Jeshi la Polisi kuwasaka ma 'admin' wa 'whatsapp'

Jeshi la Polisi kuwasaka ma 'admin' wa 'whatsapp'

phoerotica ipoo bado[emoji24][emoji24][emoji119]
 
Ata wakiwakamata, adhabu yao ni kulipa faini isiyozidi Tsh 500 ya kitanzania.
 
Ilikuwa haina haja ya kutangaza kama kuna dhamira ya dhati kuwakamata hawa wajinga, maana kule instagram ukipitia comment kadhaa unakutana nao" muuza ****" mara njoo "nkifundishe kutomban" mara kungwi na majina mengine.......sasa kwa nini jeshi la polisi wasiwa DM wale watu kimya kimya alaf badae ndio waje watutangazie kwamba huyu ndio ajiita fulani kupitia mitandaoni.?
Kazi ya Polisi siyo kukamata kamata tu, hata kuzuia uhalifu usifanyike ni kazi yao pia. Ndiyo maana wametangaza kuwa wameanza kuwakamata ili wale watakao sikia na kuacha waache, lakini wale wakaidi watakaoendelea ndiyo wakamatwe.
 
Polisi kamateni kwanza wanaotuibia madini
 
JLW mashakani
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. Lilivyo tamu kama hii avatar yako!!!
1538640870489.png
 
Jeshi la Polisi Tanzania limetangaza kuwa kamata na kuwachukulia hatua wale wote wanaoendesha makundi ya ngono na wanaoweka picha za uchi na kujiuza kwenye mitandaoni ya kijamii.

Akizungumza na EATV Saa 1 leo jijini Dar es salaam, Joshua Mwangasa ambaye ni Mrakibu msaidizi wa jeshi la Polisi nchini, kutoka kitengo cha uhalifu wa mtandao amesema wanaendelea na uchunguzi wa kuwabaini wale wote wanaoendesha biashara ya kujiuza na kuweka picha za uchi kwenye mitandao ya kijamii hususan kwenye Whatsapp na Instagram.

Ameiambia EATV Saa1 kuwa tayari watu kadhaa wamekamatwa na wanaendelea kuhakikisha kuwa wanawabaini wote, kwani kujiuza na kuweka picha za uchi ni kosa la jinai kupitia sheria ya makosa ya mtandao ya mwaka 2015.

Amesema, Sheria hiyo pia inapiga marufuku mtu yeyote kuweka mtandaoni video au picha inayoonyesha ukatili wa kingono kwa watoto, hivyo yeyote atakaye tenda makosa hayo na kubainika mara moja atashikiliwa na jeshi hilo.

Mapema mwezi Septemba, Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza alitoa onyo kwa wasanii nchini kuacha kutumia vibaya mitandao ya kijamii na endapo hatofanya hivyo basi watachukuliwa sheria stahiki dhidi yao.

Ambapo Septemba 21, msanii wa muziki wa kizazi kipya, Faidha Omary maarufu kama Sister Fey alikamatwa na kuwekwa chini ya ulinzi wa polisi kwa kosa la kukiuka maadili kwa kuchapisha maudhui yanayodhalilisha kwenye mitandao ya kijamii kwa amri ya Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.
hapo poa sana
 
Back
Top Bottom