababu nyingi tu "technical". Mbagala watu walikuwa wana-perform daily care pale explosion ilipotokea, and they all died, to your joy. Gongolamboto is a different story. So stop fooling yourself about the pro of the military in Tz, kid. Better appreciate the little they do rather than kutumia accident ya milipuko kuli-crash jeshi zima. And one thing more, NO COUNTRY ON EARTH SELLS ITS EXPLOSIVES BEFORE TRAING THE EXPERTS. that is how it works. Hivyo acheni kelele za kijinga kuhusu jeshi. Nenda Kigoma na Kagera uone wanavyolichukulia jeshi lao. Know, stop fooling people around, poor kid?

mhhhh watu wengine bwana

Kwa hiyo jeshi likichemsha lisisemwe

Jeshi likinunua helikopta za kitalii kwa bei ya helicopter za jeshi watu wasiseme.

hh uu unafiki na woga ndio maana hata wanasiasa wana likuwa wepesi wa kusema MEREMETA ni ya Jeshi just kufukia UOZO.

what does it mean kuwa great thinker sasa ?
 
I dont trust JWTZ kama Mabrigedia wenyewe wakina Shimbo kutisha watu kwenye uchaguzi basi JWTZ is big JOKE:laugh::laugh:
 
Jeshi letu na Waziri wake(Mwinyi) ni big joke!

Je umeshasikia milipuko ya mabomu kwenye army barracks ndani ya jiji lolote kwenye nchi yenye "amani na utulivu"?Above that ,tangu Mbagala kulipuka:
Kuna taarifa yoyote independent imetolewa na kusomwa bungeni?

Top brass wa JWTZ ni corrupt ,hasa baada ya serikali ya Mwalimu kuondoka.

Kwa kuwa JWTZ wamenunuliwa na chama tawala,good salaries,pension,bia za bure etc
hata uchaguzi wa top brass wa JWTZ ni politics,wengi sasa ni YES men.hakuna professionalism at all.

You never know hata haya mabomu,may yalinunuliwa tayari expired,due to corruption.
I cry to my beloved TANGANYIKA.

keep on crying for your country 'Tanganyika' while we work hard to give it back to you, wake up man! Where goes Muammar, Jakaya goes!
 
Jeshi la wachekeshaji la Tanzania na Walinda Ufisadi JWTZ, :laugh: Shimbo kazi kutetea Ufisadi:laugh: JWTZ ni Jeshi la Vilaza
 
Back
Top Bottom