HII MBONA IMECHELEWA IVI?????
SAFIIIIII SANAAAAAAA YAAN POLISI ALOKUJA NA HILI WAZOO NIKMA VILE AMEISOMA AKILI YANG
SAFIIIII SANA JESHI LA POLISIIIII ,,,,, wapuuzi wachache walitaka kutuharibia Taifa kimaadili ,, watoto wanaharabika mapemaa, Ngono zembe, high rate of HIV
POLISI NAWAUNGA MKONO 100%.[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109]( nakoswa hata namna ya kuelezea furaha yangu juu ya hii kitu).
Kamaten sanaa, wakamate, jengen Central zakutosha ,ikiwezekana sheria itungwe ya adhabu ya miezi mitatu mpaka sita na viboko 12