Mkali Mapanga
Senior Member
- May 17, 2017
- 100
- 66
Nn kinasababisha hao wengine wasiitwe polisi?Siyo wa kwanza. Usimsahau Askofu Niwemugizi alisema Katiba Mpya pekee itamaliza shida zote hizi, yuko tayari aitwe mchochezi. Akaja Askofu Munga akalaani shambulizi la Lissu akasahau ya Tanga Jimboni kwake. Huyu ni wa tatu aisee, ila naye naona kasahau mauaji ya kwao Kibiti hapahapa Pwani.