Jeshi dhidi ya Waislamu wa Kenya

Jeshi dhidi ya Waislamu wa Kenya

Kwa hiyo wewe hapa ndipo umetumia busara kwa kiwango cha juu kabisa?

Nimeiga busara yako mkuu, ikiwa hio nidawa kwa unaosema wanaovunja sheria Kua wauwawe bila ya vigezo kufatwa bas na hii ni busara kwa Yule anaetoa mchango bila yakufikiria Kua ndan ya ukumbi Kama huu kunahitajika busara hata ya kuchangaia mada.
 
Nimeiga busara yako mkuu, ikiwa hio nidawa kwa unaosema wanaovunja sheria Kua wauwawe bila ya vigezo kufatwa bas na hii ni busara kwa Yule anaetoa mchango bila yakufikiria Kua ndan ya ukumbi Kama huu kunahitajika busara hata ya kuchangaia mada.

Kwa hiyo mtu yeyote akitumia dini kufanya mambo yasiyokuwa ya kiungwana tumpe tu sympathy kwa kuwa harakati zake hizo kazianzia kwenye nyumba ya ibada?
 
Kwa hiyo mtu yeyote akitumia dini kufanya mambo yasiyokuwa ya kiungwana tumpe tu sympathy kwa kuwa harakati zake hizo kazianzia kwenye nyumba ya ibada?

Mkuu nafikir hujanielewa! Hiv unahakika walikua wanafanya harakati zilizokua zilizokua kinyume na dini ya kiislam? Hivi unajua nini maana ya dini ya kiislam? Au ndo nyie mnaomchukia mbwa kwa kumpa jina la mbwa kichaa ili akionekanwa tu ashambuliwe hadi kifo kimkute? Hapa tunaongelea waliofikwa na maafa kwenye msikiti Huku mombasa lazima tuguswe na hawa ndugu zetu Kwan hawakua hivo unavofikiria ni watoto wadogo na wanawake pmja na vijana waliokua wanafanya ibada ndan ya huo msikiti, je unafikir hukumu inatolewa tu kwa kupiga vidole vyako just like that na wafe tu! Tukija kwenye mjadala wanaotoshia maisha ya raia wema ndan ya majengo ya ibada bas hata mie nitakunga mkono Kwan sehem za ibada si sehem za kupanga mashambuliz, nafikir umenielewa mkuu
 
Wachapwe tu hao jamaa...... Nasikitika kwamba kutokana na mfumo islamu alipo tz waislamu wamepeta sana. Kule mbagala na sehemu zingine has a zenji walifanya watakavyo bila hata waislamu Angalau 1000 kuuawa. Viongozi wa juu wote waislamu igp kipindi hicho muislamu unadhani atauawa hata muislamu mmoja pamoja na uhuni wapo wanaofundshwa na kurani?
Hebu yachapeni hayo ili hata hawa wa kwetu wafia Dunia wa upate somo.
 
Back
Top Bottom