Baada ya kukamatwa alifikishwa mahakama gani?Manara alikamatwa Kwa kosa la kutangaza Habari Za MO kutekwa bila ya kutumwa Na familia
Kuna penal code iliyotumika?
utasikia na cheo kapandishwa. Nchi ya ajabu sana hii!Usisahau kuwaelekeza wamuhoji Kamanda wa Polisi wa Mwanza kama yeye ni Katibu mwenezi wa CCM au ni Kamanda wa polisi
Manara alikamatwa Kwa kosa la kutangaza Habari Za MO kutekwa bila ya kutumwa Na familia
Kuna kesi yoyote amefunguliwa kwa 'kosa' hilo?Manara alikamatwa Kwa kosa la kutangaza Habari Za MO kutekwa bila ya kutumwa Na familia
Kuna penal code iliyotumika?
Huyu infantry soldier ni kikundi kile kile cha wahuni wanaosemwa na Zotto Kabwe.Hivi haya yote yanayotokea; waandishi, wanasiasa wanaharakati na sasa wafanya biashara; kuteswa, kutekwa na au kupotezwa; bila vyombo vya usalama kuwa na clue yoyote na kubihevu kama wapiga ramli ni sawa kweli? Yaani amepotezwa Ben Saanane, ametekwa Azory na Kinguye, ameshamvuliwa TL; wameuwawa wengi Kibiti, wameokotwa wengi fukweni wakiwa kwenye viroba, halaf mtu kwa uchungu na hasira anaamua kuiita nchi hii URG, halafu bila aibu unamlaumu????
Kujifanya mjaja huku unajiharishia uchafu ni kuchafuka. Huyu anaharisha tu.Just be disappointed with your brain.....wewe unataka kumpagia mtu kipi afkirie na kipi aandike so parochial