Fugwe
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 1,676
- 664
Hivi kati ya hao wahutu na watutsi wapi ni warembo sana?
Bila kumung'unya maneo ni watutsi
Hivi kati ya hao wahutu na watutsi wapi ni warembo sana?
mkuu nina uzoefu na waethiopia,ila wanawake wa kiethiopia hawana shida kabisa,ila hawa wanyarwanda nimekutana nao nawaona si wakujichanganya sana na watu wa mataifa mengine,wanapenda sana kujichanganya wenyewe
Bila kumung'unya maneo ni watutsi
mkuu ni wazuri kweli,kuna binti anafanya moyo wangu udunde pah pah pah,yaani huu mwezi wa nne anakubali hapo hapo kama anachomoa,mpaka naanza kukata tamaa
Ikitokea vita naomba nipelekwe mstari wa mbele
![]()
Wanaonekana walaini mno
Hivi kati ya hao wahutu na watutsi wapi ni warembo sana?
Hivi kati ya hao wahutu na watutsi wapi ni warembo sana?
Hao unaowaona ni watutsi, wahutu ni wanene na hawana tofauti sana na wabongo, ukiona mnyarwanda mwenye mwili kama wa rais wao paul kagame jua ni mtutsi huyo na wengi wao ni warefu.
Ahsanteni sana kwa kunifahamishainategemea tafsiri yako ya urembo, wahutu hawana tofauti yoyote kimuonekano na wanawake wote wabantu, i.e Tanzania, kenya, uganda, zambia, south africa.....