Nyando.. kwenda Nairobi sio kutokuwa na njaa, huyu mzee anaonesha ananjaa toka lini sheakh akaingia kwenye siasa?,, hana la kufanya ktk familia yake?..Kutaja tuu Lissu huo ni uchochezi tosha.
Nyando.. kwenda Nairobi sio kutokuwa na njaa, huyu mzee anaonesha ananjaa toka lini sheakh akaingia kwenye siasa?,, hana la kufanya ktk familia yake?..Kutaja tuu Lissu huo ni uchochezi tosha.
Kamanda Mambosasa akijibu swali la Mwandishi kutoka gazeti la Uhuru, kwanini Polisi walivamia Mkutano wa Shekhe Ponda jana, Kamanda amesema ni kwa makosa ya uchochezi na kuwa anatakiwa aripoti Polisi ndani ya siku tatu ili hatua stahiki zichukuliwe.
Jana Jumatano Sheikh Ponda alitumia lugha ya uchochezi alipozungumza na waandishi wa habari na kutoa kejeli kwa Serikali.
Amesema kukimbia kwake hakutasaidia chochote ni vyema ajitokeze kwa ajili ya kuhojiwa kuhusu suala hilo.
“Sheikh Ponda alikuwa anajua kwamba anafanya kosa kwa sababu aliwaambia waandishi waje saa nne yeye akawapigia baadhi waje kabla ya saa nne,’’ amesema.
Kamanda Mambosasa amesema baada ya askari kufika eneo ambalo Sheikh Ponda alikutana na waandishi wa habari, waliwachukua waandishi na wafuasi wake kwa mahojiano. Baada mahojiano na Polisi kujiridhisha waliwaachia huru.
---Maoni Yangu---
Nilimsikiliza Sheikh Ponda jana sikuona uchochezi wowote.
huyu mzee hana shule hajui anchofanya madhala yake makubwa baadae. Achana na siasa mzee endelea na diniNilimsikiliza Sheikh Ponda pia nimeona hotuba yake haifai, haifai, haifai! Speech yake ina kila virutubisho vya uchochezi. Kwa kweli Kamanda Sirro kuna haja ya kuwaelimisha wakuu wa dini wafanye kazi hao hasa ya kufundisha watoto kusoma Qu'ran na mafundisho mema na sio kudandia siasa. Waache wanasiasa wafanye kazi ya Siasa. Sheikh Ponda huko unakokwenda siko.
huyu mzee hana shule hajui anchofanya madhala yake makubwa baadae. Achana na siasa mzee endelea na dini
kwani anachofanya sasa ni nini,Mambo sasa Nayeye anataka kujipendekeza kama alivyojpendekeza Sirro kisha akapata Ukuu wa polisi?
Shida ya nin...si amlambe lambe miguu bashite?
Au hajui procedures
Polisi inajua au imetafakari madhara yatakayotokana na kukamatwa kwa huyu mtu! Kwani kumpigia simu haitoshi mpaka muutangazie umma hizi shule za ukamanda mlisomea wapi? Nyie haya
Nani kachocheka na amechoka mpaka degree centigrade ngapi?
Mzee wa watu kaongea fact tupu na kwa unyenyekevu wa hali wa Hali ya juu bado eti Police wanamtaka!
Kweli upolisi ni kimbilio la wale wasovipanga!
Tangu zamani mtu aliyekuwa anajiunga na Jeshi la Polisi ni mtu aliyeshindwa kwa maana ya kufeli elimu ya darasani...!!Mpaka leo iko hivo...!!
Polisi anatakiwa awe ni mtu asiyeweza kufikirisha ubongo wake, ni mtu anayepokea amri tu kwa kupewa kazi za hovyo hovyo na kutekeleza bila kuhoji au kudadisi hata kama ni jambo la kiipumbaf...!!
Haiwezekani eti kwa vile Sheikh Ponda alienda kumsalimia Lissu ambaye hata Serikali imesema iko tayari kuhakikisha anatibiwa popote duniani lakini leo inataka kumkamata mtu aliyetoka kumpa pole Lissu...huu ni ujinga ulipitiliza.
Kwa hiyo ni yaleyale ya Kamanda wao daraja Ziro anaposema kila akimwona Dereva wa Lissu kwenye Picha eti anawaka kwa hiyo ndiyo wanamtaka sana kana kwamba yeye ndiye aliyempiga Lissu risasi 38...!! Halafu mtu huyuhuyu daraja Ziro anapiga marufuku watu wasizungumzie habari za Lissu.....!!!Huu ni zaidi ya uzezeta kwa kweli.
Nyando.. kwenda Nairobi sio kutokuwa na njaa, huyu mzee anaonesha ananjaa toka lini sheakh akaingia kwenye siasa?,, hana la kufanya ktk familia yake?..
Tangu zamani mtu aliyekuwa anajiunga na Jeshi la Polisi ni mtu aliyeshindwa kwa maana ya kufeli elimu ya darasani...!!Mpaka leo iko hivo...!!
Polisi anatakiwa awe ni mtu asiyeweza kufikirisha ubongo wake, ni mtu anayepokea amri tu kwa kupewa kazi za hovyo hovyo na kutekeleza bila kuhoji au kudadisi hata kama ni jambo la kiipumbaf...!!
Haiwezekani eti kwa vile Sheikh Ponda alienda kumsalimia Lissu ambaye hata Serikali imesema iko tayari kuhakikisha anatibiwa popote duniani lakini leo inataka kumkamata mtu aliyetoka kumpa pole Lissu...huu ni ujinga ulipitiliza.
