Jeshi la polisi wachukulieni hatua Clouds FM

Jeshi la polisi wachukulieni hatua Clouds FM

Habari wana jf..

Wakati nikilisikiliza Clouds ...Leo nilisikia wakilichana jeshi la polisi.....Kwa kweli nilisikitishwa sana kama jeshi la polisi litakaa kimya dhidi ya huu upuuzi ambao unafanywa na clouds fm.

Nitakuwa wa kwanza kulishangaa hivi nini maana ya jeshi.....Ni lazima wawafundishe hao clouds fm utofauti uliopo kati ya jeshi na taasisi zingine za mkonge...Haiwezekani haiwezekani haiwezekani... Watieni adabu hao.
inaonekana we mmojawapo wa yule askari jambazi naitabidi tu wawaseme maana hamna namna
 
Habari wana jf..

Wakati nikilisikiliza Clouds ...Leo nilisikia wakilichana jeshi la polisi.....Kwa kweli nilisikitishwa sana kama jeshi la polisi litakaa kimya dhidi ya huu upuuzi ambao unafanywa na clouds fm.

Nitakuwa wa kwanza kulishangaa hivi nini maana ya jeshi.....Ni lazima wawafundishe hao clouds fm utofauti uliopo kati ya jeshi na taasisi zingine za mkonge...Haiwezekani haiwezekani haiwezekani... Watieni adabu hao.
hao clouds ni ikulu ndogo,angalia makonda alipoapishwa tu kaenda,mkuu wa wilaya ilala kaenda,nchemba jana tu ameapishwa ziara ya kwanza ameanzia hapo,mwenye nyumba mwenyewe kila siku anawapongeza je unadhani ni nani atawagusa hao?
 
Habari wana jf..

Wakati nikilisikiliza Clouds ...Leo nilisikia wakilichana jeshi la polisi.....Kwa kweli nilisikitishwa sana kama jeshi la polisi litakaa kimya dhidi ya huu upuuzi ambao unafanywa na clouds fm.

Nitakuwa wa kwanza kulishangaa hivi nini maana ya jeshi.....Ni lazima wawafundishe hao clouds fm utofauti uliopo kati ya jeshi na taasisi zingine za mkonge...Haiwezekani haiwezekani haiwezekani... Watieni adabu hao.

Hebu Lumumba kabla ya HUKUMU yako ya mwendo kasi hebu lete hapa walichokisema maana wengine hutukupata kusikiliza.
Mara ya mwisho kusikiliza Clouds ni pale tu ilipo pongezwa na Mh. JPM na mkewe kuwa ni mashabiki wao na kuwapenda sana wanaondesha kipindi cha Power Breakfast.

Njoo na Fuul Story hapa, maana mie si kwepeshi nitawapa Live bila changa iwapo tu walikosea na ikithibitishwa baadaye na wahusika ambao ni sisi wananchi.
Na kama itakuwa wametema nyeupe kuwa ni nyeupe tu na si nyeusi kuwa nyeupe nita wapa Bigup as my always attitude kuwa sipendi unafiki wala kufikiri kwa kutumia viungo vyangu vibaya, haya sasa sema cha chap hapa....
 
mbona kapaniki huyu..
badala ya kuweka hoja kisomi, hoja yenye ufafanuzi na mashiko..
anaweka mchuzimchuzi..
ivi anadhani akisikia yeye clouds na sisi tumesikia ?
 
Habari wana jf..

Wakati nikilisikiliza Clouds ...Leo nilisikia wakilichana jeshi la polisi.....Kwa kweli nilisikitishwa sana kama jeshi la polisi litakaa kimya dhidi ya huu upuuzi ambao unafanywa na clouds fm.

Nitakuwa wa kwanza kulishangaa hivi nini maana ya jeshi.....Ni lazima wawafundishe hao clouds fm utofauti uliopo kati ya jeshi na taasisi zingine za mkonge...Haiwezekani haiwezekani haiwezekani... Watieni adabu hao.
Ukiona hivyo ujue wamekosa habari ya maana ya kuuza, polisi ni wavumilivu sana,hiyo radio haijaanza leo kuwachana polisi.

Lakini kizuri zaidi wanaenda vituo vya polisi kwa shida zao na wanahudumiwa na haohao wanaowananga.
Hapo ndipo mwenye busara anapoonekana.
 
Haya Ndiyo Maajabu Ya Generation Hii!!! Wapigwe Kwani Wizi Wa Bodaboda Wale?
Hivi na wewe Ukikosea Upigwe au?
Nchi ina Sheria zake juu ya Makosa Ya Jinai Siyo unanadia Wakapigwe tu bila ya Kukamatwa na Kufikishwa Katika Vyombo Vya Sheria Kwa Mahojiano!!
Lakini Hilo Ndiyo Tatizo la Kuandika Uzi Kwa Mkono Mmoja, Huku Mwengine Ukiwa Unapiga CHAPUTA.
 
Habari wana jf..

Wakati nikilisikiliza Clouds ...Leo nilisikia wakilichana jeshi la polisi.....Kwa kweli nilisikitishwa sana kama jeshi la polisi litakaa kimya dhidi ya huu upuuzi ambao unafanywa na clouds fm.

Nitakuwa wa kwanza kulishangaa hivi nini maana ya jeshi.....Ni lazima wawafundishe hao clouds fm utofauti uliopo kati ya jeshi na taasisi zingine za mkonge...Haiwezekani haiwezekani haiwezekani... Watieni adabu hao.
Mbona majungu tu.Weka hapa jamvini walichokisema.
 
Habari wana jf..

Wakati nikilisikiliza Clouds ...Leo nilisikia wakilichana jeshi la polisi.....Kwa kweli nilisikitishwa sana kama jeshi la polisi litakaa kimya dhidi ya huu upuuzi ambao unafanywa na clouds fm.

Nitakuwa wa kwanza kulishangaa hivi nini maana ya jeshi.....Ni lazima wawafundishe hao clouds fm utofauti uliopo kati ya jeshi na taasisi zingine za mkonge...Haiwezekani haiwezekani haiwezekani... Watieni adabu hao.
 
Huo ni mkakati wa jeshi la polisi na clouds fm.. wamekaa pamoja wakaona wafanye kitu ili raia watoe ya moyoni... uwe unafanya utafiti mtoa mada.
 
Mleta uzi na wewe ni afande nini? Mi naona clouds hawana tatizo kwani raia ndo walikuwa wakichangia kwa kutuma sms kuzungumzia kero na bugudha za polisi wanazokutana nazo uraiani. Acha unoko wanapozingua lazima wachanwe waache miyayusho
 
Una akili zote mkuu?? Kama walichokuwa wanaongea clouds FM ni ukweli mtupu kwa nini wachukuliwe hatua???
 
Clouds wenyewe kama wenyewe wasingeweza kufanya hivyo.. kulikuwa na mkutano last week na igp.. outcome ya mkutano huo ndio hiyo. Be informed.
 
Back
Top Bottom