Jeshi la Polisi mmefeli sana

Niliposikia tu hiyo habari nilijua ni uongo uliopitiliza mwanajeshi hata wa boko haramu hauwezi kumkamata akiwa na mabomu yake hawa watu sijui wanafanya hivi ili iweje aisee..
 
Eti mwanajeshi wa marekani ana kitambi utadhani askari magereza wa Tanzania...AIBU
Eti mabomu yana rangi za chadema....AIBU
Mwanajeshi anandevu utadhani mpishi pale polisi ofisas mess. AIBU

NIMEAMINI POLISI NI FOMFOO FAILURES.
HIVI WALITAKA KUMU IMPRESS BOYA GANI MWENZAO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…