Kwa hiyo ni yaleyale ya Kamanda wao daraja Ziro anaposema kila akimwona Dereva wa Lissu kwenye Picha eti anawaka kwa hiyo ndiyo wanamtaka sana kana kwamba yeye ndiye aliyempiga Lissu risasi 38...!! Halafu mtu huyuhuyu daraja Ziro anapiga marufuku watu wasizungumzie habari za Lissu.....!!!Huu ni zaidi ya uzezeta kwa kweli.
Tangu zamani mtu aliyekuwa anajiunga na Jeshi la Polisi ni mtu aliyeshindwa kwa maana ya kufeli elimu ya darasani...!!Mpaka leo iko hivo...!!
Polisi anatakiwa awe ni mtu asiyeweza kufikirisha ubongo wake, ni mtu anayepokea amri tu kwa kupewa kazi za hovyo hovyo na kutekeleza bila kuhoji au kudadisi hata kama ni jambo la kiipumbaf...!!
Haiwezekani eti kwa vile Sheikh Ponda alienda kumsalimia Lissu ambaye hata Serikali imesema iko tayari kuhakikisha anatibiwa popote duniani lakini leo inataka kumkamata mtu aliyetoka kumpa pole Lissu...huu ni ujinga ulipitiliza.
Kwa hiyo ni yaleyale ya Kamanda wao daraja Ziro anaposema kila akimwona Dereva wa Lissu kwenye Picha eti anawaka kwa hiyo ndiyo wanamtaka sana kana kwamba yeye ndiye aliyempiga Lissu risasi 38...!! Halafu mtu huyuhuyu daraja Ziro anapiga marufuku watu wasizungumzie habari za Lissu.....!!!Huu ni zaidi ya uzezeta kwa kweli.
uislamu unatufundishaUwe na soni unapoandika upuuzi wa aina hii!! Polisi wanafanyakazi nzito mno na hawastahili hata kidogo unnecessary criticism ya aina hii. Wana mishahara duni, wana makazi duni, na hata wakiretire hawana cha kuonyesha mbele ya jamii kwa miaka yao yooote waliyofanyakazi wengi kulinda usalama na mali ya watu wenye utindio wa ubongo kama wako! Polisi hawakuokotwa barabarani. Hivi ni nchi gani unayoifahamu Polisi hapewi amri na mkuu wake? Amri ndiyo nidhamu ya polisi na jeshi la kujenga taifa. Polisi hawauzi mboga kujiamulia kuwa wafanye itakavyo. Kunasheria lazima zifuatwe. Na hiyo ndiyo heshima ya Polisi ulimwengu mzima. Hivi huyo Ponda tangu lini amekuwa karibu na watu ambao yeye akiwaona ni ma-Kafir? Ukistaajabu ya Mussa utaona ya Kirauni! hivi inakujia akilini leo Shehe mwenye sigida anasafiri hadi Nairobi eti kumtetea Lissu wakati kuna waislamu kibao wanaotaka huduma ya kuombewa mahospitalini? hiyo pesa ya kwenda kumwona mgonjwa mmoja tu Lissu si angenunua Juzuu akawapa watoto wa kiisamu kwenye misikiti mingi tuu? Kwanini anachezea pesa za Waislamu namna hiyo? Muislamu wa aina gani yeye? Ponda hebu rudi nyumbani kalee wajukuu. Allah anauona upumbavu unaoufanya!
Humu JF kuna watu wenye ubongo a
uislamu unatufundisha
1.kuamrisha na kusimamia mema i.e kupigania kutetea haki za wanyonge ' wanaoonewa'
2.kukataza au kuondoa mabaya
Kibinadamu na kidini sheikh katekeleza wajibu wake .
Dini haijawaji sema siasa haina.
Ni Nyerere tu na kutoelewa issue za dini akapandikiza fikra potofu za ' usichanganye dini na siasa' ili kuwadhibiti waislamu wasiingie kwenye siasa :awatawale: kirahisi
Alifanikiwa
Wakati yeye(Nyerere) kamweka padri kwenye TANU ili ............... soma kitabu cha sivalon je hapa hakuchanganya siasa na dini???
Na ndio inayoendeeeleeeea hadi sasa.
Kamanda Mambosasa akijibu swali la Mwandishi kutoka gazeti la Uhuru, kwanini Polisi walivamia Mkutano wa Shekhe Ponda jana, Kamanda amesema ni kwa makosa ya uchochezi na kuwa anatakiwa aripoti Polisi ndani ya siku tatu ili hatua stahiki zichukuliwe.
Jana Jumatano Sheikh Ponda alitumia lugha ya uchochezi alipozungumza na waandishi wa habari na kutoa kejeli kwa Serikali.
Amesema kukimbia kwake hakutasaidia chochote ni vyema ajitokeze kwa ajili ya kuhojiwa kuhusu suala hilo.
“Sheikh Ponda alikuwa anajua kwamba anafanya kosa kwa sababu aliwaambia waandishi waje saa nne yeye akawapigia baadhi waje kabla ya saa nne,’’ amesema.
Kamanda Mambosasa amesema baada ya askari kufika eneo ambalo Sheikh Ponda alikutana na waandishi wa habari, waliwachukua waandishi na wafuasi wake kwa mahojiano. Baada mahojiano na Polisi kujiridhisha waliwaachia huru.
---Maoni Yangu---
Nilimsikiliza Sheikh Ponda jana sikuona uchochezi wowote.