Sir Carter
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 632
- 1,397
Habari zenu wana JF...
Ninaomba kuuliza iwapo kama kuna mtu anataarifa yeyote kuhusu nafasi za kujitolea za Jeshi la Kujenga Taifa maana nimesikia zimetoka lakini sijapata uhakika na taarifa nimeuliza humu iwapo kama kuna mtu anajua anifahamishe na mimi...
Ninaomba kuuliza iwapo kama kuna mtu anataarifa yeyote kuhusu nafasi za kujitolea za Jeshi la Kujenga Taifa maana nimesikia zimetoka lakini sijapata uhakika na taarifa nimeuliza humu iwapo kama kuna mtu anajua anifahamishe na mimi...