DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
TAARIFA KWA UMMA
Jeshi la Magereza Tanzania linapenda kuujulisha umma kuwa, zipo taratibu za mawasiliano kwa wale wote waliopo gerezani kwa mujibu wa sheria ambazo hupaswa kusimamiwa na kuthibitishwa iwapo maudhui ya mawasiliano hayo hayakiuki taratibu zilizopo wala kuathiri suala zima la usalama kabla ya kutoka au kuingia gerezani.
Hivyo, taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa ni ujumbe wa Ndugu Tundu Antipasi Lisu ikidai kwamba ujumbe huo umetoka gerezani sio sahihi bali ni yenye kupotosha umma. Jeshi linawasisitiza wananchi kuacha kutoa taarifa za Jeshi au wale wanaohifadhiwa gerezani zenye mwelekeo wa kupotosha umma.
Pia Soma: Mjumbe maalum wa Tundu Lissu katika msiba wa mzee Mtei
Jeshi la Magereza Tanzania linapenda kuujulisha umma kuwa, zipo taratibu za mawasiliano kwa wale wote waliopo gerezani kwa mujibu wa sheria ambazo hupaswa kusimamiwa na kuthibitishwa iwapo maudhui ya mawasiliano hayo hayakiuki taratibu zilizopo wala kuathiri suala zima la usalama kabla ya kutoka au kuingia gerezani.
Hivyo, taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa ni ujumbe wa Ndugu Tundu Antipasi Lisu ikidai kwamba ujumbe huo umetoka gerezani sio sahihi bali ni yenye kupotosha umma. Jeshi linawasisitiza wananchi kuacha kutoa taarifa za Jeshi au wale wanaohifadhiwa gerezani zenye mwelekeo wa kupotosha umma.
Pia Soma: Mjumbe maalum wa Tundu Lissu katika msiba wa mzee Mtei