Jeshi la Polisi ndo linapoteza watu? Heche yuko wapi?

Jeshi la Polisi ndo linapoteza watu? Heche yuko wapi?

𝙸𝚖𝚊𝚐𝚒𝚗𝚎 𝚗𝚍𝚞𝚐𝚞 𝚢𝚊𝚔𝚘 𝚊𝚗𝚊𝚙𝚘𝚝𝚎𝚣𝚠𝚊 𝚗𝚊 𝚑𝚞𝚓𝚞𝚒 𝚔𝚊𝚏𝚊 𝚊𝚞 𝚢𝚞 𝙷𝚊𝚒 𝚒𝚗𝚊𝚏𝚒𝚔𝚒𝚛𝚒𝚜𝚑𝚊 𝚜𝚊𝚗𝚊 𝚗𝚊 𝚆𝚊𝚝𝚊𝚠𝚊𝚕𝚊 𝚠𝚊𝚓𝚒𝚝𝚊𝚏𝚊𝚔𝚊𝚛𝚒 𝚜𝚊𝚗𝚊 𝚓𝚊𝚙𝚘 𝚠𝚘𝚝𝚎 𝚗𝚒 𝚠𝚊 𝚔𝚞𝚏𝚊.
 
Habari kutoka ndani kabisa huyu makamu mwenyekiti wa chadema ndio ameshapotezwa hatoonekana tena sababu alionekana anakiherehere kuwaaribia watawala ulaji wao hivyo wameona wampoteze na watanzania lazima watalalamika siku mbili watasahau hivyo ndugu zangu jiandaeni maisha mapya bila heche
Sidhani, hiyo hawatafafanya.
 
Gari lililomchukua kiongozi wetu John Heche lilikuwa sio gari la Polisi lina namba za kiraia na halina ishara yoyote ya kuonyesha kuwa ni gari la Polisi Tanzania.
 
Bado yuko njiani anapelekwa Tarime, Safari ni ndefu wanaweza wakaamua kupumzika njiani wakamuweka lockup ya kituo cha karibu wao wakaenda kupumzika waje wamfate baadae, au gari inaweza kuwa imeharibika kwahiyo usijali atafika tu
 
Habari kutoka ndani kabisa huyu makamu mwenyekiti wa chadema ndio ameshapotezwa hatoonekana tena sababu alionekana anakiherehere kuwaaribia watawala ulaji wao hivyo wameona wampoteze na watanzania lazima watalalamika siku mbili watasahau hivyo ndugu zangu jiandaeni maisha mapya bila heche
Sio kweli na haiwezikani kutokea , uyu wanae ,acheni zua taaruki
 
Ngoja nikushauri kitu. Hivi huwezi kujibu bila kejeli? Utajibiwa sawia unavyokuja
Nimekuuliza unaakili timamu maana kama haupo sawa kichwani mpaka Sasa unaamini mtu hawezi kubebwa msobemsobe tanzania hii na akapotea ndio maana nikakuuliza unaakili timamu
 
Kwani waliosema amepelekwa Tarime japo zipo taarifa Tarime hajaonekana kituo cha police si wao , sasa kama wamesema kwa nini tusiseme wanaye
Let hiyo habari ya polisi wenyewe wakisema wanampeleka tarime
 
Back
Top Bottom