JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,458
Kamishna Jenerali wa Magereza, Meja Jenerali Suleiman Mzee amesema kuwa magereza nchini ina mpango wa kuanza kuwalipa wafungwa ili wakitoka gerezani waweze kujikimu kiuchumi.
“Tumeshaanza kupata matunda ya kazi zao, tumeanzisha vitenga uchumi vingi kila gereza Tanzania, tunakoenda tutaanza kuwalipa, hii itasaidia pindi wanapotoka wanakuwa na kiasi cha kuanzia maisha,” Meja Jenerali Suleiman Mzee.
Kuhusu wanaotoka gerezani kisha kujihusisha na matukio ya uhalifu baada ya kitoka amesema mara nyingi inatikana na jamii inayomzunguka. “Magereza tumefanya kazi yetu inayotakiwa, kinachotakiwa ni jamii kubadilika, maana akitoka anaikuta jamii ileile ambayo ilifanya afanye makosa awali."
Source: ITV
“Tumeshaanza kupata matunda ya kazi zao, tumeanzisha vitenga uchumi vingi kila gereza Tanzania, tunakoenda tutaanza kuwalipa, hii itasaidia pindi wanapotoka wanakuwa na kiasi cha kuanzia maisha,” Meja Jenerali Suleiman Mzee.
Kuhusu wanaotoka gerezani kisha kujihusisha na matukio ya uhalifu baada ya kitoka amesema mara nyingi inatikana na jamii inayomzunguka. “Magereza tumefanya kazi yetu inayotakiwa, kinachotakiwa ni jamii kubadilika, maana akitoka anaikuta jamii ileile ambayo ilifanya afanye makosa awali."
Source: ITV